MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Hivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.

Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.

Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Ameandika barua kwa polisi kuondoa madai gmyake kadai ahatakj kutumika kisiasa soma acc ya Facebook ya maulid wa kitenge...mshenziyule

Nakadai hajashurutishwa na mtuyoyote na hana mpango wa kuendelea na shauri
 
Hivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.

Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.

Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Hii kashfa imegubikwa na utata mkubwa sana.
Uamuzi wa Rais wetu kumtengua uko sahihi (ni mwafaka kabisa)kwani hilo kosa ni Public Scandal na kwa wadhifa wake huyo mtuhumiwa ni kwamba ameichafua au kuifedhehesha Serikali iliyomweka hapo kwenye nafasi hiyo ya Uongozi/madarakani.
 
How can the classified information like this become the public document???

This is the strongest proof that this event is the results of the planned and targeted Sexpionage Operation against the Regional Commissioner. Ndio maana unaona kuwa mara tu baada ya Operation (mission) hiyo kukamilika 'Masterminders' wa mission husika wameamua kuweka taarifa hii public ili kufanikisha lengo lao la mwisho kabisa la operation hiyo, nalo ni 'incapacitation of the target" in order to eliminate the the threats.
Wewe acha kutetea firauni mwenzio
 
Ameandika barua kwa polisi kuondoa madai gmyake kadai ahatakj kutumika kisiasa soma acc ya Facebook ya maulid wa kitenge...mshenziyule

Nakadai hajashurutishwa na mtuyoyote na hana mpango wa kuendelea na shauri
Good, watachunguza accounts za bank na miamala mingineyo kama huyu victim kupata mali ghafla ghafla, RC achomoki hapa, takukuru wako naye
 
Jamanii tuwe makini,kimejaaa wazee wa hovyoo balaaa.Mzee ana umri wa uhuru Tz lakini stori zake popo kanyea mbingu,mara katoto nimekakunjaaa mamaee🤣🤣,na njaaaa za watoto wa 2000 yaani mzee akitoa buku mbili tu anakaliwa.
 
Saa 6:24 usiku, zinaonesha gari hilo lilionekana katika geti la kutokea likiwa eneo la mwanga mkali uliowezesha kulitambua usajili wake. Dereva wa gari hilo alikuwa amevalia kofia aina ya kapelo akitoka kwenye gari hilo kwa ajili ya kulipia ushuru wa maegesho.

Ushuru sa 6 usiku?😃 waandishi tafadhali
Ya mchongo hii
Kwani parking za Mlimanin City usiku hakuna ushuru!
 
Hivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.

Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.

Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Wewe ni kenge unauliza maswali ya kiduwanzi!
 
Hivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.

Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.

Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Kwani yeye RC kajitetea vipi kuhusu mahusiano yake na huyo Binti?
 
Back
Top Bottom