Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Wekeni sheria ya kuwanyonga kwisha habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu simiyu umeitoa wapiAisee yani kama viongozi tu ndo wanafanya haya tutafika utukiwa tumechoka motoni.
View attachment 3014263
kashajulikana ni wa simiyumwananchi nao wameandika kwa kificho sana ,eti RC WA moja ya mikoa ya kanda ya ziwa
si wamtaje tu
Mkuu hii Habari mpaka Polisi na kwenye magazeti sasa Kwann wanafuta?Huyo binti alikuwa ni Mpenzi wake ama ilikuwa one night stand?
Je ni wapenzi wa ngapi wanafanya ngono kinyume na Maumbile na haiwi big issue?
Iweje mambo ya faragha yavuje, ina maana Kuna mtu alikuwa anawarekodi?
Huko tktk inasemekana kila mwanamke mwenye tKo ana hamasisha aliwe jicho,kutwa kulitingisha kulinesanesa vurugu tupuHuyo binti alikuwa ni Mpenzi wake ama ilikuwa one night stand?
Je ni wapenzi wa ngapi wanafanya ngono kinyume na Maumbile na haiwi big issue?
Iweje mambo ya faragha yavuje, ina maana Kuna mtu alikuwa anawarekodi?
Ni mtu wa bukoba.Huyo binti hakosi msambwanda
😄
Ova
kwenye barua katajwa yahya nawandaRC wa Tabora (Toronto) ni Paul Chacha; siyo Yahaya.