Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Mdada kaniomba nimunulie Kiatu, bei yake laki na nusu! Bora ninnue ndama

Kama huna pesa unahangaika na wanawake for what?
 
Ni boya pekee anayetoa 150,000 ya kiatu kwa malaya tena aliyekutana naye mtandaoni chini ya week, asiyekuwa na mipango naye wala future yoyote.

Hiyo pesa unaweza weks kwa ajili ya simple date lakini sio kiatu. You'll be a big giant pig for that stupidity.
Hayo Ni Mawazo,,Fikra na Mtazamo Wako
 
Wanawake sijui siku hizi wamekuwaje, sometimes I wonder kama sisi wanaume tunatongoza binadamu wa kawaida au majini, coz siku hizi almost kila demu anaomba hela Xi Jinping Stratopause
Kuna baadhi kweli wanapitia hardships, yaani ukiona maisha magumu kwa Me, ujue hata wadada yanawachapa balaa.
 
Mimi nashauri tu, kama mtu huna pesa, au pesa zako za mahesabu sana, kaa mbali na hawa watu, ukishindwa kabisa basi nunua..give-take! Otherwise mahusiano ya kisasa yatakuumiza sana!
 
Kuna baadhi kweli wanapitia hardships, yaani ukiona maisha magumu kwa Me, ujue hata wadada yanawachapa balaa.
Mdada anaepitia hardships anajulikana tu, kuna kitu tu kitakwambia ndani yako kuwa huyu mdada anapitia hali ngumu kiuchumi, ngoja nimsaidie.

Wadada wengi wanaopiga mizinga wanaomba hela kwa ajili ya kumkomoa mwanaume, si kwamba ana shida kweli, utakuta umemtongoza, kaona hujamvutia kimapenzi, so anakuwa haoni ugumu kukuomba hela, maana anajua hata ukiondoka hana hasara

Ungejua wadada wengi wanaomba omba hela walivyo wachoyo 😁 yeye anakuomba elf 5, ila yeye akiwa na million 2 isio na kazi, hawezi waza kukupa wewe tsh 200 ERoni Kelsea
 
Mwambie wewe SIO baba yake mzazi na Wala Hana muda na wewe epuka sana mademu wa mitandaoni talk to them in really life halafu YEYE hakupendi Wala Nina HUYO ni GOLDIGGER
Mwanamke kumpenda mwanaune kindaki ndaki ni mchakato mrefu.

Nani alikwambia kuwa ndani ya siku moja mwanamke atakupenda?

Tujifunze hili kama hivi:
1. Mnanapo labda na kupiga stori 2 ..3 anaweza kuvutiwa nawe lkn bado sio upendo.

2. Pamoja na kuvutiwa nawe atasnza mchakato wa kukulinganisha na wengine waliomtongoza kabla yako.

3. Hii process ya ulinganifu yaweza kuchukua hata mwezi...

4. Ukiwazidi wengine hapo sasa ndipo anajiachia mzima mzima kwako...hapo ndio waweza kuuhisi upendo halisi.

HUyu wa day one hakuna upendo...ndio maana anaanza umatonya kama moja ya kumpima upendo kitu ambacho pia ni makosa.
 
Mdada anaepitia hardships anajulikana tu, kuna kitu tu kitakwambia ndani yako kuwa huyu mdada anapitia hali ngumu kiuchumi, ngoja nimsaidie.

Wadada wengi wanaopiga mizinga wanaomba hela kwa ajili ya kumkomoa mwanaume, si kwamba ana shida kweli, utakuta umemtongoza, kaona hujamvutia kimapenzi, so anakuwa haoni ugumu kukuomba hela, maana anajua hata ukiondoka hana hasara

Ungejua wadada wengi wanaomba omba hela walivyo wachoyo 😁 yeye anakuomba elf 5, ila yeye akiwa na million 2 isio na kazi, hawezi waza kukupa wewe tsh 200 ERoni Kelsea
Upo sahihi kabisa kiongozi!!
 
Kuna wanaona hiyo pesa ni sawa na chupa moja ya soda. Hasa wale wa ulimwengu wa roho.
 
Hehehe ndama ni ndama na kiatu ni mwanamke kama vip kanunue ndama tu uwe unamchapa nao mpaka alie moooooo achana na mwanamke we si bahili.

Mtu ameokoa kibunda toka kwa tapeli wa kujitegemea umwite bahili.

Haupo timamu ww na hela zako
 
Mkuu naona Kurumbembe lilitandika reli lakini umeruka kihunzi.

Mtu wa maana kabisa wewe.
 
Mambo ya inbox hukutakiwa kuleta huku, au ukileta basi tumia indirect way.
Ungemjibu siwezi kukunuliwa au na wewe ungemuomba (no free lunch approach)
na wewe ungemtega, kuwa kinauzwa bei gani, then yeye anapungikiwa ngapi (tega nikutege approach)
Mkuu huna adam's apple
Wewe ni dhaifu sana
 
Hawa nyoka wenye vichwa vingi 'Medusa' Wanawake ni nyoka kabisa
 
Back
Top Bottom