Mkuu kwa niaba yangu naomba huyo jamaa mpuuzie usimpe airtime ya kuendelea kuchat nae!! Utajishushia hadhi kuendelea kujibizana nae naona hana point!!Na mtu A ni nani? na barua ni ipi?
Kwa nini useme haupo ili hali upo na tunajadili sote?
Asante Jambazi...Mzee wa points!....DohMkuu kwa niaba yangu naomba huyo jamaa mpuuzie usimpe airtime ya kuendelea kuchat nae!! Utajishushia hadhi kuendelea kujibizana nae naona hana point!!
Hivi kweli kabisa unaamini mimi ndiye Ndjabu Da Dude?WACHA NIYASEME:
Mkuu NN katika watu niliowaheshimu na kuwakubali hapa JF hata kabla ya kujiunga ni wewe.Nilidhani una fikra za kiutu uzima zilizokomaa.Kila ulichokipost hapa nilikifungua na kusoma nikiamini ni mawazo chanya yenye kujenga.
Lakini kwa huu utumbo ulioufanya umejishushia heshima sana! huna tofauti na wale mademu wa CBE waliopata DIV.5. Afadhali wao wanaishi kwenye reality ya ujinga wao maana inakuwa rahisi kuwasaidia.
Nadhani una matatizo makubwa sana kuliko unavyojua wewe ama tunavyoweza kudhania.Kwanza mada zako za hivi karibuni umekuwa na msimamo wa kuyumba mno.Huna uti wa mgongo wa kusimama peke yako kifikra.
Kubwa zaidi ni wewe kujitukana matusi ya nguoni na kumuhusisha Mama yako.Unawezaje kutumia ID nyingine kujitukana? au ilikuwa ngao ya kukwepa upinzani wa baadhi ya wachangiaji kwenye mada yako[ambayo nayo ni upuuzi mtupu]?.Ulifikiri watu wangejiunga na ID2 kukutukana kwenye ID1 ili hali wewe ukiwacheka nyuma ya PC na Tab.?....Elewa kitu kimoja, unaweza kuficha ID ila siyo mawazo.
Jambo lingine, hizi tuhuma ulizorushiwa na baadhi ya wachangiaji kama Jambazi , FisadiKuu n.k za kwamba una matatizo ya kiakili huenda zikawa kweli.Kwa jinsi ulivyokuwa unajamba jamba hapa jukwaani inaonesha una genes za ushoga zilizo active.Ndizo zinazo dictate ubongo wako na kukufanya uwaze ushoga kwa kiasi kikubwa.Kuwa na gene za ushoga kwenye mwili wa ME lazima upate mkanganyiko wa kiakili, because it is an existence of a spirit in a wrong body.
USHAURI WANGU:
Jitahidi kuwaona wataalumu wa psychology na washauri wa magonjwa ya akili wakusaidie.Najua unapinga maono ya wajumbe lakini huo ndio uhalisia.UNA ACTIVE GENES ZA USHOGA ZENYE KUKUSABABISHIA MENTAL DISTURBANCE! JITAHIDI KUWAONA PSYCHIATRISTS.
Nkwingwa, hawa watu ni wa ajabu sana.Una Uhakika NN na Ndjabu ni mtu mmoja??
Hahaaa kaazi kweli kweli Nkwingwa.Asante Jambazi...Mzee wa points!....Doh
Ananipa 'airtime'?...Been here for 10 good years leo nije kupewa airtime na huyo jamaa yako ama wewe?...Itakuwa kichekesho
Sisi tumshauri tu kwamba atafute mtaalamu wa Saikolojia huko aliko.Kujitolea moja kwa moja kumsaidia ni jambo gumu kwa sababu za kuficha ID yake.Ila kiukweli huyu mtu ana matatizo makubwa sana ya kiakili.
Kwani Nyani Ngabu ndiye Flavian Matata?
Mkuu usijisumbue kubishana na Dada yangu Nyani Ngabu saizi ndoa yake inampa stress sana kifupi kichwan kwake kupo ovyo kwa kipindi hiki
Mkuu huyu Ndjabu Da Dude ndiyo huyu huyu Nyani Ngabu id zake soma page za nyuma ndiyo utaelewa!!
Anajifariji kwa kujijibu mwenyewe ili mods wasimshtukie! Wakimshtukia wanataiunganisha hiyo id!!
Anastahili hongera zake kwa kujituma kwake na uzuri alionao...Flavian yupo juu sana na anajituma kwa kweli, apewe sifa zake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]SICKNESS IS NOT SOMETHING TO BE ASHAMED OF,
What you are experiencing now is called Paranoia Schizophrenia its normal to many of my patients.
Its symptoms are accompanied with an outburst of rage and fear of an impending danger which is not actual.
And this psychological disorder is very prevalent to people who didn't have a good childhood due reasons like vicious poverty, child abuse, (DIVORCED PARENTS πππ), rejection etc so in adulthood their brains are trying to remedy up all the abuse they have experienced during childhood. A good example is when they project masculinity, wear expensive clothes, try to hand out with famous people and even to cause violence or unnecessary commotion just to put a veneer to their weaknesses.
But i promise you we are going to get through this.
Just bear with me a little more and let my therapy work.
Heheheh ni ubuyu wa ngabu tuNa mimi aomba buyu ee
Kuna sehemu nimeingilia ndio maana hata mi sijawah kukukoti hapo nimemkoti Ngabu the donWewe dada nikuombe tu usiingilie yasiyokuhusu. Mimi na wewe hatujawahi kuwa na matani hata siku nanapenda iendelee kuwa hivyo.
Be a Lady Fanya yako, na nikuombe siku nyingine ukiona Mimi nataniana na Ngabu ukae pembeni au pita tu.
Nadhani tumeelewana.
Inakuuma akiharibika kumbe sikujuaMkuu huyo demu mpuuzie! Hao ni wapambe wa huyu kichwa maji, hao ndiyo wanaomharibu mshkaji! Ndiyo maana sikumjibu!!
Na wewe utaambiwa ni nyani ngabu ahahahahNawe ni nani?...
Huo uhakika ulio nao kwamba NN ni Ndjabu ni kwa ajili ya nini sasa?....
We Nyani Ngabu umeamka? Si uliniaga unaenda kulala wewe[emoji23] [emoji23]Inakuuma akiharibika kumbe sikujua
Hivi kwa siku huwa unatumia masaa mangapi kuniwaza?Unajua mtu mwenye akili timamu hawezi hata siku moja kumfananisha binadamu na Kunguru.
Mpaka awe anaona maluweluwe (Delusional) kama wewe hivyo nakuelewa Ngabu wala sikuchukii.
Wagonjwa wengine kule Congo walishawahi hadi kunitishia bunduki lakini nikawavumilia.
Kaka naomba uje pm ,umenifurahisha sanaaaKwa mfano huo ulioutoa wa watu A na B...Na ukiangalia unayoyaaandika kwenye 'thread' hii ambayo kimsingi ni 'none of your damn business'....Ni dhahiri wewe ni Mwendawazimu.
Huyo naye ni Nyani Ngabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaka naomba uje pm ,umenifurahisha sanaaa