MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Hili suala linaweza kuwa mchezo wa wabaya wake. Kwanza nimeona barua mtandaoni yenye mpaka sahihi ya dole gumba la huyo mwanachuo akiomba kuondoa kesi kwa madai hataki kutumika kisiasa kwani ana safari ndefu.
Sehemu ya tukio ni bar au night club ambako watu wakiweno wanachuo wanajiuza. Pili siku hizi wanawake wengi wanalawitiwa kwa hiyari yao hivyo hata kana vipimo vinaonyesha huyo mwanachuo amellawitiwa inaweza kuwa anelawitiwa ba jamaa mwingine halafu akanpakazia huyo mkuu wa mkoa unless vipimo vionyeshe shahawa ni za huyo RC binti anaweza kulipwa pesa na wabaya wa RC kisha akalawitiwa kwingine kwa makubaliano halqfu akaenda kujichimeka kwa RC hasa kama RC ni mpenda vimwana then baada ya sex ya kawaida akaibua madai kuwa aliyemlawiti ni huyo RC. Simtetei RC ila kwa nchi hii kila kitu kinawezekana.

Hivi mtu mzima alawitiwe kimyakimya.

Kana wanawake wote wangepimwa kwa lazima kama wanalawitiwa majibu yangeonyesha hata waheshimiwa wengi wanafanya huo mchezo kwa hiyari. Ila katika kulaani kila mtu ameshupaza shingo.
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Nimeisoma hiyo Barua Kwa Makini,lakini akili yangu ya Kawaida naona Kuna Kitu kimejificha nyuma yake.
Kama kesi ya kutengenezwa hivi, kama Binti story ametunga hivi, Uandishi wa Barua yenyewe hauna uzito wa jambo lenyewe, Halafu kwanini asaini dolegumba?Ila acha wataalamu waamue.
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Ni
 
Mmehamishwa kidogo tu na sakata la RC na mmehama kweli...aisee ile imepangwa makusudi...leo ulikuwa mkutano muhimu sana
 
Huyo mwanachuo anaesemekana kamlawiti ashahusishwa kwenye kesi kama hiyo
Hapa RC alijichanganya sana, huyu binti ni much know tangu kitambo. Ila sasa ndio haiwezi kuondoa kosa lililopo. RC hayuko smart kabisa kujiingiza kwa binti wa kariba hii. RC anauwezo na fursa za kutafuna mabinti waliokomaa, wanaojitambua na walio pisi kali kabisa. Pole yake sana.
 
Kwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Mbona mashoga wanaofanya kwa ridhaa yao mnawasakamaaa? Km ikiwa tendo lifanyike kwa makubaliano?
 
Hili suala linaweza kuwa mchezo wa wabaya wake. Kwanza nimeona barua mtandaoni yenye mpaka sahihi ya dole gumba la huyo mwanachuo akiomba kuondoa kesi kwa madai hataki kutumika kisiasa kwani ana safari ndefu.
Sehemu ya tukio ni bar au night club ambako watu wakiweno wanachuo wanajiuza. Pili siku hizi wanawake wengi wanalawitiwa kwa hiyari yao hivyo hata kana vipimo vinaonyesha huyo mwanachuo amellawitiwa inaweza kuwa anelawitiwa ba jamaa mwingine halafu akanpakazia huyo mkuu wa mkoa unless vipimo vionyeshe shahawa ni za huyo RC binti anaweza kulipwa pesa na wabaya wa RC kisha akalawitiwa kwingine kwa makubaliano halqfu akaenda kujichimeka kwa RC hasa kama RC ni mpenda vimwana then baada ya sex ya kawaida akaibua madai kuwa aliyemlawiti ni huyo RC. Simtetei RC ila kwa nchi hii kila kitu kinawezekana.

Hivi mtu mzima alawitiwe kimyakimya.

Kana wanawake wote wangepimwa kwa lazima kama wanalawitiwa majibu yangeonyesha hata waheshimiwa wengi wanafanya huo mchezo kwa hiyari. Ila katika kulaani kila mtu ameshupaza shingo.
Critical thinking
This society of ours has rotten to the core
 
Back
Top Bottom