wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Salamu kwa watu watatu.Padri ana jina la kikristo lakini kalawiti, hoja yako nn haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu kwa watu watatu.Padri ana jina la kikristo lakini kalawiti, hoja yako nn haswa
Huyo tapeli abdala alishindwa utapeli huko akaja kujificha kwenye dini za watu ??Sasa miaka sita inapenyaje? Wachungaji wa siku hizi wengi ni matapeli waliojificha nyuma ya dini.
Acha ubishi wa kipumbavu,napatikana sana Shinyanga na Mwanza.Huku watu wanaitana tu majina bila kuzingatia dini.Sio ajabu kumkuta Omary/Said ni mkristo.Labda Kama unasemea Usukumani ya Mozambique,lkn Kama Ni hii ya Kanda ya ziwa then hakuna kitu Kama hicho.
Hawa wasukuma ndio wanatuharibia DINI YA KIISLAM, wanatumia majina ambayo kiasili hutumiwa na WAISLAM na hao ndio unakuta wala kitimoto na ujinga mwingi.
Nimesoma na akina SHABANI, HAMISI, JUMA, ABDALA nk wakristo na wala kitimoto. Nilikuwa nawaambia ukitumia hayo majina acheni kula vitu vya kipumbavu maana mnachufua dini nyingine kisa majina.
Mkuu Kwahiyo huko kwenye uislam Ni kheri kubaka watoto wa miaka 6!!?Sasa huyu ana majina ya Kiislamu. Lakini anatumikia UKAFIRI.
Maana yake alikuaga Muislamu zamani halafu aka-retard (akaingia kwenye UKAFIRI) sijui nani alimdanganya!
Ikiuma chomoa.Acha ubishi wa kipumbavu,napatikana sana Shinyanga na Mwanza.Huku watu wanaitana tu majina bila kuzingatia dini.Sio ajabu kumkuta Omary/Said ni mkristo.
Wanakuto...amba.li wewe.Ikiuma chomoa.
Nguruwe dhambi na haram kwko, ila zinaa ni???Kanda ya ziwa wanatuchafulia dini yetu;watu wa ule ukanda wanayapenda sana majina ya kiislam lakini ni wala mdudu mchafu(nguruwe).
Hawa wasukuma ndio wanatuharibia DINI YA KIISLAM, wanatumia majina ambayo kiasili hutumiwa na WAISLAM na hao ndio unakuta wala kitimoto na ujinga mwingi.
Nimesoma na akina SHABANI, HAMISI, JUMA, ABDALA nk wakristo na wala kitimoto. Nilikuwa nawaambia ukitumia hayo majina acheni kula vitu vya kipumbavu maana mnachufua dini nyingine kisa majina.