Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ina wanachama laki nne tu Nchi nzima

Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: CHADEMA ina wanachama laki nne tu Nchi nzima

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima.

Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo ili kupinga madai yake haupaswi kutukana matusi wala kukurupuka bali unapaswa kupinga kwa takwimu dhidi ya takwimu za Mtumishi wa Mungu Mpakwa mafuta Mchungaji peter Msigwa.

Soma hapa👎View attachment 3144950View attachment 3144951

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mnakazi machawa!Kila kukicha ni salute kwa Chama!
 
wanachama laki nne tu ndio walifanya polisi wakaandamana na magari yao, wanachama laki nne tu ndio wanafanya mnakimbia na fomu za wagombea hahahah yaani wanachama lak nne tuu ndio wanafanya kila kukicha mnaacha mambo yenu kwa ajili yao, maana akisema mmoja mnamjibu 10,

Nimewaza tu Bwana Lucas mutu ya mbozi
Sasa hukuona maandamano yamedoda na kumuacha mbowe na mke wake na mwanae ndio wameandamana?
 
Sasa hukuona maandamano yamedoda na kumuacha mbowe na mke wake na mwanae ndio wameandamana?
Hapana hayakudoda mzee mbona tuliyaona wamevaa magwanda na magari yao, walihamasishwa wakahamasika au wewe hukuona? ni wanachama 400 tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima.

Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo ili kupinga madai yake haupaswi kutukana matusi wala kukurupuka bali unapaswa kupinga kwa takwimu dhidi ya takwimu za Mtumishi wa Mungu Mpakwa mafuta Mchungaji peter Msigwa.

Soma hapa👎View attachment 3144950

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unajua idadi ya warepublican au wademocratic? Huku kwa kuwa wengi mpo kama misukule mnadhani idadi ya wanachama ni hoja ya msingi. Wenzetu wanaangalia maslahi ya nchi kwanza. Ndio sababu wapo warepublican walitamka wazi hawatampigia kura Trump na wapo salama. Nyie wavivu na mnaoishi kwa kutegemea uchawa mnaona issue ya wingi wa wanachama ni hoja. Mnasaidiwa kufikiri utadhani mkishinda mtapata nafuu yoyote kumbe ni mzigo wa upunguani unawasumbua. Huyo Msigwa mara ngapi amesema ccm wana akili ndogo!! Amewahi kufuta hilo kwanza,? vipi akili zenu ameziongeza yeye alivyohamia kwenu?
 
Unajua idadi ya warepublican au wademocratic? Huku kwa kuwa wengi mpo kama misukule mnadhani idadi ya wanachama ni hoja ya msingi. Wenzetu wanaangalia maslahi ya nchi kwanza. Ndio sababu wapo warepublican walitamka wazi hawatampigia kura Trump na wapo salama. Nyie wavivu na mnaoishi kwa kutegemea uchawa mnaona issue ya wingi wa wanachama ni hoja. Mnasaidiwa kufikiri utadhani mkishinda mtapata nafuu yoyote kumbe ni mzigo wa upunguani unawasumbua. Huyo Msigwa mara ngapi amesema ccm wana akili ndogo!! Amewahi kufuta hilo kwanza,? vipi akili zenu ameziongeza yeye alivyohamia kwenu?
Umeoangea mambo ya uongo uongo tu. Unaweza vipi kushinda bila kuwa na wanachama wanaokuunga mkono? CHADEMA haina wanachama zaidi ya hiyo idadi iliyotajwa na Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa.Ndio Maana unaona hata michango ya Lissu kununua Gari ilidoda sana
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima.

Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo ili kupinga madai yake haupaswi kutukana matusi wala kukurupuka bali unapaswa kupinga kwa takwimu dhidi ya takwimu za Mtumishi wa Mungu Mpakwa mafuta Mchungaji peter Msigwa.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Chadema haina mwanachama hata mmoja isipokuwa msigwa aliyehamia ccm hata hao laki 4 kasema uongo
 
Kwani wanaopiga kura kuchagua viongozi wa kitaifa ni wanachama wa vyama pekee? mbona hoja ya kipumbavu hivi. Nchi ina watu zaidi ya 50mwakati CCM haijawahi kuwa na wanachama zaidi ya 4M
 
Hiyo idadi ni ya waliojisajili kwenye mfumo wa kidijitali siyo ya wanachama wote.
 
Wamepoteana balaa
Siasa siasa siasa. Walisema wahenga siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Siku ukigeukwa na hao unaowashabikia utatukana matusi yote. Zipo kauli tata za vyama vyote. Ila chama tawala miaka 63 ya uhuru linganisha na maendeleo yake,, utachoka mwenyewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima.

Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo ili kupinga madai yake haupaswi kutukana matusi wala kukurupuka bali unapaswa kupinga kwa takwimu dhidi ya takwimu za Mtumishi wa Mungu Mpakwa mafuta Mchungaji peter Msigwa.


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mwashamba kama wewe sio chawa nipe somo kwa ufupi kuhusu nini itikadi ya ccm na malengo yake. Je azamio la arusha ilikua kitu gani na kwa ufupi nini sera ya ccm kuhusu mambo ya kimsingi siasa na uchumi. Na toa ushahidi mama yuko kwenye misingi ya kweli ya chama cha mapinduzi.
 
Back
Top Bottom