MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Wanaume tunatafuta nafasi ili tule mademu, kwahiyo kupoteza nafasi kwasabb ya kula demu ni ushujaa. Hongera sana baharia Dkt. Yahaya Namwanda kwa kutuwakikisha vema.
Sawa sasa pesa imeenda kwahiyo atakula jeuri yake
 
Yule Jamaa yangu Mmasai alimwuliza konda kipindi mabasi yanasafiri Usiku
"Ero! Iye Konda? Kwani iko mbaya ganyi kama mtu inakula mali yake?"
Konda bila kujua maana ya swali akasema "Oh Broo, Ni ruksa kabisa we andelea tu"
Kilichofuata ni watu/abiria kusema kwa kelele We, We, Wee acha, acha chakula uliyoruhusiwa sio-sio hiyo!
Mabinti wanakimbilia wasikokujua.
 
Sheria inaadhibu na aliyetoa kinyeo
 
Uzuri hata mamlaka yake ya uteuzi Haiwazi kama wewe na tayari amewajibishwa kupisha uchunguzi. Halafu Mkuu una Binti ? kama unae/o Pole nyingi zifikwe kwake/o kwani they are in wrong hands kama Baba au Mama.
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Mmh
 
Huyo binti hakupiga kelele jambo ambalo linaashiria kulikuwepo na makubaliano
Sheria hairuhusu anal sex, so either way kama alibakwa au consent wote wanaenda jela miaka 20. Mbona Sheria ipo clear sielewi unachotetea.

Pia ukisoma gazeti unaambiwa kwa hofu ya walinzi wa mheshimiwa mtu anaogopa kupigwa hata risasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…