Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,237
- 1,696
Huyu aishi maisha sasa, maana njia aliyochagua kupata hela ni ya kimalaya malaya sana. Haamini tena maandika, OMBENI NANYI MTAPEWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana majuzi walimuuza mbowe na familia yake mpaka akaanza kuwaomba waandishi wa habari ili waandamane nao Utafikiri walimwambia kuwa wanataka kuandamana.yaani vijana wote wamemkimbia halafu anataka waandishi wa habari waandamane Utafikiri huwa anawapa Ruzuku.kwenye Ruzuku anakula mwenyewe halafu kwenye maandamano anawataka waandishi wa habariWalimdanganya na Lowasa Kwa mafuriko ya mitandaoni.😂😂
Endelea kuhangaika na kuumia.Usimlishe Msigwa maneno hajasema kule aliko toka hayo ni yako mwenyewe anaweza akawa amewasema CCM wenyewe.
Issue inakuja kwenye timing,why now? why not before?Kazi ya watumishi wa Mungu ni kuongea ukweli. Mchungaji peter Msigwa anaongea na kuwapeni ukweli ili kuwafumbua macho vipofu wa macho na akili.
Kwa sababu huu ndio wakati sahihi wakuwaambia ukweli watanzania ili wasiendelee kudanganywa na kudanganyika na yake maigizo ya wale wanaojiita makamanda.Issue inakuja kwenye timing,why now? why not before?
Sijui umenielewa?
Niumie kwa sababu ya maneno yako ya kumulisha Msigwa?.Endelea kuhangaika na kuumia.
Chief shughuli zako za kujiingizia kipato huwa unazifanya saa ngapi?Ndugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.
Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo ni kichaa!Ndugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.
Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Walimuacha kweli solemba MKiti wao na kubaki na hamasa ya mtandaoni.Ndugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.
Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
mpakwa Mafuta
Binaadam. Wangaliamana leo yangalitokea maafa mngaliandika wanyonge. Wasiondamana mnaona wapuuzi. Msigwa ktk watu niliowadharau ktk maisha yangu ni yeye LipumbaNdugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.
Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hizi njaa hizi, Lisu alikula shaba 36!Ndugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.
Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Darasa la Saba anajitutumua sasa - mitandaoni wamem- touch 🙂Ndugu zangu Watanzania,
Mtumishi wa Mungu mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa ameyasema hayo na kutoa kauli hiyo inayoonyesha kuwananga wale wanaojiita makamanda kutoka kule alikokuwa awali,ambako unaweza kusema Misiri ya awali.
Ambapo sasa anafurahia Maisha ndani ya Canaani ambayo ni CCM.chama chenye kujali watu wote na chenye usikivu wa hali ya juu .Amedai ya kuwa ukiona namna wanavyoandika mitandaoni unaweza kufikiria kuwa wanamaanisha,kumbe hata wao wenyewe hawakiamini kile wanachokiandikaView attachment 3106298
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
View attachment 3107384
Mbona haeleweki huyu kama popo.
Nani anaempaka mafuta?mpakwa Mafuta Mchungaji peter Msigwa