OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hii ni kiboko sana. CCM wemetengeneza kizazi kioga, tunatakiwa kukitoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hakihitaji mdahalo inachohitaji ni kuonyesha wananchi imefanya Nini na wananchi wanaonaHuu mtego mnataka kumtega Samia kwa Lissu hawezi kuukubali
Unataka chama cha upinzani waoneshe shule waliyojenga?CCM hakihitaji mdahalo inachohitaji ni kuonyesha wananchi imefanya Nini na wananchi wanaona
Hizo porojo za maneno wabaki nazo upinzani ambao hawana Cha kuonyesha wamewafanyia Nini wananchi.Wawapige porojo za maneno
Chama tawala hakihitaji porojo za maneno ni vitendo kuonyesha kilichofanya Shule Ile pale,hospitali Ile pale,Barabara Ile pale nk
Porojo abaki nazo Lisu
Msigwa kataitiwa na wajumbe, eti aliwaita wenzie nyumbu haaaa haaaa 😀😀😀😀Sugu nimemfatila yupo vizuri Sana.
Sasa kule taifani unamtaka ubaya tu yule mtu. Ataongea nini kwenye mdahalo?Nmeipenda sana hii. Iende mpaka ngazi Taifa. .
Tulia kaenda shule halafu Mlokole Sugu atakalishwa chini 😂😂Baada ya huu mdahalo, nimejiuliza na naomba niulize hapa; Itakuwaje ukiandaliwa mdahalo kati ya Sugu na Tulia Mbunge wa Mbeya mjini?!
Tulia ni mlokole wa wapi wakati Mbeya nzima wanamjua kwa uchawi kwa kuwa anapenda mambo ya ulozi na harakati za kuhamasisha ushirikina?Tulia kaenda shule halafu Mlokole Sugu atakalishwa chini 😂😂
Kwani nani alikuambia walokole siyo Wachawi? 😃😃Tulia ni mlokole wa wapi wakati Mbeya nzima wanamjua kwa uchawi kwa kuwa anapenda mambo ya ulozi na harakati za kuhamasisha ushirikina?