MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Mambo ambayo nimejifunza kwa muda mrefu (uzoefu wangu)ni:-
1. Ukipata au ukiwa ni mkubwa mahali pako pa kazi; jiongeze mara dufu kwa kuchukua tahadhari kubwa ukijua kwamba hiyo nafasi uliyopata, wapo wengi waliitamani na wanaitamani na pengine walikuwa wanaifukuzia. Jihadhari.
2. Usiku una mambo mengi mno i.e. wakati wa giza una mambo mengi sana. e.g. Nimehudhuria kesi nyingi mahakamani na amini usiamini, 95% ya mashauri yaliyokuwa yameletwa mahakamani ni mambo au ni matukio yaliyohusu mambo yaliyotendwa usiku. e.g. Kipigo na kujeruhi, Kufumania na kujeruhi kwa silaha(Kukata mapanga), Kubaka na kulawiti, wizi, n.k.
3. Matumizi ya pombe (Unywaji)yaliyopitiliza(Ulevi)ni kitu kinachochangia kwa kiasi kikubwa mno mtu kutenda jambo ambalo ni aibu kubwa na pengine ingekuwa kama sio kulewa pombe, kamwe asingelifanya tukio hilo e.g. Kutorosha mke/mme i.e. kuvunja ndoa ya mtu au kukamatwa Ugoni n.k.
Mwisho ni kwamba ukichanganya vyote kwa pamoja na katika eneo moja;
Giza/Usiku + Madaraka + Pombe/Ulevi+ Tamaa za mwili zisizodhibitiwa (Ashki = Genye) Utapata maangamizo au wanaita anguko kuu na usipokufa au kufungwa jela bahati yako ila hutakosa kupata majeraha/Madhara ya kimwili, kiuchumi na kiroho.
Sasa we kiongozi unakwenda the cask bar 😄

Ova
 
Mfano mwanamke kama huyo anaonesha kalio anategesha
Anataka nini si kuliwa mtaro tu
@p

Ova
 

Attachments

  • Screenshot_20240611_113436_Instagram.jpg
    Screenshot_20240611_113436_Instagram.jpg
    753 KB · Views: 4
  • Screenshot_20240611_113436_Instagram.jpg
    Screenshot_20240611_113436_Instagram.jpg
    753 KB · Views: 3
Watanzania wengi hatuna kitu. Kwahiyo tukiona aliye nacho kapata shida tunajipa furaha "hewa" ( yaani furaha ambayo haituondolei shida zetu)
huwa nashangaa sana hiki kitu, unakuta mtu anakupigia simu flani kafukuzwa kazi, flani kapatwa na magumu haya huku ana furaha sana

kiukweli watanzania tuna roho zetu
 
Nafurahi Kuona kuna watu wanataka haki kwenye hili, Kama hadi footage za CCTV Zipo na ushahidi wakibiolojia Mtuhumiwa anapaswa akamatwe na Binti aanze kupewa Ulinzi na counselling.
Hilo litakuwa sio sahihi. Ushahidi huo hauna mashiko Mahakamani Hautoshi kumtia mtuhumiwa hatiani. Yapo mengi na muhimu ambayo yanahitajika ili ushahidi huo uliousema hapo juu uweze kukubalika na kuleta Logic mahakamani. e.g. ni kwa nini Binti (mtu mzima) asipige kelele ya kuomba msaada?, kwa nini alikubali kwenda ndani ya gari la mtuhumiwa kama sio hiari yake?, mwanafunzi(binti) usiku huo huko bar alifuata nini au alimfuata nani? kwa nini hakuwa na msindikizaji yeyote,? Je, hiyo ni mara yake ya kwanza kulawitiwa? (soma report ya Daktari alisemaje) n.k. n.k
Hiyo ni mojawapo ya mbinu za kuchafuana kisiasa.
(BTW: Mimi sio mwanasiasa na kamwe sijihusishi na siasa- siipendi kabisa kwani siasa ni Mchezo mchafu.)
 
Back
Top Bottom