Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo jina ndilo lililompa kanisa na waumini.#HABARI Mchungaji wa kanisa la kilokole Nurdin Abdallah, amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Magu mkoani Mwanza kwa kosa la kumbaka kwa nyakati tofauti mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka sita.
#EastAfricaRadioView attachment 2384832
Tuanze hapo kweny jina sio mpiga dili huyu?
Ameona huko ndio kuna makonkiBora angebaki tu kwenye Uislamu.
Sijui kwanini ali-retard.
Huko Moshi padri kafanyaje tena!!!Kama ningekuwa na mamlaka, ningeunda sheria na taratibu maalum za kufuatwa ili kuanzisha makanisa especially hawa walokole,
Maana naona wanajisahau sana
Wewe ndo mpumbavu.Hawa wasukuma ndio wanatuharibia DINI YA KIISLAM, wanatumia majina ambayo kiasili hutumiwa na WAISLAM na hao ndio unakuta wala kitimoto na ujinga mwingi.
Nimesoma na akina SHABANI, HAMISI, JUMA, ABDALA nk wakristo na wala kitimoto. Nilikuwa nawaambia ukitumia hayo majina acheni kula vitu vya kipumbavu maana mnachufua dini nyingine kisa majina.
Huu ni mtafaruku🤣Nurdin Abdallah?
Mchungaji?
Wa kanisa la kilokole? 😳😳😳
Wewe jana umegoma kufunguka kule...unalea dhambiMrs Lissu pitia na hapa
Hata watu wa wambeya nilikuta jamaa anaitwa ally omary ni mkristo nikashangaaHawa wasukuma ndio wanatuharibia DINI YA KIISLAM, wanatumia majina ambayo kiasili hutumiwa na WAISLAM na hao ndio unakuta wala kitimoto na ujinga mwingi.
Nimesoma na akina SHABANI, HAMISI, JUMA, ABDALA nk wakristo na wala kitimoto. Nilikuwa nawaambia ukitumia hayo majina acheni kula vitu vya kipumbavu maana mnachufua dini nyingine kisa majina.
Ushetani mwingine huu tunaupigia kelele.Lazima itakuwa ushirikina upo ndani yake.Mchungaji wa kanisa la kilokole Nurdin Abdallah, amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Magu mkoani Mwanza kwa kosa la kumbaka kwa nyakati tofauti mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka sita.
Chanzo: EA Radio
===================
Mchungaji Nurdin Mahakamani kwa kumbaka mtoto wake
Mchungaji wa kanisa la kilokole Nurdin Abdallah, amefikishwa katika Mahakama ya wilaya ya Magu mkoani Mwanza kwa kosa la kumbaka kwa nyakati tofauti mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka sita.
Ni Kesi namba 79 ya mwaka 2022, iliyosomwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi Erick Kimaro, katika Mahakama ya wilaya ya Magu inamkabili Mchungaji huyo anayedaiwa kumbaka binti yake wa kumzaa baada ya kumchukua kutoka kwa mama yake waliyeachana.
Inadaiwa kuwa mchungaji huyo aliachana na mke wake mwezi wa saba mwaka huu na mwanamke huyo akaondoka na kwenda kuishi wilayani Bunda mkoani Mara ndipo mchungaji akaamua kuishi na binti yake ambae inadaiwa amekuwa akimuingilia kimwili mara kwa mara hadi majirani walipogundua jambo hilo na kuamua kumuhoji mtoto huyo na kuwathibitishia kuingiliwa kimwili na baba yake huyo.
Aidha baada ya majirani kugundua kwamba binti huyo amefanyiwa kitendo hicho cha udhalilishaji walimpeleka kituo cha polisi na kufungua kesi kisha wakapewa fomu namba tatu ya polisi na kumpeleka hospitali na baadae binti huyo alikabidhiwa kwa afisa ustawi wa jamii wakati kesi ikiendelea.
Na leo hii Oktoba 12, 2022, mshtakiwa huyo ambaye ni mchungaji wa kanisa la kilokole lililopo Kisesa amewakilishwa mahakamani na mdhamini wake Bernard Mashauri aliyedai kuwa mshtakiwa Nurdin Abdalah anaumwa sehemu zake za siri zimevimba na kupelekea kushindwa kutembea.
Padri ana jina la kikristo lakini kalawiti, hoja yako nn haswaLabda Kama unasemea Usukumani ya Mozambique,lkn Kama Ni hii ya Kanda ya ziwa then hakuna kitu Kama hicho.