MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Safi sana Rais amekula kichwa Cha mtu,haya Sasa huyu apandishwe jela

View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1800424148487057651?t=MMQKobXUGHaSnr1T_1tyGw&s=19
 
Ukiona hivi ujue kuna namna. Ndio maana wengine wanakulana na inaisha huko huko vyumbani.
Exactly Mkuu, huyo binti inawezekana ametumika kum-blackmail RC

Katika kufanya kwangu kazi na Wanasiasa, nimegundua Wana mbinu nyingi sana wakitaka kulipata jambo lao

Aliyekuwa RC Songwe naye aliondolewa kwenye nafasi yake Kwa kutumia mtego wa Mwanamke/Binti

Aliyekuwa Katibu Mkuu CCM, naye aliondolewa kwenye nafasi yake Kwa kutumia mtego wa Mwanamke/Binti

Na hata huyu RC naye atakumbwa na jambo hili hili soon .....

Kama Viongozi wa Umma(Hasa Wanaume) wanataka ku-savaivu kwenye nafasi zao vyema, wawe makini kwenye kudate na hao wapenzi wao

Ndiyo maana baadhi wanaenda kufanyia mambo yao Nje ya Nchi huko ili kuepusha mitego ya namna hii 🙌
 
Kabisa Mkuu

Wengi wanafanya hayo Kwa tamaa za kupata simu za kisasa, usafiri, Kodi za kuishi kwenye apartment n.k

Baadaye akija kuolewa na Mwanaume asiyetumia hayo mambo, Ndoa lazima iwe ngumu
 
Sakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
 
Nao wamekuwa 'too cheap' hawana ethics na class ndio maana wanategeka kirahisi.
 
sasa hapa kuna uwezekano katengenezewa mfumo na yeye akajaa, yaani kuna namna hapa kisiasa lakini Kwann binti aseme hataki kuendelea na kesi?
Huyo binti ametumika kum-blackmail huyo RC

Kama umewahi kudate na Mabinti wa vyuo, ni wachache sana wenye ujasiri wa kukataa kutoa ngono kinyume na Maumbile.

Kwahiyo Kuna possibility ametumika kukamilisha mission tu ya kumuondoa RC madarakani
 
Tamaa zinawaponza hawa wasichana wa 2000.
Wana tamaa sana,tokea mwanzo asingepalilia uhusiano na huyu mheshimiwa haya yasingelitokea.
Mnalaumu tu wazee hamtizami nao wasichana wanakosea wapi.
Miaka 21 sio mtoto huyu ni mtu mzima.
 
astaghalilwaaaaahhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…