Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Hiyo shule haijamsaidia,kuwakumbatia wake covid-19 bungeni hata baada ya mahakama kuu kukubali kuwa wale siyo wanachama wa Chadema tena ni ukiukwaji wa Katiba. Na kuhusu ulokole yule ni mwabudu shetani mzuri tu.Tulia kaenda shule halafu Mlokole Sugu atakalishwa chini ππ
Punguza dhihaka kwa imani za watu. Nuru na Giza havikai pamoja. Mtu akishakuwa mchawi huyo automatically hajaokoka maana anatumikia ulimwengu wa Giza. Jifunze nidhamu.Kwani nani alikuambia walokole siyo Wachawi? ππ
Sugu yupo vizuri na nadhani atashinda. Suala la ofisi na ngorongoro vitamsumbua Sana msigwaSugu naona ni mwanaharakati
Msigwa ni mwanasiasa mzuri
Mbona Sugu yupo vizuri, huyo Tulia ana lipi jipya kumzidi Sugu?. Kwenye siasa kila mtu ana approach yake.Baada ya huu mdahalo, nimejiuliza na naomba niulize hapa; Itakuwaje ukiandaliwa mdahalo kati ya Sugu na Tulia Mbunge wa Mbeya mjini?!
Maoni yangu, Sugu anahitaji kujifunza zaidi na kupunguza mihemko.
Msigwa anajua kujenga hoja lakini mshikaji wangu Sugu yuko kisela zaidi.Sugu yupo vizuri na nadhani atashinda. Suala la ofisi na ngorongoro vitamsumbua Sana msigwa
Mlokole gani anacheza miziki ya akina harmonize. Tatizo mnabeba mambo bila kuchuja.Tulia kaenda shule halafu Mlokole Sugu atakalishwa chini ππ
Yeah Kuna mapungufu kidogo. Atabadilika in due timeMsigwa anajua kujenga hoja lakini mshikaji wangu Sugu yuko kisela zaidi.
Unaelewa maana ya uchawi lakini? πPunguza dhihaka kwa imani za watu. Nuru na Giza havikai pamoja. Mtu akishakuwa mchawi huyo automatically hajaokoka maana anatumikia ulimwengu wa Giza. Jifunze nidhamu.
Kwani Muziki wa Harmonize au Sugu Moto Chini ina ubaya gani? πMlokole gani anacheza miziki ya akina harmonize. Tatizo mnabeba mambo bila kuchuja.
Lakini unajeng uadui kama mtu huna roho ngumu,
Lakini unajeng uadui kama mtu huna roho ngumu,
All in All, Msigwa is a philosopher and according to lato, philosophers are destined to rule /guide the state!
Sugu is an Iron boy to entertain the state. lakini ana msimamo anafaa kuongoza la Msigwa yuko juu. Hawapishani sana
ACHA kulia Lia WEWE mamaMdahalo wa kanda ya Kaskazini lini?Au midahalo ni wa kuja tu? Uchaguzi wa Nyasa umefanyiwa mdahalo wa sababu ya waliokutana.Wote waliwahi kuwa wabunge hivyo hamna dhaifu.Kijana Pambalu maskini kaja na chaki kwenye kampeini.Kajitoa dakika za mwisho kwa madai ya rushwa.
Kaskazini kuna wenyewe sio ajabu akawa mwenyewe.
Sikutegemea ujibu hoja kwa sababu mtaji wa mjinga ni matusi.ACHA kulia Lia WEWE mama
Hovyo kabisa.Kwanza wajumbe wa Chadema ni nadhifu wamekula suti safi kabisa. Angalia CCM wanavaa magunya yao, tuvijana tuchafu kuwaza uchawa tu
Wewe ni kibarakaHovyo kabisa.