Mchungaji Nurdin Abdallah afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanaye wa miaka 6

Tatizo lipo kwa Walokole wenyewe, Wanawezaje kuamini na Kuongozwa na Nurdin Abdallah na wakafuata kama sio Vilaza. Au siku hizi uislam unamatawi yake katika ulokole?
Ujinga ujinga umezidi kuwa mwingi katika jamii licha ya kujengwa shule za kata kila kukicha.
 
Kuna KE kafungwa maisha kwa kubaka katoto ka kiume,uzi ulikua humu na msimamk ule ule wale kitanzi tu mbakaji ni mbakaji tu
huo ulikuwa mchongo me akibakwa na ke hiyo big up hata awe mbibi safi tu. Ampe ushirikiano kwa sababu haina madhara km jinsia ya kike!
 
Nurdin Abdallah na uloke wapi na wapi... Kuna binadamu wanasikitisha sana...
 
Kuna KE kafungwa maisha kwa kubaka katoto ka kiume,uzi ulikua humu na msimamk ule ule wale kitanzi tu mbakaji ni mbakaji tu
km demu akija kunibaka!! Mbona rahisi tu mie najibakisha nampa ushirikiano km wooote!! Halafu sisemi popote.....atakuja tena na tena kunibaka il nitajifanya km sitaki hivi...lkn nampa vizuri tu mbakaji wa kike!!......tena atanibaka bureeeee!
 
Misri inaongoza kwa kula kitimoto Afrika .Acha kuwabagua ndugu zetu
 
Huyu anyongwe mpaka kufa hadharani walahi!
Shenzi type yote hiyo ni ushirikina tu [emoji3062]
 
Acheni kukariri kuwa majina lzima yatokane na dini fulani huo ni ushamba..jina jina tu..yawezekana alipewa amajina hayo na wazee wake au alibadili dini.

Kwanza huku mtaani tunapigwa loba na wakina mohamedi na tuna ibiwa na akina yohana.

Fu..ck names.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bora angebaki tu kwenye Uislamu.
Sijui kwanini ali-retard.
Si ndio nyinyi Wakristo huwa munawafundisha. Mmemuita huko kwa Dini yenu Matokeo yake mmempa Ujuzi kutoka kwa yule Padri wenu.

Mmemfundisha na yeye kaadapt situation
 
Jina linajieleza humu mchungaji hamna,halafu kuna ile story ya kwenye kitabu fulani kiongozi wa dini kuoa katoto ka miaka sita naona jamaa kachukua inspiration kule.
Si unaona wewe Mpuuzi, tushakupa majjibu kule naona bado unahangaika sana!! Na hiyo Ajenda yako.
 
dah uyu mchungaj auwawe2 haina jins
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…