Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Ndugai kosa lake kumnyima Lissu stahiki zake na kuwakumbatia covid 19.Ndugai alitenda kosa gani mbona ndimi ziliwatoka? Mpk matamko ya UVCCM n.k yakatolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugai kosa lake kumnyima Lissu stahiki zake na kuwakumbatia covid 19.Ndugai alitenda kosa gani mbona ndimi ziliwatoka? Mpk matamko ya UVCCM n.k yakatolewa.
Sawa sasa pesa imeenda kwahiyo atakula jeuri yakeWanaume tunatafuta nafasi ili tule mademu, kwahiyo kupoteza nafasi kwasabb ya kula demu ni ushujaa. Hongera sana baharia Dkt. Yahaya Namwanda kwa kutuwakikisha vema.
Hata huyo mkewe nae saa hii atakua kashachukua maamuzi magumuLabda atosheki na mkewe
PhD ya sayansi ya jamiianaHuyu Dkt Yahaya, Ni Dr wa PhD au Dkt wa tiba au dk wa tiGo?
Yule Jamaa yangu Mmasai alimwuliza konda kipindi mabasi yanasafiri UsikuKuna mmoja namtambua ni mdogo wa binti flan nayemjua ni wapare.
Anasoma Mwenge Kaskazini huko Kilimanjaro.
Kajuana na mwarabu ana pesa zake imagine kakubali kupelekwa hadi Dar kakodiwa mpaka hotel chumba.
Yule mwarabu na wenzake wawili walimpiga mtungo wa kwa mparange ,binti mpaka anarudi chuo akikohoa kidogo kaachia kimba.
Mpaka anakuja kupona akili ilimkaa sawa.
Hawa mabinti hawa tamaa hizi mbaya sana aisee.
Sheria inaadhibu na aliyetoa kinyeoMkuu issue sio kubakwa or consent, anal sex hairuhusiwi kisheria na kifungo ni miaka 20. So hata kama hajambaka ila kumuingilia kinyume tu ni kosa lenye kifungo tajwa hapo juu.
Kingine kubakwa sio lazima upige kelele hata mtu ku-take advantage of you kama kukuwekea madawa ya kulevya, kilevi, au kukutishia na silaha ili akuingilie bado ni rape tu.
Huyo ni mbakaji kwenye jicho la sheria na maadam forensic evidence ipo mahakama itaamua
Sasa kama amekaa naye miaka mingi atakuwa ameshamharibu ataenda wapi mama wa watu bila marinda, itabidi amvumilie tu huyu bazazi wake.Hata huyo mkewe nae saa hii atakua kashachukua maamuzi magumu
Soon utasikia kateuliwa kuwa katibu mkuu wizara ya jinsia, wanawake na watoto. Usicheze na wanasiasa bwana.Sawa sasa pesa imeenda kwahiyo atakula jeuri yake
Uzuri hata mamlaka yake ya uteuzi Haiwazi kama wewe na tayari amewajibishwa kupisha uchunguzi. Halafu Mkuu una Binti ? kama unae/o Pole nyingi zifikwe kwake/o kwani they are in wrong hands kama Baba au Mama.Nanukuu:
"Kuna Gap kubwa sana kati ya mkuu wa Mkoa na Mwanafunzi".
Mwanafunzi 21 yrs?? Hiyo ni misnomer. Huyo ni mtu mzima aliyeko masomoni.
Hao ICoCA wabainisha kwamba katika mahusiano ya Hiari kuna vyeo vinahusika? kwamba RC anaruhusiwa/anatakiwa ahusiane na mabinti wa kaliba gani?
Lakini hata hivyo kwani huyo binti hajafikisha umri wa ni Ruksa ku naniliu bila kuwa Sheria imekiukwa?
Huyo hajawa exploited bali ametumia uhuru wake binafsi kadri alivyopenda na hazuiliwi na yeyote including hao ICoCA.
MmhSakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Nahisi kama ni mpango uliosukwaHuyo msichana nae njaa zitamuua. Alishafanyiwa kitendo haramu na bado akaendelea kuwasiliana na muhusika hadi kuonana naye tena.
Vyovyote iwavyo, nae ana makosa ya kuendekeza tamaa.
Sheria hairuhusu anal sex, so either way kama alibakwa au consent wote wanaenda jela miaka 20. Mbona Sheria ipo clear sielewi unachotetea.Huyo binti hakupiga kelele jambo ambalo linaashiria kulikuwepo na makubaliano
Watanzania ni wanafiki Sana mbele ya cameraKuna "Clip" niliiona siku za nyuma kidogo, alikuwa anaongea na Maaskari akiwasisitiza kusali, tena akiwaambia ni amri siyo ombi, nachelea kuamini kama ni yeye aliyefanya hilo, kweli shetani anajua kuaibisha Watu..
Yes kama sio kubakwa basi wote wanaenda jela so either way mkuu wa mkoa ana makosa A. KUBAKA na kama sio kubaka basi B. Mapenzi kinyume na maumbile.Sheria inaadhibu na aliyetoa kinyeo