Huyu jamaa kimoyomoyo bado yupo alipotoka 😂😂😆View attachment 3145423
Yeye ni mwanachama wa ngapi katika hao laki nne?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa kimoyomoyo bado yupo alipotoka 😂😂😆View attachment 3145423
Yeye ni mwanachama wa ngapi katika hao laki nne?
Muhimu ni Wafuasi ambao Kimsingi Chadema inao wengi tuJ
Joni sasa unachemka, kwahiyo kama Chadema ina wanachama wengi kuzidi kondoo wa mch. Msigwa, huo ni uthibitisho kuwa Chadema ina wanachama wengi nchini?
Mimi siyo chawaLuca mbona unamgeuka chawa mwenzio!? 😂
Huyo ni Mbunge mstaafu aliyepokea kiinua mgongo cha takribani Millioni 272 mwaka 2020. Pia alipokea kiinua mgongo mwaka 2015. Sasa njaa inatoka wapi hapo?Ni hatari sana njaa ikihama toka tumboni na kuhamia kichwani.Huyu jamaa zimeshamruka
Wameingia baridiiiiiCHADEMA WANAPUMULIA MASHINE WAKO HOI TAABAN
Basi kunguni 😂😂😆Mimi siyo chawa
Peter Msigwa alitekwa akalawitiwa na kurekodiwa na kulazimishwa kujiunga CCM na kazi aliyopewa ni kuisema vibaya tu Chadema na asipofanya hivyo wanavujisha video alivyokuwa anapigwa mashine.Ndugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima.
Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo ili kupinga madai yake haupaswi kutukana matusi wala kukurupuka bali unapaswa kupinga kwa takwimu dhidi ya takwimu za Mtumishi wa Mungu Mpakwa mafuta Mchungaji peter Msigwa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukichaa umekupanda kichwani mwako.Peter Msigwa alitekwa akalawitiwa na kurekodiwa na kulazimishwa kujiunga CCM na kazi aliyopewa ni kuisema vibaya tu Chadema na asipofanya hivyo wanavujisha video alivyokuwa anapigwa mashine.
Na wewe wale wadudu wadogowadogo wameshaanza kukunyevua nyevua unatamani ungepigwa wewe mashine.Ukichaa umekupanda kichwani mwako.
Acha ungeseNdugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu Mchungaji Peter Msigwa amesema ya kuwa CHADEMA ina wanachama Laki 4 pekee nchi nzima.
Ambapo katika kuthibitisha madai hayo ameweka na ushahidi.hivyo ili kupinga madai yake haupaswi kutukana matusi wala kukurupuka bali unapaswa kupinga kwa takwimu dhidi ya takwimu za Mtumishi wa Mungu Mpakwa mafuta Mchungaji peter Msigwa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe endelea na CHADEMA yako chama na genge la kitapeli huko.Acha Mtumishi wa Mungu aendelee kuongea ukweli