Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #141
Yes nafurahi kuniuliza swali zuri. Ni hivi, nimekuja kukuhamsha na kukuondoa ushamba na ujinga uliokithiri kichwani mwako. Huyo mdada pengine hakuhusu na wala hakuwakilishi wewe, unajivunia nini hapa kama si ujinga kijana Nyani Ngabu? I thought you were smart than that kumbe ni wale wale tu. Shame on you kijana, nilikuamini sana ila sasa basi tena.
Mkuu we kubali ile id ni yako! thread yako ilikuwa nzuri ila pale ulipo kuja kuingiza ile nyingine wajanja wakakudaka!
Ubaya mwingine ni kutumia id nyingine na kuji quote na kujitukana hapo ndiyo nilipo mwona kuwa jamaa ni kichwa box!Yes nafurahi kuniuliza swali zuri. Ni hivi, nimekuja kukuhamsha na kukuondoa ushamba na ujinga uliokithiri kichwani mwako. Huyo mdada pengine hakuhusu na wala hakuwakilishi wewe, unajivunia nini hapa kama si ujinga kijana Nyani Ngabu? I thought you were smart than that kumbe ni wale wale tu. Shame on you kijana, nilikuamini sana ila sasa basi tena.
Hahahahaha huyo anajiongelesha na kujijibu kama kichaa vile... Alafu linakuja kubisha eti...Acha utoto mkuu we sasa hivi ni mtu mzima! Ila unakuwa na akili kama za mtoto wa mdogo bhana!
Hapa kwenye uzi wako una id mbili kubali ukatae! Maisha hayaendi hivyo kijana
No joking Nyani Ngabu, I really trusted you, ila unaniangusha.
Ubaya mwingine ni kutumia id nyingine na kuji quote na kujitukana hapo ndiyo nilipo mwona kuwa jamaa ni kichwa box!
Id ni yako ulichokuwa unakifanya siyo poa wala nini! unajiquote unajitukana tena! tena matusi ya nguoni dah!Siwezi kukubali imaginations na hallucinations zako.
Dalili za kusumbuliwa na maradhi ya maruerue ni ku imagine mambo na kujiaminisha hayo unayo ya imagine ni ya kweli.
Kwa hiyo wewe jiaminishe tu kuwa hiyo ID ni yangu, hilo sina tatizo nalo.
I'm used to you, by now. So be my guest and knock yourself out.
Wewe dogo acha bange... Haya njoo tena ujitukane mwenyewe hapa na kujijibu..Thibitisha kuwa nimejitukana na kujinukuu mimi mwenyewe.
Zaidi ya hapo ni tararira zile zile za siku zote.
Wee inaonekana utakuwa na msongo wa mawazo uliopitiliza viwango vyake!!Thibitisha kuwa nimejitukana na kujinukuu mimi mwenyewe.
Zaidi ya hapo ni tararira zile zile za siku zote.
Id ni yako ulichokuwa unakifanya siyo poa wala nini! unajiquote unajitukana tena! tena matusi ya nguoni dah!
Halafu ushamba huo kuogea kingereza hakiwezi kukutoa kwenye kundi la washamba wee jamaa
Sikuwa nafahamu kuwa Flaviana ni model wa mavazi ya Ralph Lauren. Hiyo ni bonge la dili. Na nampongeza sana kwa kupenya mpaka kufika kwa RL.Nilijua tu umesoma lakini hujaelewa.
Ni hivi, huyo mdada ni moja wa models wanao model mavazi ya Ralph Lauren.
Ralph Lauren ni label jina kubwa katika medani za mitindo na mavazi.
Hivyo, kwa mdada wa Kitanzania kufanya kazi na label ya Ralph Lauren ni hatua kubwa.
Umeelewa sasa?
Na kama wewe havikuhusu na wala havina manufaa kwako, umekuja kufanya nini sasa humu?
Si uende kwingine huko kwenye tija....
Wee inaonekana utakuwa na msongo wa mawazo uliopitiliza viwango vyake!!
Nimeishi na wahaya wenzako sijawahi kukutana na mwenye kichwa kibovu kama chako
Sikuwa nafahamu kuwa Flaviana ni model wa mavazi ya Ralph Lauren. Hiyo ni bonge la dili. Na nampongeza sana kwa kupenya mpaka kufika kwa RL.
Halafu mtu mwingine anathubutu kusema eti (Flaviana) si kajivalia tu kinguo kwa raha zake. Inaonyesha ni jinsi gani mtu hana clue na mambo ya mitindo na mavazi. Kiblauz cha Ralph Lauren au kigauni cha Versace anakilinganisha na cha kariakoo.
Mwingine anahoji eti watanzania tunafaidika nini.... Seriously???
Inashangaza....
Ubaya mwingine ni kutumia id nyingine na kuji quote na kujitukana hapo ndiyo nilipo mwona kuwa jamaa ni kichwa box!
I don't know you.
I don't care a lick about you.
Couldn't care less what you think of me.
Don't need your validation or your stamp of approval.
Now beat it.
Mapovu daima yanamwagika pale pombe ikikolea. Pole zako na hiyo Ralph Lauren, by the way...kijijini kwenu hakuna maji safi, Ralph Lauren na huyo demu mbongo watakusaidia vipi ili uwaokoe nduguzo?
Hata hii id ya Ngabu ni yangu nimekupa password nabadilisha kuanzia sasa"homa ya ngabu kalii sanaSio tu nawanyima usingizi. Ni kwamba Ngabu kayatawala mawazo yao hadi wanakuwa wanadhani kila anayepost humu na kunitukana eti ndo mimi mwenyewe.
Hata hapa sitashangaa wakidai wewe ndo mimi. Kwamba nimeandika na kujinukuu mwenyewe.
Talk about hallucinations...[emoji23] [emoji23]
Maziku Masunga ndo Nyani Ngabu[emoji23] [emoji23]
Hata Kasinde ndo huyo huyo Nyani Ngabu
Dinazarde naye ndo huyo huyo Nyani Ngabu
Valentina naye ndo Nyani Ngabu
Honey Faith naye ndo Nyani Ngabu
shunie naye ndo Nyani Ngabu
Wenye kumfuatilia Ngabu wana kazi kweli kweli.
Ipo siku hata vivuli vyao watadhani ndo Nyani Ngabu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahhahahaah hao hao wanakufatilia kina unachopost humu [emoji23][emoji23][emoji23],,,ila mi nakupenda tu[emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]Kabisa yaani na ndo maana wengine hata siwajibu kwa sababu ni upuuzi wa hali ya juu.
Ipo siku hata wao wenyewe watadhani wao ndo mimi!