Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
The week get eaten very badly and illegallyBado tigo zinataiti na kitu kifuani bado kimestand still
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The week get eaten very badly and illegallyBado tigo zinataiti na kitu kifuani bado kimestand still
Hata wewe utaliwaKuna siku nawe utaliwa [emoji3575][emoji3575]
kaishaandika barua ya kwamba hataki kutumika kisiasaKULAWITI.
Bashir Yakub, WAKILI
+255 714 047 241.
1. ADHABU YAKE.
Kifungu cha 154 Kanuni za Adhabu, Sura ya 16, Adhabu ya kulawiti ni Kifungo cha Maisha jela, au miaka isiyopungua 30 jela.
Kujaribu(attempt) kulawiti adhabu yake ni kifungo kisichopungua miaka 20.
2. USHAHIDI WAKE.
MOSI
Mahakama ya Rufaa katika kesi SELEMANI MAKUMBA vs JAMHURI, (2006) TRL 379 inasema kuwa ;-
"Ushahidi mzuri unaohusu Makosa ya Kujamiiana(sexual offences) ni ule unaotoka kwa mtendewa/muathirika mwenyewe(victim)."
Maana yake kile anachokisema muathirika ndio ushahidi mkuu na wa maana zaidi mbele ya Mahakama kabla ushahidi wa mtu au kitu kingine chochote.
PILI.
Kifungu cha 127(7) cha Sheria ya Ushahidi, Sura ya 6 kinasema kuwa ;-
Ushahidi wa muathirika/mtendewa wa makosa ya kujamiina, kama utatolewa vizuri, na shahidi akawa ni wa kuaminika(credible witness), basi unatosha peke yake bila kuhitaji ushahidi mwingine wowote( collaboration) kumtia mtuhumiwa hatiani na kuadhibiwa na mahakama.
Muathirika akitoa ushahidi mzuri imeisha.
3. VIPI KUHUSU USHAHIDI WA DAkTARI.
Katika kesi ya C.D. DE SOUZA vs B.R.SHARMA(1953)EACA 41 na maamuzi mengine meengi ya Mahakama ya rufaa, Ushahidi wa daktari ni MAONI tu(opinion).
Watu hujua ushahidi wa daktari ndio kila kitu,hapana. Ushahidi wake ni maoni tu.
Kwakuwa ni maoni, basi Mahakama inaweza kuukubali au kuukataa.
Na hata ushahidi wa daktari uwe sahihi vipi hauwezi kusimama peke yake kuthibitisha ulawiti, mpaka usaidiwe na ushahidi mwingine hasa wa mtendewa.
Mwisho, kuna vijana wa mjini wanajua kumuingilia mwanamke girlfriend wako au mke wako kinyume na maumbile sio kosa. Wanajua kosa ni mpaka iwe mwanaume kwa mwanaume.
Acheni ujinga mtaenda jela, hilo ni kosa. Na ni kosa hata kama ameridhia. Akiridhia nyote mpo kwenye makosa na mnakabiliwa na kifungo cha miaka 30 au maisha.
Msiseme sikuwaambia.
Mbona hana sura ya kuvujisha issue imekuwaje tena
Ana rangi nzuri 🔥🔥🔥🔥
hiki kitoto ni cha kupiga na risasi kipotelee mavumbini.Mpenda wanavyuo
Hapo majibu ya DNA findings ndo yanaweza kuwa mwokozi au maangamizi kwa Mtuhumiwa.swali; mahakama inajiridhisha vipi kama muathirika mwenyewe alifanya kama sehemu ya makubaliano au kumtrap mhusika ili kumuingiza kwenye shida, maana wakati WA tukio walikuwa wawili, mshakiwa na mshitaki.
Mahakama inajiridhisha vipi kama mhusika alishawahi kuingiliwa na watu wengine nyakati nyingine huko nyuma na hata mtuhumiwa hakuwahi kuingiza kichwa ila, kuna utalaam wowote wa kupima vinasaba kwenye mwili/mkundu wa mshitaki vinavyoweza kuonyesha kweli ameingiliwa na mtuhumiwa?
Mahakama inajiridhisha vipi technically na bila kurely kwenye tuhuma za mdomo?
Taasisi ya uteuzi Ina upeo wa kuona Kuliko uwezo wa macho yako harafu Cha pili huyo Binti ana miaka 21 na Si 25 au umetumwa kumsafisha RC?Hivi Binti mkubwa atakubali vipi na kuzidiwa nguvu na mtu mmoja tena kwenye bar ya kask ambapo Kuna nyomi ya watu.
Kwanini hakupiga kelele za kuomba msaada?
Hiyo bar ina walinzi wakutosha ilikuwaje wasizingatie usalama wa wateja? Hadi Binti alawitiwe walikuwa wanatimiza majukumu Gani kwanini hawakumsaidia?
Hivi mkuu wa mkoa kwa cheo chake ataenda kumlawiti mtu Bar? Asifanye faragha hata hotelini?
Mkuu wa mkoa atazurula tu usiku wa maneno bila walinzi wa serikali? Ina maana na walinzi walishuhudia uhalifu wa ulawiti ukifanywa?
Si wanalipwa mishahara ya serikali.
Hili suala linaniacha na maswali mengi.
Nadhani Rais wetu amefanya uamuzi wa mapema kumtengua?
Hawa wanawake wanatumia uanawake wao kukomoa na kuchafua wanaume.
Anyway tuamini mahakama itatoa haki na ukweli utathibitika uko
Huyu jamaa wanamchafua tu .Naungana na wewe
Mbona haimake sense Au demu alitekwa?
Miaka 21 tena yupo chuo hapana kwa kweli. Njema hizo
Kuchafuana kisiasa!
Tunaamini mahakamani atapata haki yake.Naona chawa wa RC mnajitahidi kujitetea humu. Tayari keshang'olewa URC. Kinachofuata ni kupelekwa mahakamani.
Ana miaka 25 mkuu, huyu ni mama kabisa, tena eti kalawitiwa bar.Naungana na wewe
Mbona haimake sense Au demu alitekwa?
Miaka 21 tena yupo chuo hapana kwa kweli. Njema hizo
Kuchafuana kisiasa!
RC naye alifuata nini Bar?Ana miaka 25 mkuu, huyu ni mama kabisa, tena eti kalawitiwa bar.
Yaani kama binti aseme kalawitiwa pale kimboka, alifuata nini?
Baada ya mahakamani kitanziNaona chawa wa RC mnajitahidi kujitetea humu. Tayari keshang'olewa URC. Kinachofuata ni kupelekwa mahakamani.