MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Kwenye gari tena toyota crown linanguruma kinoma ukute kaweka bunda la kifaza na tint vioo vyote, jumlisha na music na pistol kwenye dashboard ukiwa hujielewi unafirwa vizuri tuu usipokaza
Nimecheka sana hv wabongo mbona mnaandikaga maajabu
 
Huyu mwenyewe mbona ana msenge kampangia Mbezi makonde, wala sio ajabu kwake ndo tabia yake haswaa.

Afu sio yeye tyuu, mbona wapo viongozi wengi wa serikali ni wadau wa kinyume na maumbile na mapenzi ya jinsia 1.

Si wanajifanya wanafiki? Wataumbuka sana tena wengi, mbona mtashangazwaaaa.
Ila dada nae tamaa ya pesa kubwa kubwa ilimponzaaa, khaaaah.
Polee yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aliwahi kuwa Lecturer chuo flani ..ndo tabia zao kupenda kula vifaranga vya kuku.
Amenifundisha huyu, nakumbuka kipindi flani mwanachuo mwenzetu alifariki katika kusafirisha si wakatekwa hapo singida nafikiri manyoni wakati tayari nawanda alikuwa DC sjui wilaya gani kiukweli alisaidia wale majambazi wakapatikana na baadhi ya vitu walivochukua......alikuwa ni mzuri ila sasa kwa kutumia status yake kwa wanawake!
 
Good, watachunguza accounts za bank na miamala mingineyo kama huyu victim kupata mali ghafla ghafla, RC achomoki hapa, takukuru wako naye
Kataka mwenyewe kufirwa wewe inakuhusu nini hata akilambishwa billion Si ya kwake kufirwa kafirwa yeye muache afanye anavyoona inamfaa kwani huyo Mkuu ndio wa kwanza kumfira mboni wengine wanamfira hawapeleki Polisi?
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Kama vipimo umeonyesha amelawitiwa, je upo ushahidi hizo mbegu za kiume ni za huyo kiongozi?
 
Huyu jamaa hata kama kasingiziwa still uadilifu wake kama mkuu wa mkoa uko at zero point,mkuu wa mkoa unalewa bar za kawaida,unatombea dem kwenye gari bila kujali status yako kama mteule wa RAIS!!?,Hata kama wamemtengenezea wamepitia kwenye udhaifu wake.
Huyo jamaa yukogo hivo toka anafundisha ni mjinga mnoo alikuwa anakamata watu maksudi
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Nnapoonaga stori za hivi wala huwa siziamini,mara nyingi hupikwa kwasabab maalumu.Hakuna kiongozi wa kufanya upuuzi wa hivyo unless mchezo uratibiwe kwasabab maalum!Out from that ni kuhamisha tu mijadala
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Huyo Manzi kataka mwenyewe kufirwa acheni kelele kibunda alichotaka kashajaziliziwa kafuta kesi Polisi tayari nyinyi kelele za nini au na nyinyi mnataka mkafirwe km huyo mwanafunzi mlipwe? Mwenzenu kafirwa kalipwa katulia nyinyi kelele za nini mnawashwa?
 
Huyu RC aliyetenguliwa amewekewa mtego akanasa .
Huyo Mwanafunzi wa Chuo ni mpenzi wake wa kificho lakini ana muda naye ..
Na huyo mwanafunzi alitumika kuweka mitego hapo Cask bar ...kwamba wewe ingia kwenye gari ..CCTV zipo on ... Dada labda kakaa dakika 20 katoka, kesho yake karipoti Polisi ...sasa kawaida mwanamke akilalamika kabakwa hata kama mlikubaliana ..inakula kwa mwanaume
RC alikuwa dhaifu kwa wanawake na wametumia mwanya huo kumlenga na mtego
 
Ila nchi hii ina vituko, usishangae kutokana na uzoefu aliouonyesha next week tukasoma gazetini;
DR. NAWANDA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA TIGO TANZANIA.
Hapo vipi?
 
Hivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.

Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.

Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Una hoja /maswali ya Msingi sana hata mimi pia nashindwa kuelewa IMEWEZEKANAJE HILO KUTOKEA eneo la wazi hivyo🤔
 
Back
Top Bottom