Mchungaji Peter Msigwa: Ni Makamanda wa Mitandaoni tu, Hawana Lolote Lile..

Mchungaji Peter Msigwa: Ni Makamanda wa Mitandaoni tu, Hawana Lolote Lile..

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.

Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandika
Screenshot_20240925-140555_1.jpg


Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 
Would he rather watu waandamane na kusababisha Havoc?!! Badala ya kukemea yaliyotokea na yanayoendelea kutokea analeta ubabe wa kizamani..., Ifike wakati tutumie Busara tushughulikie root causes..., kwahio hata kama haukubaliani na wanaosema atleast zungumzia issues...

 
Mkuu,ila kuendelea kuwashambulia upande wa pili,inatafsirika kua bado anaumia kwa kuondoka kwake huko.
Kazi ya watumishi wa Mungu ni kuongea ukweli. Mchungaji peter Msigwa anaongea na kuwapeni ukweli ili kuwafumbua macho vipofu wa macho na akili.
 
Sio kwamba kachanganyikiwa Msigwa ameakisi tabia ya Watanzania waliowengi tabia ya kinafiki.

Wewe angalia Viongozi wengi wa CHADEMA waliohamia CCM maneno yao yanafanana.
Tatizo lenu ma CHADEMA hampendi kuambiwa ukweli .
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.

Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Walimdanganya na Lowasa Kwa mafuriko ya mitandaoni.😂😂
 
Back
Top Bottom