Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni fedheha na aibu kubwa mno, familia Yako sijui unaieleza nn hata kama tuhuma sio za kweli....admn atakua kasha mremove kwenye group la wakuu wa mikoaNi Rc wa simiyu DKT Yahya ameshatenguliwa
Ndugai alitenda kosa gani mbona ndimi ziliwatoka? Mpk matamko ya UVCCM n.k yakatolewa.Tukiona mbadhirifu wa Mali ya umma, mfiraji au anayeonea watu akitumbuliwa ndio tunafurahi.
Mbona Lukuvi alivyoondolewa ardhi hakuna aliye furahi?
Wakikuona unazo unazo wao wenyewe wanakuambia mwili wako huu chagua tundu uipendayo.Wanavyuo wengi ,wakipewa fedha ni wewe uchague unachokitaka.
Mwamba kajilia zake ndogo.nasikia simiyu huko
Ukifika umri wao njoo usome comment yako tena🙂Na hawa wazee kwanini na wao wasitulie kutwa kufata vitoto vya 2000
Why..!
Jamaa hataki kusafi anataka kuchafu tu dadeq.Serikali ya wafilaji na .....!
Alishamuomba kwa mpalange mara kadhaa binti akachomoa.Kwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Kwemye gari ....parking......bar maarufuKwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Hahaha..Jamaa hataki kusafi anataka kuchafu tu dadeq.
Kama ule wa bashite,unatamanisha sana.Itakuwa huyo binti Ana msambwanda msambwanda
Hahaha
aise
Ngoja tuingie chimbo kutafuta picha yake
Ova
Ni kinyume cha sheria za nchi yetu. Hata kama mmekubaliana.Kwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Baraza la wazee wa Kipemba limeanza kupitia taarifa hizi kuanzia asubuhi hadi sasa ila hawajaona kosa liko wapi.Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Bazazi kama huyu hapo kwenye kinyeo kwake ndiyo mbinguni.Kuna watu kwenda Mbinguni hawataki kabisaaa!
Wanawake wenyewe sahvi kutwa kuonesha midambwand yaoNi kinyume cha sheria za nchi yetu. Hata kama mmekubaliana.
Mtego huo, Jamhuri haipendiWanawake wenyewe sahvi kutwa kuonesha midambwand yao
Unafikiri wana hamasisha nn kama syo kutaka kufukuliwa nnya
Ova
