Mchungaji Peter Msigwa: Ni Makamanda wa Mitandaoni tu, Hawana Lolote Lile..

Huyu aishi maisha sasa, maana njia aliyochagua kupata hela ni ya kimalaya malaya sana. Haamini tena maandika, OMBENI NANYI MTAPEWA.
 
Usimlishe Msigwa maneno hajasema kule aliko toka hayo ni yako mwenyewe anaweza akawa amewasema CCM wenyewe.
 
Walimdanganya na Lowasa Kwa mafuriko ya mitandaoni.😂😂
Ndio maana majuzi walimuuza mbowe na familia yake mpaka akaanza kuwaomba waandishi wa habari ili waandamane nao Utafikiri walimwambia kuwa wanataka kuandamana.yaani vijana wote wamemkimbia halafu anataka waandishi wa habari waandamane Utafikiri huwa anawapa Ruzuku.kwenye Ruzuku anakula mwenyewe halafu kwenye maandamano anawataka waandishi wa habari
 
Chief shughuli zako za kujiingizia kipato huwa unazifanya saa ngapi?
 
Huyo ni kichaa!
 
Walimuacha kweli solemba MKiti wao na kubaki na hamasa ya mtandaoni.
 
Binaadam. Wangaliamana leo yangalitokea maafa mngaliandika wanyonge. Wasiondamana mnaona wapuuzi. Msigwa ktk watu niliowadharau ktk maisha yangu ni yeye Lipumba
 
Hizi njaa hizi, Lisu alikula shaba 36!
 
Darasa la Saba anajitutumua sasa - mitandaoni wamem- touch 🙂
 
Your browser is not able to display this video.

Mbona haeleweki huyu kama popo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…