MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Kwa hali ya maisha ya sasa, ni Wasichana wachache sana wasifanya ngono kinyume cha Maumbile

Huyo binti huenda amekuwa akifanya naye Kwa ridhaa yake ila wakashindana malipo.

Japo inaweza kuwa ni mbinu ya kumuondoa huyo RC kwenye nafasi hasa kama Kuna mahali aliingilia maslahi ya watu.

Nimekuwa nafanya kazi na Wanasiasa Kwa muda mrefu sasa, hivyo nafahamu kidogo kuhusu mchezo mchafu uliopo kwenye Siasa 🙌

Kwa kuwa taarifa inaweza kufanyiwa kazi na mfumo, hivyo tunaweza kujua undani wa taarifa hii
Kabisa, huyo dada lazima atakuwa ni mtu wake wa kitambo tu na kama kumpa mtaro washapeana sana
Wadada sahv wao kufiln kitu cha kawaida tu tena ukiwapa pesa wanafilwwww sana tu kwa tamaa zao
Na siku ikija mambo wa kuwakagua marinda marinda mengi yashafumuliwaaaaa

Ova
 

Attachments

  • F6D260A3-ED2A-48F0-8E11-763261E81A6B.jpeg
    F6D260A3-ED2A-48F0-8E11-763261E81A6B.jpeg
    127.9 KB · Views: 3
MNASHINDWA HATA KUJIPANGA KUMCHAFUA MTU

SASA JITUKAMA NANCY SWAI LA SAUTI NA MAPICHAYAKE MACHSFU ENZIZILE UTASEMA LIMELAWITIWA AMA LIAKILAWITI

SAUTI KUNA MAJINI MAHABA NA UKIMWI WA KUTOSHA KULE WALA SIO KWA KUWAONGELEA WATOTO WENGI WANAJILIPIA ADA KWA ANJIA ZA KUUZA UCHI

HUYO KAKOPWAAA KINAMUWASHA
Madem wengi hapo wanatoa jicho sana
Wao kutoa kinyeooo syo issue

Ova
 
My Take
Kwa Tuhuma hizi tuu,huyu RC wa Mwanza alitakiwa awe amefukizwa kazi Ili asizime ushahidi but Bado anadunda.Inasikitisha sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora Yahaya Nawanda Kalawiti mwanafunzi ila bado yuko Ofisini na Hatua hazichukuliwi

Mwisho,huenda jambo hili nalo likaishia kama yule Waziri aliyesababisha ajali ya mwanachuo na ikasemekana yeye hahusiki kama tulivyotangaziwa.

Viongozi Wetu hawana maadili kabisa.

View: https://www.instagram.com/p/C8EN1EXNAYF/?igsh=MTh0OTFwaTZ3amJteg==

aliingiaje kwenye gari la kuuu wa mkoa? Mwanafunzi wa University? male or female?
 
Back
Top Bottom