MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Ukitaka kujua wanawake ni wanafiki ni kupitia hili tukio, mpaka muda huu sijawasikia wale sijui LHRC Wala wale wanaojiita jumuiya ya wanawake wa CCM nchi ina watu wajinga sana hii


Kuhusu la RC wa Simiyu sioni Cha ajabu maana CCM ndio michezo Yao Kuna matukio ya ajabu mengi tu wameshafanya na wataendelea kuyafanya
Hilo ni tukio la aibu.
Maana hata binti naye ameshiriki kwa 50% kwa sababu ya tamaa zake japo mkuu wa mkoa naye amekosea.
Muda huo angekuwa yuko chuo au hostel anajisomea hilo lisingetokea.
 
Kosa hapo lipo kwa huyo mkuu wa mkoa maana hauwezi kutumia udhaifu wa MTU kujipatia faida

Hawa watoto wanaweza kuwa wana tamaa Ila usizitumie tamaa zao kufanya nao ngono

Nchi zetu zinasapoti ujinga Sana Ila n reality haifai hata MTU akikufata anashida mtatulie shida yake pasipokuomba Ngono au pesa

Be nice always
 
Ameshaanza kuwadanganya kuwa ni vita za kisiasa sababu anataka kugombea Ubunge huko kwao Newala Vijijini.

Kingine ni kuwa, bahati yake mbaya amefanyia huo ujinga Mwanza ambako Mkuu wake wa Mkoa ni mume wa Mbunge wa sasa wa Newala Vijijini ambaye Nawanda ni hasimu wake. Hiyo inaitwa mbwa kala mbwa..
Ndio maana wengi wanaona kama hili suala la RC na mwanafunzi ni tukio lililopangwa kwa manufaa ya kisiasa. Mwisho wa siku kuna anayenufaika na hili tukio
 
Hilo ni tukio la aibu.
Maana hata binti naye ameshiriki kwa 50% kwa sababu ya tamaa zake japo mkuu wa mkoa naye amekosea.
Muda huo angekuwa yuko chuo au hostel anajisomea hilo lisingetokea.
Mkuu wa mkoa ametumia cheo chake na ametumia nguvu ya pesa kumdhalilisha huyo binti.
 
Mkuu wa mkoa ametumia cheo chake na ametumia nguvu ya pesa kumdhalilisha huyo binti.
Hilo ni kweli sijakataa lakini kuna maswali mengi pia ya kujiuliza bila kushabikia upande wowote.
Huyo binti mwanafunzi alifuata nini kwenye bar?
Kwa nini alikuwa na mawasiliano na huyo mkuu wa mkoa kwa miezi kadhaa?
Aliitikia wito wa mkuu wa mkoa yeye akiwa kama nani wake?
 
Hilo ni kweli sijakataa lakini kuna maswali mengi pia ya kujiuliza bila kushabikia upande wowote.
Huyo binti mwanafunzi alifuata nini kwenye bar?
Kwa nini alikuwa na mawasiliano na huyo mkuu wa mkoa kwa miezi kadhaa?
Aliitikia wito wa mkuu wa mkoa yeye akiwa kama nani wake?
Hizi video za cctv ziko wapi??? Kama ni kwelii mkuu wa mkoa kamlawiti why afute kesiii..?? Huyu binti aburuzweee mahakamani kama alitumika kisiasaaa ajuteeee iwe funzo kwa malayaa wengine kama huyuuu.
 
Ndo maana mimi hivi vidude vya hadi 25 vipite kuleee lakini 35-40 hawa kwanza hata km siyo nyingi Toyota alteza DCY ilikuwa inatumika kwa mashindano na Toyota alteza BCD inatumiwa na bank teller utajua hujui
 
Hizi tuhuma zinaweza kuwa ni ajali za kisiasa za kutengenezwa huenda katika kuchapa kazi kuna mahala aligusa hasa kwa wale ambao Makonda alidai wana umoja kweli kweli ukimgusa mmoja wao umewagusa wote.
Yes, absolutely!
Hata Mimi pia Nina mtazamo huu huu. Huyo RC mtenguliwa most probably aligusa maslahi ya Watu fulani fulani, wakaona Bora wamharibie mapema.
 
Yeah amedhalilisha taasisi.
Hayo ni mambo ya kufanya vijana wacheza singeli anakuja kufanya msaidizi wa Rais ni kuitukanisha serikali kwamba katika watanzania milioni 60 wameshindwa kupata wateule wanaojielewa
Lakini endapo kama ungekuwa unafahamu taarifa za Siri za maisha binafsi ya watu hao viongozi wa Serikali, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba usingeweza kutoa comment kama hii.

Je, unajua ni kwa Nini 'Vetting Certificates' za hao viongozi huwa haziwekwi hadharani??Unazijua sababu?
Kwanza ukichunguza kwa umakini utagundua kwamba wateule wengi sana hawana 'Clean Vetting Certificate,' wengi wao ni wachafu kuliko hata mashetani. Wanabebwa tu na suala la itikadi za chama na uchawa, ndio maana unaona wengi wao kazi yao ni wanafiki wa kumsifia Rais na kujipendekeza kwa Rais ili wasitenguliwe.
 
Lakini endapo kama ungekuwa unafahamu taarifa za Siri za maisha binafsi ya watu hao viongozi wa Serikali, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba usingeweza kutoka comment kama hii.

Je, unajua ni kwa Nini 'Vetting Certificates' za hao viongozi huwa haziwekwi hadharani??Unazijua sababu?
Kwanza ukichunguza kwa umakini utagundua kwamba wateule wengi sana hawana 'Clean Vetting Certificate,' wengi wao ni wachafu kuliko hata mashetani. Wanabebwa tu na suala la itikadi za chama na uchawa, ndio maana unaona wengi wao kazi yao ni wanafiki wa kumsifia Rais na kujipendekeza kwa Rais ili wasitenguliwe.
Nakubaliana na wewe.
Maana kuna wakati mwingine utashangaa kiongozi mkubwa anafanya maamuzi ya ajabu ambayo hata mtoto wa darasa la 3 anashangaa.
Nadhani mambo ya kufanyia vetting viongozi yaliishia enzi za Rais Mwinyi na Mkapa baada ya hapo ni mambo ya connection ndio yanafanya kazi zaidi
 
Back
Top Bottom