Mdada wa Kitanzania ndani ya Ralph Lauren

Status
Not open for further replies.
Sema wee na kaka poa mkiwa mnajivinjari katika harakati za fall window shopping. Ma Gay mnajulikana kwa kujisifu. Ukweli ni kuwa una pesa ya kununua HEAVILY discounted Ralph Lauren hat na soksi tu dizaini ya 75% off original price.
 
Gotta admit I love b.itch asses, like your mom's. Having said that, mind splainin' your penchant for "sucking" like in "sucker"?

Sounds like you're looking for someone to toss your salad😀.

Keep lookin'.
 
Huu uzi umeshaharibiwa na WASHAMBA!!
Tatizo wanajidai wajuaji kumbe hamna kitu...Mchukue muda kidogo hata m google mjue Ralph Lauren ni kitu gani na ina utajiri na ushawishi kiasi gani duniani ndo mje mjambejambe hapa! Tatizo lenu mmeishia gongo la Mboto tu hamjui yanayoendelea duniani ndo maana hamumwelewi mleta mada, na bado mnajifanya wajuaji... Labda mtatoka kidogo sasa kwani Bombadier zitaanza kuruka keshokutwa...........I'm out
 
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 

Wewe ndo mshamba unayedhani watu wa JF hawafahamu Ralph Lauren brand...

Kinachogomba hapa ni Mtanzana kuendelea kujisifu kabila lake sijui mkoa wake kama vile ameenda shopping Tandale akamkuta huyo msukuma mwenzake huko!
 
Kinachogomba hapa ni Mtanzana kuendelea kujisifu kabila lake sijui mkoa wake kama vile ameenda shopping Tandale akamkuta huyo msukuma mwenzake huko!

Hahahaaa pole sana maana huna uwezalo kufanya juu ya hilo.
 
[emoji7] [emoji7] Beutiful
 
For the fall season ya bongo (maana hata bongo majani ya miti yameanza kudondoka), watu wanasubiria wajue kama ile bollioni 6 iliyookolewa jana, kama kweli itarudishwa na majamaa ili ikafanyiwe "shopping" ya dawa mahospitalini
 
Naona sasa wasukuma wanakua kama wakenya, Kila kitu kizuri ni Chao duu, katoto ka kihaya hako, ohooooo, shauri yenu wasukuma siku hizi mnasifa za kijinga sana
 
Hii ingependeza zaidi;

Nilifurahi sana kuona mdada wa nyumbani kabisa [Tanzania] ...


Unless hii window shopping mlikuwa mnafanya Kariakoo labda huenda thread yako ingeleta mantiki kidogo!
Mentor takuchapa!!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…