MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Alipimwa, taarifa inasema "... ameingiliwa kinyume na maumbile kwa kuingiziwa kitu butu katika sehemu yake ya haja kubwa...." .

Inaonyesha kwamba binti siyo mzoefu, inawezekana ikawa ndio mara yake ya kwanza.
Sio mara ya kwanza .... Alifirimbwa Tena kati ya January na Feb mwaka huu na huyohuyo... Baada ya birthday party yake ambayo mheshimiwa alikuwa mgeni rasmi. Imehadithiwa humuhumu
 
My Take
Kwa Tuhuma hizi tuu,huyu RC wa Simiyu alitakiwa awe amefukizwa kazi Ili asizime ushahidi but Bado anadunda.Inasikitisha sana Mkuu wa Mkoa wa Tabora Yahaya Nawanda Kalawiti mwanafunzi ila bado yuko Ofisini na Hatua hazichukuliwi

Mwisho,huenda jambo hili nalo likaishia kama yule Waziri aliyesababisha ajali ya mwanachuo na ikasemekana yeye hahusiki kama tulivyotangaziwa.

Viongozi Wetu hawana maadili kabisa.

View: https://www.instagram.com/p/C8EN1EXNAYF/?igsh=MTh0OTFwaTZ3amJteg==

Kashatolewa mbona.
 
Wewe ndio ukae kimya Mkuu, huwezi kubakwa in front of other passers inside a car na hujashikiwa bunduki!! Tunawafundisha Vijana wetu kitu Gani!? Ufanye Kwa hiyari na Makubaliano yaende ndivyo sivyo Ndio ukapige kelele!?!? Call a Spade tutapunguza tatizo full stop, wa kukaa kimya kifucha ujinga ni wewe, I do work together with the law requiments
Kichwa nazo.

Jinga kabisa.
 
How can the classified information like this become the public document???

This is the strongest proof that this event is the results of the planned and targeted Sexpionage Operation against the Regional Commissioner. Ndio maana unaona kuwa mara tu baada ya Operation (mission) hiyo kukamilika 'Masterminders' wa mission husika wameamua kuweka taarifa hii public ili kufanikisha lengo lao la mwisho kabisa la operation hiyo, nalo ni 'incapacitation of the target" in order to eliminate the the threats.
Great Thinker...!💪
 
Mtu una miaka 21. Unalala na wanaume saizi ya baba yako na kuacha vijana wa rika lako.
Hayo ndo malipo.

Na hii ipo sana kwa wanafunzi wa vyuo. Mnaacha kutafuta vijana wenzenu, msomane, muelewane kisha mpalilie penzi likue hadi uchumba na ndoa. Nyinyi mnadharau vijana wenzenu kisa hawajajipata na kukimbilia wazee.
Vijana ndiyo wala jicho waliokubuhu.
 
Dah! Hapo mkuu umenifunga/umenidhibiti kwa kusema "forensic evidence ipo mahakama itaamua"
Ukimaanisha kwamba uthibitisho wa Kisayansi umeshapatikana upo. Lakini kama bado Serikali ina-fumble kuutafuta huo uthibitisho wa Kisayansi, Je, hiyo Scientific proof isipopatikana itakuwaje? Manake Mahakama Haitoweza kuamua sio?
Yeah kesi za ubakaji kuprove ni kipengele sana. So forensic evidence is a game changer. Otherwise kama ni consent bado hakwepi kosa maana anal sex is punishable offence.
 
Back
Top Bottom