mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
Kama una hakika kuwa Mungu ndiyo alikusaidia ukapata hiyo kazi basi amini anaweza kukupa na nyingine tena nzuri zaidi ya hiyo.
Kipi bora? Kupata HIV na kudhalilisha utu wako au kujilinda na ukawa na uhakika wa kiafya na kuendelea kupambana na maisha dada?
Life is one so don't misuse it.
Kwanza jitahidi kutekeleza majukumu yako ya kazi kwa ufanisi zaidi na umuonyeshe huyo boss wako kuwa uko kikazi zaidi na sivinginevyo. Pia ujue kwamba hutakuwa wa kwanza kwake so usidhan akishakupata wewe ataishia kwako. Na zaidi jiassume utafanya ktk three or more offices na ukakutana na maboss wa aina hiyo then utatembea nao wote? Just say NO and mean it!
I think girls we have to be serous and respect ourselves so thatothers can respect us!


Ubarikiwe mpaka ushangae, halafu niweke kwene maombi yako ya usiku huu, na kuendelea.
Mpaka nitakapofanikiwa nitakupa feedback, ili pia tufanye maombi ya shukurani.
 
Ubarikiwe mpaka ushangae, halafu niweke kwene maombi yako ya usiku huu, na kuendelea.
Mpaka nitakapofanikiwa nitakupa feedback, ili pia tufanye maombi ya shukurani.

LD,,,naamini unaweza.Muombe Mungu akupe hekima ya kuongea nae na yeye apewe uelewa kwamba ukiongea nae it should be once and for all,,hayo ni majaribu ya kawaida kwa mtoto wa kike,lkn Mungu atatoa mlango wa kutokea otherwise better quit.
Gud cheer.
 
LD,,,naamini unaweza.Muombe Mungu akupe hekima ya kuongea nae na yeye apewe uelewa kwamba ukiongea nae it should be once and for all,,hayo ni majaribu ya kawaida kwa mtoto wa kike,lkn Mungu atatoa mlango wa kutokea otherwise better quit.
Gud cheer.

Asante sana WL, daa Mungu akubariki sana, najua umeshaanza kuniombea.
 
usisahau kuja na update ya hicho kibabu kinachokukodolea macho LD
 
ahh ukimwambia ivo atajua ni step nzuri leo kesho utampa mambo
uyo daily unamzungusha mpk siku akija kugutuka utakuwa ushanunua kiwanja chako tayar na apo sasa unaanza kuwa mdg like beb me 2 i want jig jig pbm atujapima so plsss naomba tukapime na apo najua ukimwambia kupima lazima atachomoaa au itachukua muda mrefu sana wa kujifikiria mpk kukubal KM SI KUKATAA KABSA na HAPO NDO AHUEN YAKO cz utasimamia ya kwamba si fanyi bila kupima na kutumia mpira stak ....:wink2::wink2:

UTAKUBALI VIP KUCHAKACHULIWA NA KITU ILIYOMALIZA ANNIVERSARY BWANA?
ao ni kwa matumizi ya apa na pale tu na ni rahisi kudanganywa yaan km mtoto vile cha msingi ujue kumanuva na akil yake basi na wale wana ugonjwa wa kupenda dogo dogo so ukimpa uwongo kdg tu unaOelekea na ukweli basi wanatulia WANAOGOPA KUWA WAKALI CZ UTAMKIMBIA!!!!

Rose wewe ni kiboko na mwisho wa njia! Nimecheka hadi nikaanguka!
Tx
 
Mi bado mdogo mambo hayo usinikuze na kun-zeesha mtoto wa mwenzio, kama bosi nampotezea wee nafanya kama vile naona hamaanishi,namwambia namheshimu sana........nikiona anazidi na kazi naitaka namwambia naumwa so siruhusiwi kufanya hayo mambo,nikipona ntampa jibu zuri...........LOL

Ukipona kwa muda gani?
 
Ndio Ivuga, kwa hali ya kawaida huwezi kumkubalia, lakini imagine ka vile unavyomtokea mdada, vile mnavyokua mnaongea, halafu chukulia labda hakutaki.

Kwa haka kababu utamjibu nini? Na yuko kwene mazingira yako daily. Eg ni boss.



Mpe tu wewe mungu si alikupa bureeeee....mpe halafuu muaibishe kuwa hajui mambo mwenyewe atakimbia....ila kama akiwa anayajua mambo utanogewa...
 
hapa kwa wadada nawashauri wawe na mawasiliano na tamwa mapema kabisa au kuna mashirika mengi tu ya kutetea haki zao ...najua haya mambo yapo sana ila yanawapata wasiojua haki zao na waoga
Ana miaka juu ya kumi na nane TAMWA ya nini tena?
 
Kusema ukweli kuna wababa wanajua kusomesha, anakukaba haswaaaa, kila swali anajibu, kila jibu lako ana swali lake. Hivi unaepuka je hapa.


Kamsemee kwa mke wake tuuu ndo jibu
 
Bas nitamkubalia nimchune mpk mvi zake akome siku nyingine haha hahha hahahhaaaaaaaaaa


Kumpa kiss tu SPACIO, kumvulia nguo landcruiser, kula tunda hapo nyumba thatha, taabu ya nini umepewa the KITUMBUA bure na mnyazi MUNGU
 
Mmm MR kutokana na mitego yake ya mipesa unaweza fikiria hivo, afu si unajuaga ee lunch 10000, nauli 10000 daily. Lakini sasa mwenzio anamalizia maisha we ndo kwanza unaanza, akimaloiza na wewe??

Kula Raha mutoto wa kike akimaliya na wewe basi mmemaliya wote kwani utajijua hapo?
 
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?

Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.

Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.

Kama una miaka 50+ mbona poa tu:smile-big: hujatuambia una umrigani na inaoelekea umeshamkubali :lol:
 
Hivi unajiwekajewekaje mpaka mbaba mtu mzima anakusogelea khaaa.
 
Jamani na mimi mnikumbuke kwenye maombi yenu. This is not a Joke guyz, usiombe ikakupata nibora uskie kwa mwingine utaomba asubuhi isifike ili tu usiende ofsn, tena ukute kama ni boss ambae hana boss wake yeye ndo head of the mission yani huna wa kumshtakia kwa hapo ofsn, then awe na roho mbaya na visasi, na haelewi utajuta kuzaliwa. Im in the same boat jamani na mimi mnikumbuke.
 
Back
Top Bottom