MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Nanukuu :"Sheria hairuhusu anal sex, so either way kama alibakwa au consent wote wanaenda jela miaka 20. Mbona Sheria ipo clear sielewi unachotetea".
Siwatetei au simtetei RC bali Sheria ni Lazima iweze kuthibitika kukiukwa na Haki ionekane kutendeka.
Sasa hapo mbona inawezekana kabisa mahakama ikalitupilia mbali shauri hilo na kumtaka Mlalamikaji (binti)akamlete aliyemwingilia kinyume na maumbile kwani RC sio mhusika na Binti mwanafunzi kwa uthibitisho uliopatikana wa daktari, ataonekana ni mzoefu wa kitendo hiko na hilo peke yake linaweza kumtia hatiani(kama hiyo sheria iliyotajwa ndivyo inavyosema na kutafsiriwa).
Mkuu una maoni gani kwa mtuhumiwa kukamatwa?
 
Mkuu una maoni gani kwa mtuhumiwa kukamatwa?
Mtuhumiwa kukamatwa ni sahihi (ni utaratibu) ila kukamatwa sio kwamba ameshapatikana na kosa. Bado anazo haki zake ikiwa ni pamoja na kupewa dhamana na Nafasi ya kujitetea (kusikilizwa)mbele ya mahakama endapo kama shauri hilo litafika huko. Mahakama ndio itahamua.
 
Kama namwona mkuu wa mkoa vile anawish ajikute amekufa paaaap!
Kwa nini mkuu?Mbona akitulia na kuzichanga karata zake vizuri anachomoka mapema tuu? 👉 Mlalamikaji si aliandika barua ya kutotaka kuendelea na shitaka? Why?
Kwa kitendo hiko Jamhuri itakosa nguvu kwani shahidi # 1 (binti)amejitoa halafu Maelezo ya Daktari hayana mashiko na kamera cctv hazioneshi tukio likitendeka. Majibu ya DNA tu ndo kimbembe.
 
Huyo msichana nae njaa zitamuua. Alishafanyiwa kitendo haramu na bado akaendelea kuwasiliana na muhusika hadi kuonana naye tena.

Vyovyote iwavyo, nae ana makosa ya kuendekeza tamaa.
Kwanza wote ni mijitu mizima ipuuzwe tuu, kwanzia umri wa miaka 18 wewe ni mtu mzima, kama dada ameamua kuliwa kalio kisa ni mkuu wa mkoa sisi tutajuaje, hayatuhusu, hao walikubaliana wenyewe na huyo dada yaonekana ndo michezo yake, Tena akome

Aliwe yeye, pesa apewe yeye utamu apate yeye aje atusumbue sisi? Mbona wakati anahongwa skuzote hizo asitushirikishe Leo hii ndo atushirikishe????? Nyooooooo zake, Tena afi.......rwe tuuu na Mimi nasema wafi.......rwe tuuu mara mana hamna namna ingine Sasa, hio ndo dawa Yao na tamaa zao za kishenzi wadada wa dizaini yake.

Mkuu wa mkoa Hana kesi apewe maua yake, safi sana.
 
Sijaona picha ya huyo msichana, atakua mzuri sana maana mpaka muheshimiwa kushindwa kuvumilia? Hapo chacha RPC anaefatilia kesi ni Muhaya, alielawitiwa ni Muhaya, patamu hapo, sijui muheshimiwa sana ni kabila gani
 
Yahya unaishi wapi,,,,, Magereza
Yahya hukuwaona wakubwa wenzio mkubaliane kuliko vitoto hivyo jamani.
 
Hawamlazimishi mtu lakin...Mimi nawatetea
Mtu kama anaweza kutoka malimbe SAUT the the cask inamaana anataka na yeye
Yeah ni sahihi na huyo dem ana kesi flani iliwahi tokea kuna jamaa wanafunzi wa sheria walinipa nikasoma dem ni mzoefu wa matukio
 
Back
Top Bottom