Mimi nawasifia mnasema nimevurugwa, ningewaponda je?Umenyimwa k mahali sio bure
Aya bnaMimi nawasifia mnasema nimevurugwa, ningewaponda je?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii thread ipo jf naijibu ki jf jf...humu kila mwanamke bae wake anapesa chafu.
TehHumu hamna mwenye tabia hio kila mmoja humu mume/bf wake tsjiri anamhonga hela nyingi kwahio thread yako si mahali pake haoa jf
na wakushanunuliwa ni rahisi pia kuvua chupi..jmn ngono tamu acheniHapo ndio ninapowashangaa wadada hivi unatokaje huna hela na walivyoulamba sasa
Aiseena wakushanunuliwa ni rahisi pia kuvua chupi..jmn ngono tamu acheni
Na unakubalikaHaha, huu utaratibu mbona wa kawaida saana ukienda club zetu shurti ukikaa kwa kampani au kucheza na mdada lazima umnunulie kinywaji.
Huu ni utaratibu unaofahamika kabisa.
Naomba niwe Bf wakoMimi.sina bf
kama mtu ananunua ameukubali.Na unakubalika
Tatizo Kukaa club mpk daladala zianze ruti kwa kukosa naul ya bodaboda Au taxKwani kwenda out na kurudi kwa daladala kuna shida gani?
Return ndo kuomba omba kwa watu huwajui. Si ukae ndani tu kwani lazima utoke ukawe matonya. Hapo unakuta wameenda kudangaAibu itoke wapi, si anajua kuna returns.
Wakifanya hivi usemavyo sehemu za starehe tutabaki wanaume watupu.Return ndo kuomba omba kwa watu huwajui. Si ukae ndani tu kwani lazima utoke ukawe matonya. Hapo unakuta wameenda kudanga
Biashara huria na holela ama sio! Wapambane na hali zaoTunawapaje mafunzo sasa watu wameshaamua anavaa anajitokea itajulikana mbele kwa mbele
Sasa si bora mtu akae mwanaume ajiongeze mwenyewe. Nashangaa suala la kwenda kuomba yani.Wakifanya hivi usemavyo sehemu za starehe tutabaki wanaume watupu.