Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha yake inasakwa watu wathaminishe jinsi alivyoTumsime Mathias aliyetafunwa ni mwanaume au mwanamke?
Mzoefu huyo dem ashamed sana jicho huyo kiongozi,wanajuwana haokuna sehemu inasema, mara ya kwanza mheshimiwa kuomba tigo wakiwa chumbani demu alitoka, sasa iweje aliwe kirahisi kwenye gari?
hapa kuna mbinu
Chip gani ?? Mkuu
Mtuhumiwa ni Rc alafu anaulizwa kuhusu hiyo kesi , mtuhumiwa anaulizwaje hilo? Mbona kama wrong side , mtuhumiwa hatakiwi kushughulika na lolote kuhusiana na kesi inayomhusuNaye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda alipotafutwa kuzungumzia suala hilo kutokana na yeye kuwa mwenyekiti wa usalama mkoani humo amesema: “Mimi sijaletewa kwenye dawati langu hilo tukio la mwanafunzi na huyo mwanafunzi hajaniletea hilo suala labda niwasiliane na polisi.”
Of course ulichoandika ndiyo report ya polisi imefanya same narration kwamba RC alianza kitambo ku demand hizo issue since walivyokutana mara ya kwanza kwenye birthday mwezi April hukoBasi inaelekea rc kitambo alikuwa anaomba nnya mtoto akawa hatowi,rc utakuta akicheki mtoto kamlia vingi 😄 +kumgharamikia
Ova
Sawa, lakini namsifu kusimamia hoja yake kwamba hataki kuliwa tigo hivyo baada ya kuliwa tigo kinguvu amechukua hatua. Hii ina maana alikuwa tayari kuliwa kikawaida wether ana njaa au laa, jambo ambalo kwa wasichana wa sasa wa chuo na changamoto za maisha zinawafanya wanyanduliwe tuu.Huyo msichana nae njaa zitamuua. Alishafanyiwa kitendo haramu na bado akaendelea kuwasiliana na muhusika hadi kuonana naye tena.
Vyovyote iwavyo, nae ana makosa ya kuendekeza tamaa.
Hawa wasichana wana tamaa sana,tena hivyi vya chuo ukiwapaOf course ulichoandika ndiyo report ya polisi imefanya same narration kwamba RC alianza kitambo ku demand hizo issue since walivyokutana mara ya kwanza kwenye birthday mwezi April huko
Duh mtihani sana kama ukishtakiana na wenye vyeo, hivi ya Gekul iliishia wapi?Kama ya Udom iliisha na ile ya Gekul iliisha nini kinachokufanya uamini kwamba hii haiwezi kuisha?
Sasa si ndio maana kuna forensic investigations ili kupata ukweli wa mambo. Kama manii zake zilionekana humo anachomokaje?Nanukuu :"Sheria hairuhusu anal sex, so either way kama alibakwa au consent wote wanaenda jela miaka 20. Mbona Sheria ipo clear sielewi unachotetea".
Siwatetei au simtetei RC bali Sheria ni Lazima iweze kuthibitika kukiukwa na Haki ionekane kutendeka.
Sasa hapo mbona inawezekana kabisa mahakama ikalitupilia mbali shauri hilo na kumtaka Mlalamikaji (binti)akamlete aliyemwingilia kinyume na maumbile kwani RC sio mhusika na Binti mwanafunzi kwa uthibitisho uliopatikana wa daktari, ataonekana ni mzoefu wa kitendo hiko na hilo peke yake linaweza kumtia hatiani(kama hiyo sheria iliyotajwa ndivyo inavyosema na kutafsiriwa).
Kesi ni ya Jamhuri. Umma unamshtaki Dk. Nawanda. Sio lazima awepo yeye kama mlalamikaji. Uwepo wake ni muhimu japo sio lazima.Mpenda wanavyuo
Kwani wazee hawapendi kula jichooo? Dogo veepeeee hahaaaaaaaaaIla hawa wazee ndo wana shida mno mkuu..
Angalia Post 329.Hii kesi itapita kama kesi zingine
Jiiii iiii
Mwisho wa siku huyo binti mwenye tamaa kashaliwa jicho
Ova
Basi huyu binti ni mzoefu hata wa michezo hiyo ya kuliwa jichoAngalia Post 329.
Ameshaliwa kichwa tayari huyo mchimba mitaro, bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi....Kama ya Udom iliisha na ile ya Gekul iliisha nini kinachokufanya uamini kwamba hii haiwezi kuisha?
Wewe ungeweza? Acha kuwalaumu bana.Mtu una miaka 21. Unalala na wanaume saizi ya baba yako na kuacha vijana wa rika lako.
Hayo ndo malipo.
Na hii ipo sana kwa wanafunzi wa vyuo. Mnaacha kutafuta vijana wenzenu, msomane, muelewane kisha mpalilie penzi likue hadi uchumba na ndoa. Nyinyi mnadharau vijana wenzenu kisa hawajajipata na kukimbilia wazee.