Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ameandika barua kwa polisi kuondoa madai gmyake kadai ahatakj kutumika kisiasa soma acc ya Facebook ya maulid wa kitenge...mshenziyuleHivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.
Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.
Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Nakadai hajashurutishwa na mtuyoyote na hana mpango wa kuendelea na shauri