raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Mtuhumiwa isije kuwa anatumika kisiasa dhidi ya mbunge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nasemaje hayo ni makubaLIano yao ya faragha huyo Malaya kaamua kutumia Jinsia yake kumshtaki na kumchafua sababu kafanya kinyume na makubaLiano, amle Jicho ampe Range Rover Sport 1Kumbe sio mara y kwanza? Itakuwa Mtuhumiwa hakufika Bei
Mkuu hivi unajua nguvu ya mtandao lakini...Hii case iwe kweli au uongo haitafika popote.
Mbunge au Mkuu wa Mkoa?Mtuhumiwa isije kuwa anatumika kisiasa dhidi ya mbunge
Kama ya Udom iliisha na ile ya Gekul iliisha nini kinachokufanya uamini kwamba hii haiwezi kuisha?Mkuu hivi unajua nguvu ya mtandao lakini...
Angalia sasa labda wafiche fiche kama ile ya yudomu
Makada kwa matukio wamezidi....kila baya kwao.Mnamficha ili iweje huyo kada wa CCM!
Aisee sijui lakini.Kama ya Udom iliisha na ile ya Gekul iliisha nini kinachokufanya uamini kwamba hii haiwezi kuisha?
Hawamlazimishi mtu lakin...Mimi nawateteaNa hawa wazee kwanini na wao wasitulie kutwa kufata vitoto vya 2000
Why..!
Daah yaan vitoto navyo vina tamaaa za ajabu ajabu aiseeeeeHawamlazimishi mtu lakin...Mimi nawatetea
Mtu kama anaweza kutoka malimbe SAUT the the cask inamaana anataka na yeye
Mkuu hao vijana unaowasema ndio wengi huongoza kwa tabia hizo chafu aise tembea uone hasa ukanda wa pwani.Mtu una miaka 21. Unalala na wanaume saizi ya baba yako na kuacha vijana wa rika lako.
Hayo ndo malipo.
Na hii ipo sana kwa wanafunzi wa vyuo. Mnaacha kutafuta vijana wenzenu, msomane, muelewane kisha mpalilie penzi likue hadi uchumba na ndoa. Nyinyi mnadharau vijana wenzenu kisa hawajajipata na kukimbilia wazee.
Imeshajulikana ni Mkuu wa Mkoa gani na tayari Polisi huko Kanda ya Ziwa wameshamjua ila Wakubwa wanataka Kumlinda.Ni tuhuma tu,Tusubiri majibu ya upelelezi kaka yetu mpendwa Genta