Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Ndama anakula mpaka aje awe ng'ombe ushatumia vilaki vingine vingi tu wakati hio laki huenda ikakupatia what your heart desires (ingawa nashauri isiwe long term sababu hio laki na nusu huenda ikabadilika ikawa milioni kadhaa kwa mwezi)
 
Punguza Kuweweseka,,Punguza Kupagawa,,Punguza Milio,,Punguza Mighafilisho ,Haitakusaidia Kitu Dogo,,Wewe Nenda Kanunue Huyo Ndama Wako Wala Hakukuwa Na Haja Ya Kutuletea Huku,,,Huo Uvulana Wako Peleka Huko Kwenye Ndama Wenzako,,,Nipasie Namba Ya Huyo Bibie Kama Hutojali.
Inaonekana umegadhabika mno
 
Jamaa una akili sana umeukwepa upotevu wa hela hiyo 150,000 bora ununue vifaranga vya sasso
 
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
Wewe endelea kupiga nyeto tu mapenzi huyawezi
 
Mwanaume atakuaje mpenzi wako rasmi, bila kukuomba tendo, mfanye ndo muwe wapenzi? kwenye tendo, si ke na me wote wanapata starehe, au anaefaidika ni mmoja ambae ni me, ukiombwa tendo, au ukiona viashiria vya kuombwa tendo na mwanaume ambae si mpenzi wako na haumtaki, si unakataa tu, kwani atakubaka? mbona it's very simple. Kelsea
 
Wakuu habari.

Jana kwenye jukwaa la Love niliandika Uzi wa kutafuta mwanamke!.

Nikifanikiwa kupata DM za wanawake 2 tu mmoja Yuko Mwanza mwingne Mwanza. Kwasababu Niko Kanda ya ziwa huyu wa Mwanza nikaona atanifaa.

Basi bhana Leo mchana Fulani nimejibeba Hadi nikaenda kuonana na huyo Bidada. Tukaongea ongea mwishoe tukaagana.

Jioni kanitumia picha ya kiatu Fulani eti anaomba nimnnulie kama zawadi! Nikasema sio issue nitakinnua.
Nikaamua kupita madukani kuulizia bei yake nimeambiwa ni 150000/= cash.

Wee mdada nimeona hatuendeni nitoe laki na nusu kunnua kiatu sibora niongezee laki nyingne ninnue ndama!

Uzi tayari.
Mnakutana huko, mnatuletea mabandiko humu...
 
Ni mshamba tayari....Mambo ya pm kuyaleta huku...
Hafai hata kuoa...atatoa Siri za ndani zote
Ila mmezidi aisee, yaani mtu akiomba namba tuu, jioni
Huna chakula
Huna kodi
Simu kioo kimepasuka
Bibi mgonjwa
Mdogo mke wa mjomba kafariki
Aaaaargh!
 
Uwe unawatokea mademu wanaotembea peku au wanaovaa simple (tukandambili) alafu kabla hujamtokea unakuwa unam-set kwa kumsifia kwamba yupo simple hana mambo mengi kama wanawake wengine ila wakati yote yanaendelea na wewe uwe simple uone kama utazimiwa
 
Yaani unanunua pochi manyoya kwa laki na hamsini? No fuking way, nunua hiyo mbuzi, ita ndugu zako fanya barbecue na vinywaji vya kutosha mfurahie maisha.
 
Punguza Kuweweseka,,Punguza Kupagawa,,Punguza Milio,,Punguza Mighafilisho ,Haitakusaidia Kitu Dogo,,Wewe Nenda Kanunue Huyo Ndama Wako Wala Hakukuwa Na Haja Ya Kutuletea Huku,,,Huo Uvulana Wako Peleka Huko Kwenye Ndama Wenzako,,,Nipasie Namba Ya Huyo Bibie Kama Hutojali.
Ni boya pekee anayetoa 150,000 ya kiatu kwa malaya tena aliyekutana naye mtandaoni chini ya week, asiyekuwa na mipango naye wala future yoyote.

Hiyo pesa unaweza weks kwa ajili ya simple date lakini sio kiatu. You'll be a big giant pig for that stupidity.
 
Back
Top Bottom