MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Nakubaliana na wewe.
Maana kuna wakati mwingine utashangaa kiongozi mkubwa anafanya maamuzi ya ajabu ambayo hata mtoto wa darasa la 3 anashangaa.
Nadhani mambo ya kufanyia vetting viongozi yaliishia enzi za Rais Mwinyi na Mkapa baada ya hapo ni mambo ya connection ndio yanafanya kazi zaidi
Hao wanaofanya vetting nao ni binadamu tu hivyo huko nako kuna connection.
 
wauza nyapu na matk sahv namba moja ni videm vya vyuoni
Mzazi kama binti yako yuko chuo
akirudi nyumbani wakati wa likizo hebu muwapime marindaaa yao

ova
 
Nakubaliana na wewe.
Maana kuna wakati mwingine utashangaa kiongozi mkubwa anafanya maamuzi ya ajabu ambayo hata mtoto wa darasa la 3 anashangaa.
Nadhani mambo ya kufanyia vetting viongozi yaliishia enzi za Rais Mwinyi na Mkapa baada ya hapo ni mambo ya connection ndio yanafanya kazi zaidi
Nakazia hoja. Na ndo maana siku hizi tunashuhudia mambo na Tabia za ajabu-ajabu na za kijinga ambavyo tulidhani hayawezekani kufanywa na wateule.
Hata hao wateule wenyewe ukiwauliza (japokuwa hutapata nafasi ya kuwauliza) kuwa mteule ina maana gani au wanajielewa ni kwa nini wameteuliwa na mamlaka iliyo juu kabisa Serikalini? Ninadhani wengi Hawajui.
 
Binti nae ana makosa, hakufunzwa kwao anafunzwa na ulimwengu sasa.
Wa kulaumiwa ni mkuu wa mkoa kuruka ukuta!
Katika Hali ya kawaida Binti akishawishiwa na mkuu wa mkoa Tena upo chuo na ajira huna uhakika lazima tu ataingia kingi tu!

Tena na Hela unapewa, naturally Mammalia was kike anahitaji ulinzi was kihisia na kimahitaji Kwa Mammalia wa kiume!hata uwe umeokoka utakemea pepo huku unashangilia utamu!

Binti hana kosa,kwanza alimheshimu pili alimtegemea,SEMA huyu Mammalia wa kiume mwenzetu ameikosea sana hii Class,yaani kakosea True male character!
 
Wa kulaumiwa ni mkuu wa mkoa kuruka ukuta!
Katika Hali ya kawaida Binti akishawishiwa na mkuu wa mkoa Tena upo chuo na ajira huna uhakika lazima tu ataingia kingi tu!

Tena na Hela unapewa, naturally Mammalia was kike anahitaji ulinzi was kihisia na kimahitaji Kwa Mammalia wa kiume!hata uwe umeokoka utakemea pepo huku unashangilia utamu!

Binti hana kosa,kwanza alimheshimu pili alimtegemea,SEMA huyu Mammalia wa kiume mwenzetu ameikosea sana hii Class,yaani kakosea True male character!
Exactly True and a Fact.
 
Wa kulaumiwa ni mkuu wa mkoa kuruka ukuta!
Katika Hali ya kawaida Binti akishawishiwa na mkuu wa mkoa Tena upo chuo na ajira huna uhakika lazima tu ataingia kingi tu!

Tena na Hela unapewa, naturally Mammalia was kike anahitaji ulinzi was kihisia na kimahitaji Kwa Mammalia wa kiume!hata uwe umeokoka utakemea pepo huku unashangilia utamu!

Binti hana kosa,kwanza alimheshimu pili alimtegemea,SEMA huyu Mammalia wa kiume mwenzetu ameikosea sana hii Class,yaani kakosea True male character!
Shikamoo Biologist.....
 
Wanawake wengi sana wanadhalilishwa kingono Vyuoni na hata maofisini.

Wengi wao wanafaulishwa kwa rushwa ya ngono au hata kujihakikishia nafasi kwa kuwa na mahusiano ya kingono na mabosi wao sehemu za kazi.
 
Back
Top Bottom