Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #261
Hahaha! FisadiKuu na MALCOM LUMUMBA wamejitolea kukusaidia bure bila malipo ubongo wako urudi katika hali ya kawaida naona umeamua kuwapuuza!
Maisha hayaendi hivyo bro! hayo yote niliyo yasema hapo juu ni ya ukweli 100% nipo tayari kupigwa ban ya maisha!! Ndjabu Da Dude id ni yako! yaani watu niliokuwa niwaheshimu hapa jf wee kwangu ulikuwa rank za juu lakini nilisha ngundua kuwa wew siyo binadamu wa kawaida yaani una ukichaa flani uliye pitiliza viwango vya ukichaa hata ukipelekwa milembe hawawezi chukua watu disaini yako!Lakini mbona hata wewe ndo mimi huyu huyu...najiongelesha halafu najipa ushauri mwenyewe😀😀😀😀😀
Maisha hayaendi hivyo bro! hayo yote niliyo yasema hapo juu ni ya ukweli 100% nipo tayari kupigwa ban ya maisha!! Ndjabu Da Dude id ni yako! yaani watu niliokuwa niwaheshimu hapa jf wee kwangu ulikuwa rank za juu lakini nilisha ngundua kuwa wew siyo binadamu wa kawaida yaani una ukichaa flani uliye pitiliza viwango vya ukichaa hata ukipelekwa milembe hawawezi chukua watu disaini yako!
Wee Nyani Ngabu nimegundua wee lazma utakuwa una sumbuliwa na ugonjwa wa GRANDIOSE DELUSIONAL DISORDER Kama jamaa alivyo sema hapo juu!
Ndjabu Da Dude hii id ni ya kwako 100%!
Ulicho kifanya ulichukua baadhi ya maneno kwenye ile id yako ya zamani ambayo jf wali unganisha na hii id yako unayo tumia sasa! Id uliyo chukua
Maneno inaitwa (Floribert Njabu)
Ulicho kifanya wewe ni kutoa maneno kwenye id ya floribert njabu na kuunda id ambayo ndiyo unayo tumia kujiongelesha na kujitukana mwenyewe
(Ndjabu)=(Njabu)
Unacho kifanya ni utoto au ubongo wako 95% una matatizo!!
Fake id zako nyingine ni:
-Nyani MacCain
-Floribert Njabu
-Omega Psi Phi
Hizo zote ziliunganishwa baada ya jf kugundua michezo yako!!
Bado una id nyingine za kike!!
Mkitaka kuamini huyu jamaa ana matatizo ya akili alikuja na fake id kabla haijaunganishwa na kujitangaza kuwa kafa
hiyo thread hii hapa chini
Nyani Ngabu kafa!![/b][/size]
Sasa wewe muhindi Ukianguka huko ukifa si watasema tumekutoa kafara?Hahah dah!! nipo site nagongea bati gorofa la 78 huko kidogo nidondoke na hii comment yako
Kule mwanzo nilisema wew siyo binadmu wa kawaida ona sasa!Fuc.k you! Fuc.k off! Fuc.k that!
Mkuu huu uzi nimecheka sanaSasa wewe muhindi Ukianguka huko ukifa si watasema tumekutoa kafara?
Hapo usikute mdomoni umejaza pilipili unazitafuna...
Mpenda sifa leo naona wamekuvua nguo ila badala uchutame unaendelea kuwatoa nduki.Nabaki kucheka tu jinsi ulivyopotoka.
Laiti ungejua...
sikujua kuwa watu wazima hupata ADHD?Wee Nyani Ngabu nimegundua wee lazma utakuwa una sumbuliwa na ugonjwa wa GRANDIOSE DELUSIONAL DISORDER Kama jamaa alivyo sema hapo juu!
Ndjabu Da Dude hii id ni ya kwako 100%!
Ulicho kifanya ulichukua baadhi ya maneno kwenye ile id yako ya zamani ambayo jf wali unganisha na hii id yako unayo tumia sasa! Id uliyo chukua
Maneno inaitwa (Floribert Njabu)
Ulicho kifanya wewe ni kutoa maneno kwenye id ya floribert njabu na kuunda id ambayo ndiyo unayo tumia kujiongelesha na kujitukana mwenyewe
(Ndjabu)=(Njabu)
Unacho kifanya ni utoto au ubongo wako 95% una matatizo!!
Fake id zako nyingine ni:
-Nyani MacCain
-Floribert Njabu
-Omega Psi Phi
Hizo zote ziliunganishwa baada ya jf kugundua michezo yako!!
Bado una id nyingine za kike!!
Mkitaka kuamini huyu jamaa ana matatizo ya akili alikuja na fake id kabla haijaunganishwa na kujitangaza kuwa kafa
hiyo thread hii hapa chini
Nyani Ngabu kafa!!
duuuh aisee
Wee Nyani Ngabu nimegundua wee lazma utakuwa una sumbuliwa na ugonjwa wa GRANDIOSE DELUSIONAL DISORDER Kama jamaa alivyo sema hapo juu!
Ndjabu Da Dude hii id ni ya kwako 100%!
Ulicho kifanya ulichukua baadhi ya maneno kwenye ile id yako ya zamani ambayo jf wali unganisha na hii id yako unayo tumia sasa! Id uliyo chukua
Maneno inaitwa (Floribert Njabu)
Ulicho kifanya wewe ni kutoa maneno kwenye id ya floribert njabu na kuunda id ambayo ndiyo unayo tumia kujiongelesha na kujitukana mwenyewe
(Ndjabu)=(Njabu)
Unacho kifanya ni utoto au ubongo wako 95% una matatizo!!
Fake id zako nyingine ni:
-Nyani MacCain
-Floribert Njabu
-Omega Psi Phi
Hizo zote ziliunganishwa baada ya jf kugundua michezo yako!!
Bado una id nyingine za kike!!
Mkitaka kuamini huyu jamaa ana matatizo ya akili alikuja na fake id kabla haijaunganishwa na kujitangaza kuwa kafa
hiyo thread hii hapa chini
Nyani Ngabu kafa!!
Hahahaha.... Sema nini nawewe unapuyanga,Mkuu huu uzi nimecheka sana
Mkuu si unajua mjini pagumu tunapiga na day waka!Hahahaha.... Sema nini nawewe unapuyanga,
juzikati ulisema unadeal na ishu za mafuta sijui, leo unasema fundi mabati...
Wewe muhindi muongo sana, wahindi wenzako hata hawako ivyo, hahahahahah
Aisee Inabidi tuelekezane tu site uliyopo ili nije kuchanganya zege angalau nipate hata hela ya kununua sabuni, Maisha magumu mwananguMkuu si unajua mjini pagumu tunapiga na day waka!
Mkuu ugonjwa wa huyo ndugu haujamwanza leo!! Na huko anakoelekea yupo kwenye stage mbaya sana ya kuchanganikiwa!!
Muulize FisadiKuu huo ugonjwa ulimwanza lini huyo bilioner wa fake id hapa jf!
Hahaha shukrani mkuu wasije wakasema tunamsingizia!