MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Mkuu inaelekea unataarifa zilizo nyooka.
Ushauri
Fika kituo cha pokisi toa maelezo yako ambayo yatasaidia kukamatwa kwake. Ikitokea umetoa maelezo na ushahid na haujachukuliwa hatua basi tutajua kuna namna.

Wape polisi ushirikiano ili kupinga hizi tabia mbaya za watu
 
Huko tktk inasemekana kila mwanamke mwenye tKo ana hamasisha aliwe jicho,kutwa kulitingisha kulinesanesa vurugu tupu

Ova
Kwa hali ya maisha ya sasa, ni Wasichana wachache sana wasifanya ngono kinyume cha Maumbile

Huyo binti huenda amekuwa akifanya naye Kwa ridhaa yake ila wakashindana malipo.

Japo inaweza kuwa ni mbinu ya kumuondoa huyo RC kwenye nafasi hasa kama Kuna mahali aliingilia maslahi ya watu.

Nimekuwa nafanya kazi na Wanasiasa Kwa muda mrefu sasa, hivyo nafahamu kidogo kuhusu mchezo mchafu uliopo kwenye Siasa 🙌

Kwa kuwa taarifa inaweza kufanyiwa kazi na mfumo, hivyo tunaweza kujua undani wa taarifa hii
 
Nimesoma taaria za huyo jamaa mfupi kumlawiti mwanafunzi wa SAUT nimejiuliza sana kwanini hajakamatwa hadi sasa , mbona matukio kama hayo wakifanya watu wa kawaida hata saa moja halifiki anakua mikononi mwa polisi? inamaana huko Tanzania ukiwa mteule wa Rais uko juu ya Sheria? ndiomaana watu wanataka Katiba Mpya , inawezekanaje mkuu wa mkoa anafir...kabinti ambacho ni kama mwanaye wa kumzaa na bado anakalia ofisi za umma, nimekasirishwa sana na ukitaka kujua hamna nia ya kumchukulia hatua taarifa ya Polisi inayoelezea waziwazi jinsi alivyomla 0713 mtoto wa watu imeanikwa hadharani japo ni classified document , inasambaa kama moto huko mitandaoni lakini sioni press release ya Ikulu ya utenguzi hadi sasahivi. Polisi waache kuogopa wateule wamkamate na kumweka ndani mara moja ili iwe fundisho kwa wakware wengine kama yeye,SHENZY Kabisa.
MNASHINDWA HATA KUJIPANGA KUMCHAFUA MTU

SASA JITUKAMA NANCY SWAI LA SAUTI NA MAPICHAYAKE MACHSFU ENZIZILE UTASEMA LIMELAWITIWA AMA LIAKILAWITI

SAUTI KUNA MAJINI MAHABA NA UKIMWI WA KUTOSHA KULE WALA SIO KWA KUWAONGELEA WATOTO WENGI WANAJILIPIA ADA KWA ANJIA ZA KUUZA UCHI

HUYO KAKOPWAAA KINAMUWASHA
 
Nimesoma taaria za huyo jamaa mfupi kumlawiti mwanafunzi wa SAUT nimejiuliza sana kwanini hajakamatwa hadi sasa , mbona matukio kama hayo wakifanya watu wa kawaida hata saa moja halifiki anakua mikononi mwa polisi? inamaana huko Tanzania ukiwa mteule wa Rais uko juu ya Sheria? ndiomaana watu wanataka Katiba Mpya , inawezekanaje mkuu wa mkoa anafir...kabinti ambacho ni kama mwanaye wa kumzaa na bado anakalia ofisi za umma, nimekasirishwa sana na ukitaka kujua hamna nia ya kumchukulia hatua taarifa ya Polisi inayoelezea waziwazi jinsi alivyomla 0713 mtoto wa watu imeanikwa hadharani japo ni classified document , inasambaa kama moto huko mitandaoni lakini sioni press release ya Ikulu ya utenguzi hadi sasahivi. Polisi waache kuogopa wateule wamkamate na kumweka ndani mara moja ili iwe fundisho kwa wakware wengine kama yeye,SHENZY Kabisa.
Itaishia kama Ile ya Naibu Waziri aliyemsababishia kifo Mwanachuo wakati akikimbia asifumwe na Mke wake.
 
Huyo binti alikuwa ni Mpenzi wake ama ilikuwa one night stand?

Je ni wapenzi wa ngapi wanafanya ngono kinyume na Maumbile na haiwi big issue?

Iweje mambo ya faragha yavuje, ina maana Kuna mtu alikuwa anawarekodi?
Ukiona hivi ujue kuna namna. Ndio maana wengine wanakulana na inaisha huko huko vyumbani.
 
Mkuu hii Habari mpaka Polisi na kwenye magazeti sasa Kwann wanafuta?
Inawezekana wanatafuta ukweli wa taarifa yenyewe ili kujiridhisha.

Ila kusema kweli, ni mabinti wengi wanafanya aina hiyo ya ngono, labda jumba bovu limuangukie RC
 
Inawezekana wanatafuta ukweli wa taarifa yenyewe ili kujiridhisha.

Ila kusema kweli, ni mabinti wengi wanafanya aina hiyo ya ngono, labda jumba bovu limuangukie RC
sasa hapa kuna uwezekano katengenezewa mfumo na yeye akajaa, yaani kuna namna hapa kisiasa lakini Kwann binti aseme hataki kuendelea na kesi?
 
Back
Top Bottom