Mdahalo: Kipi Ni Sumu Ya Muungano - Je, Ni Kwa Kuikataa Tanganyika au Ni Kwa Kuikubali Tanganyika?

Mdahalo: Kipi Ni Sumu Ya Muungano - Je, Ni Kwa Kuikataa Tanganyika au Ni Kwa Kuikubali Tanganyika?

Ni kweli na ni hapana. Ni kweli kwa maandishi na hapana kwa vitendo.
Ulinzi na usalama ni suala nyeti la muungano. Kunakuwa na Amir Jeshi mmoja tu at any point in time.
BLW limemfanya rais wa znz kuwa Amir jeshi kwa njia nilizosema (circumnavigate) na kumuita mkuu wa vikosi maalum. Waemweza hata kumpa hadhi ya mizinga 21.

Baraza la mitihani ni suala la muungano, BLW limeweza kuanzisha baraza lao bila kufuata utaratibu na hawajakemewa.

Ndani ya BLW kuna wabunge wanaokwenda Dodoma. Hao wakiungana wanaweza kupeleka mswada kisheria kabisa. Kwa wakati huu wangeungwa mkono na wapinzani na baadhi ya CCM

Kuna njia ya kuondoa watendaji wa znz katika serikali ya muungano akiwemo makamu wa Rais. hakuna atakayeshtakiwa kwa hilo lakini automatic litakuwa limehitimisha muungano.
Sasa labda uniambie kwanini watumishi wa znz katika muungano hawajajaribu kulifanya hilo hata siku moja.

Tukiangalia mambo ya muungano ambayo znz imeyakiuka bila kuchukuliwa hatua ni mengi sana kiasi kwamba hili la kujitoa halina uzito.

Nimemijubu Mchambuzi kuwa kwenda kwa vifungu hilo haliwezekani kwasababu vipo vifungu mahususi kuzuia.
Lakini technically linawezekana kwa ku-circumnavigate kama walivyofanya znz mara nyingi sana na kufanikiwa kukiuka katiba ya muungano kiufundi na kwa nguvu.

Nilitaka nikusaidie hapo nilipo BLUE.

Kama umesoma na kuelewa mambo ya muungano hususan kipengele hicho cha Ilmu. Utaona Tanganyika na Zanzibar mumeungana KATIKA ELIMU YA JUU TU SIO SECONDARY WALA PRIMARY LEVEL.

Kwa hiyo mamlaka ya Dr Shukuru Kawambwa nmwisho Chumbe kwani Znz wana waziri wao wa Elimu. Na ukitazama Mamlaka ya Dr Ndalichako na Baraza lake yapo chini ya wizara ya Ilmu ya Jmtz hivyo hana mamlaka Kisharia kuoperate Znz.

Na hata kama utatazama muundo wa Baraza hilo la Mitihani halijaundwa Kimuungano angali kwa kupitia Tovuti yake Muundo huo kisha linganisha na ile yenye sura ya muungano kama BOT n.k.

Zanzibar kisharia wana haki kamili kuunda baraza lao la Mitihani kwa mujibu wa sharia zote ile ya Znz na ile ya JMTz.

Pole sana punguza jazba na ushabiki

 
Nguruvi3,

Kila wakti nakuhasa punguza ushabiki na jazba kwani sumu ktk mnakasha,
lakini hata haya maradhwi ya takriban wa Tanganyika wengi ya kupenda kunung'unika ndio kabisa yanaangamiza hata ktk mambo yenu na haki zenu za msingi.

Nimewahi bainisha hakuna dhambi mbaya kuliko ya kunung'unika na hiyo ndio inayowasibu waTanganyika. Kumbuka kuwa kuna tofauti kubwa kati ya kunung'unika na kulalamika.

Kumbuka wa Znz wanalalamika sana na kupaza sauti zao wakati jirani zao wa Bara wananung'unika kimoyomoyo huku wanaumia.

Baada ya utangulizi huo naomba kukusaidia kisharia kuhusu madai yako kuwa Znz kuvunja katiba kwa kuwa na majeshi na mengineo.
Kumbuka kuwa Tz inaongozwa kwa utawala wa sharia. sasa kwa kutumia katiba ya JmTz wajibu wa kutii sharia za nchi, sharia ya 1984 na.15 ib.6 kifungu cha 1 na 2 kinakupa mamlaka mtu wajibu kufuata na kutii katiba, na na vile vile haki ya kufuata utaratibu uliowekwa na sharia, kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya katiba na sharia za nchi.

Sasa acha kunungunika chukua hatua kwenda mahakamani kwayo kama walivyofanya waZnz kwenda mahakamani kuhoji kuhusu hati ya mvungano wenu.

Barubaru,

Tunafanyeje ikiwa watanganyika wa wakati ule walizubaa, katiba ya muda ya JMT (1967)iliyokuja kinyume cha makubaliano ya mkataba (1964) kwamba marais wa jamhuri mbili wateue baraza la katiba ndani ya miezi kumi na mbili kutengeneza katiba ya JMT, badala yake katiba ya muda ikapitishwa na kumpa rais wa tanganyika kuwa ndiye rais wa JMT, hivyo safari ya kifo cha tanganyika kuanza rasmi?

Tunafanyeje wakati watanganyika wa mwaka 1967 waliachia jina la tanganyika lifutwe kwa mujibu wa sheria namba 24 ya mwaka 1967 na kubadilisha kuwa "Tanzania bara"?

Tunafanyeje ikiwa mwaka 1977 katiba ya kudumu iliyosimamiwa na ccm ikaizika kabisa Tanganyika kwa mujibu wa sheria ya kudumu?

Tunafanyeje iwapo viongozi wetu kama Nape wanasema watalinda kifo cha Tanganyika mpaka mwisho wa dunia? Tuandamane? Mwalimu alisema hatopiga mabomu watakaokataa muungano, kauli ya Nape je inatupa usalama kweli kudai haki yetu?

Nini mtazamo wako kwa haya mkuu barubaru;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nilitaka nikusaidie hapo nilipo BLUE.

Kama umesoma na kuelewa mambo ya muungano hususan kipengele hicho cha Ilmu. Utaona Tanganyika na Zanzibar mumeungana KATIKA ELIMU YA JUU TU SIO SECONDARY WALA PRIMARY LEVEL.

Kwa hiyo mamlaka ya Dr Shukuru Kawambwa nmwisho Chumbe kwani Znz wana waziri wao wa Elimu. Na ukitazama Mamlaka ya Dr Ndalichako na Baraza lake yapo chini ya wizara ya Ilmu ya Jmtz hivyo hana mamlaka Kisharia kuoperate Znz.

Na hata kama utatazama muundo wa Baraza hilo la Mitihani halijaundwa Kimuungano angali kwa kupitia Tovuti yake Muundo huo kisha linganisha na ile yenye sura ya muungano kama BOT n.k.

Zanzibar kisharia wana haki kamili kuunda baraza lao la Mitihani kwa mujibu wa sharia zote ile ya Znz na ile ya JMTz.

Pole sana punguza jazba na ushabiki
Barubaru, kama utakuwa umemsoma Mchambuzi katika mada hii na ile ya Nape utakuwa umemwelewa kuwa sasa hivi hatujadill mambo kwa item moja baada ya nyingine kwasababu tumeshayadili sana siku za nyuma na bado yanajadiliwa(amesema wazi), wala hatuangalii mambo kwa ushindi bali hoja zenye mantiki.

Unachokiandika hapa nimejaribu kukipuuza nikidhani utaelewa, ni ku derail maana nzima ya hoja hii.

Nakushauri uangalie mwenendo wa mjadala ili kuepuka kuvuruga na kuondoa watu katika mjadala kusudiwa.Hata pale ulipoondoka katika mjadala bado umekuwa unaongea mambo pengine kwa upungufu mkubwa wa kuelewa,upotoshaji, chuki binafsi, chembe za ushbiki na hata udini.
Mfano, umesema Nyerere alikataa kwabunge wa G55(ulisema G57) kujadili serikali ya Tanganyika.
Hiki ni kichekesho kwasababu sijui kama ulimsikiliza Nyerere au uliamua kubeba maneno ya maskani kwasababu weznetu ni wavivu sana wa kutafuta ukweli na wepesi sana wa majungu huko visiwani.

Kwa faida yako na wale wenye mtazamo kama wako au wale waliopotoka kwa maandishi yako napenda nukutanabahishe kilichotokea.

Nyerere hakukataa kuzungumzia serikali 3, alichokisema ni kuwa hoja ya serikali 3 haikuwa sera ya CCM ambayo waliombea ridhaa kwa Watanzania. Akasema kama wapo wanaoona kuna haja ya kuanzishwa kwa serikali ya Tanganyika basi waondoke katika chama ili waweze kwenda mahali wanakoweza kutetea sera hiyo isiyokuwa ya chama. Akaendelea kusema lini wananchi waliulizwa na kusema wanahitaji serikali tatu?

Hoja ya Nyerere ina mantiki hadi leo. Lini JK alikaa na chama chake na kuamua kuwa tuandike rasimu itakayotoa serikali 2, 3 au mkataba? Haipo katika manifesto ya uchaguzi wa CCM na wala si sera ya CCM. Matokeo ya haya ni kunyakuwa sera za Wapinzani kama JK binafsi na si Mwenyekiti wa CCM
Tatizo linaonekana sasa ambako kuna kukinzana kuhusu suala la serikali ngapi zinahitajika ndani ya CCM kwasababu hakikuwa sera yao.

Endapo G55 wangeruhusiwa kuanzisha serikali ya Tanganyika kama unavyodhani ilikuwa sahihi, hapo utakuwa na uelewa finyu sana. Wabunge ni wawakilishi na si wananchi. Jambo zito kama hilo linahitaji ridhaa ya wananchi. Kulikuwa na hoja ya kuanzisha serikali ya Tanganyika, lakini utaratibu uliotaka kutumika si sahihi. Huwezi kuwa na bunge la CCM wakati huo likakaa na kuamua kuhusu mustakabali wa taifa. Hiyo haikuwa kazi ya bunge na ndio maana Nyerere aliona tatizo hilo kuwa watu 55 hawawezi kukaa kitako na kubadili muundo wa nchi hata kama upo ulazima na hoja yao ilikuwa na nguvu.
Nyerere alijifunza kutokana na makosa ya huko nyuma na asingependa kuona yanajirudia hasa katika kipindi ambacho taifa likuwa na watu wanaoona mbali kuliko wakati wa 1964.
Kwa vile unaongozwa na chuki tu, ushabiki na kelele hoja kama hizi huwezi kuziainisha umebaki kutia aibu kama mchumi wa nchi hii enzi hizo.

Nimeuliza mara nyingi na wewe hujaweza kujibu isipokuwa kurukia item moja na kufanya spinning kitu ambacho tungekuomba ukiache kwasababu kinaondoa ladha ya majdailiano.

Nimewahi kuuliza lini wananchi waliulizwa kama bado wanahitaji muungano na lini waliamua mustakabali wa taifa lao wakati wa kwenda kuandika katiba?

Pili, spinning nyingine ni ile ya kusema aliyevunja EAC ni Nyerere. Sijui ushujaa huo unaupata wapi wakati Wakenya wakiomba radhi kwa kile kilichofanywa na Charles Njonjo na wenzake.
Nyerere asingeweza kuvunja muungano kwasababu katika mataifa yote matatu Tanzania iliathirika sana. Tuwashukuru rafiki zetu wa msumbiji walioweza hata kutupa ndege yao Moja achilia mbali Wahindi waliotoa mabehewa na Wachina pamoja na Wa hungary n.k.

Kwahiyo tunapokaa kimya kuhusu hoja zako ni kwamba hazijibiki ili kuwepo tofauti kati yetu, kuzijibu ni kurudisha tusi na mtu aliye pembeni anaweza kushindwa kuelewa nani mwenye busara

Hata hivyo kama tukiweka hoja moja baada ya nyingine bado huwezi kuzijibu na hivyo naomba ukae kimya ili usiaharibu maana ya nyuzi hii kama ilivyokusudiwa.

Talaa unataka tujadili kila kitu kimoja kimoja na kuleta ushabiki hatuitendei haki jamii, sehemu nzuri ni kule mzalendo na zanzinet wanakoamini Nyerere alisema anataka kutupa visiwa bahari bila kuwa na ushahidi wa aina yoyote isipokuwa simulizi. Hapa si pake umekosea njia

Tafadhali anzisha uzi tutakuja huko kujadiliana kuhusu hili au lile kwa muktadha wa nyuzi yako, kwa hapa naomba usome vizuri uzi halafu ujiridhishe kama unachoandika kinalingalina na maudhui yaliyokusudiwa.

Hapa tunafanya critic ya process nzima na kuona wapi palikosewa, wapi tunakosea na wapi tunaelekea. Hatupo hapa kusema Wazanzibar wapo sahihi au la! Ushabiki huo unavuruga sana mjadala wetu na nakusihi sana sana tafadhali kama huna cha maana cha kuandika hata kusoma ni sehemu muhimu au kutosoma kabisa ni busara. Unachokifanya hakilingani na eneo


cc. Jasusi, JokaKuu Ngongo


 
Barubaru,

Tunafanyeje ikiwa watanganyika wa wakati ule walizubaa, katiba ya muda ya JMT (1967)iliyokuja kinyume cha makubaliano ya mkataba (1964) kwamba marais wa jamhuri mbili wateue baraza la katiba ndani ya miezi kumi na mbili kutengeneza katiba ya JMT, badala yake katiba ya muda ikapitishwa na kumpa rais wa tanganyika kuwa ndiye rais wa JMT, hivyo safari ya kifo cha tanganyika kuanza rasmi?

Tunafanyeje wakati watanganyika wa mwaka 1967 waliachia jina la tanganyika lifutwe kwa mujibu wa sheria namba 24 ya mwaka 1967 na kubadilisha kuwa "Tanzania bara"?

Tunafanyeje ikiwa mwaka 1977 katiba ya kudumu iliyosimamiwa na ccm ikaizika kabisa Tanganyika kwa mujibu wa sheria ya kudumu?

Tunafanyeje iwapo viongozi wetu kama Nape wanasema watalinda kifo cha Tanganyika mpaka mwisho wa dunia? Tuandamane? Mwalimu alisema hatopiga mabomu watakaokataa muungano, kauli ya Nape je inatupa usalama kweli kudai haki yetu?

Nini mtazamo wako kwa haya mkuu barubaru;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Thank you so much. Tunaangalia critically the whole process ilivyokuwa na nini kifanyike.
Barubaru kama mimi ningekuwa wewe ningefikiria kwanini maswali hayo yameulizwa! think about it
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,

Nime notice unapenda kutumia maneno fulani kukashifu watanganyika kwamba ni mazezeta katika suala zima la muungano, lakini wakitokea watanganyika ambao wanajibu hoja, hasa watanganyika ambao ni victims wa makosa yaliyofanyika huko nyuma, na hasa wanao jenga hoja jinsi gani tanganyika imekuwa inaibeba zanzibar (kutokana na makosa), unasema watanganyika hao wananung'unika, huku ukitofautisha na dhana ya kulalamika; Ni kama umesahau kwamba hata wazanzibari walipitia manung'uniko katika kipindi cha miaka kumi na mbili (kuanzia 1965 kipindi cha katiba ya muda) hadi 1977 (kipindi cha katiba ya kudumu ya JMT); katika kipindi hiki, wanzanzibari walikuwa na manung'uniko lakini wakiwa na matumaini kwamba pengine katiba ya kudumu ya JMT (1977) ingerekebisha kasoro zilizojitokeza, hasa ndani ya katiba ya muda (1967); Lakini badala yake, Katiba ya 1977 ikazidi kutia jeraha donda lililopo, na ndipo wazanzibari wakaamua kugeuza manun'guniko sasa yawe rasmi kama malalamiko (lakini malalamiko ya hoja), suala ambalo likapelekea kuzaliwa kwa katiba ya kwanza ya znz (1979), ya kwanza tangia mapinduzi ya kuntoa sultani ya 1964, ambapo mwaka 1979 sasa malalamiko ya zanzibar yakawa yamefanyiwa kazi kupitia katiba yao ya1979; Lakini baada ya hapo, wazanzibari wakarudia katika hali ya manung'uniko tena ya chini kwa chini kwamba utambulisho wao chini ya katiba ya JMT (1977) ulikiwa hatarini kwani zanzibar ikageuzwa kuwa Tanzania zanzibar; again, wazanzibari wakaamua kugeuza manung'uniko kuwa malalamiko na hatimaye katiba ya znz ikafanyiwa marekebisho na jina la znz kurudishwa huku tanzania bara likifutwa;Kumbuka, kilichomkumba Mzee wetu Jumbe ilikuwa ni hali yake ya manung'uniko, sio malalamiko;

Unajaribu kujenga hoja kwamba nguruvi3 ananung'unika, je sio sahihi akiwa mtanganyika kufanya hivyo baada ya kushindwa kuvumilia jinsi gani mfumo mbaya wa muungano unavyomnyonya huku ukifaidisha watawala tu? Je, hudhani kwamba transition from manung"uniko to malamiko inahitaji formalization ya mambo mengi ambayo yatajenga hoja ili suala zima lijadiliwe na mamlaka husika kwa misingi ya sheria? Unarukiaje malalamiko kabla kwanza ya kuteta na wenzako kwa kunung'unika ili kwa pamoja muone kama you share the same sentiments hivyo kuformalize hoja kisheria iwe malalamiko?

Mimi nadhani anachofanya nguruvi3 ni sawa; halaumu wazanzibari kwa makosa yaliyojitokeza, bali anaumizwa na jinsi gani wazanzibari wasivyokuwa na huruma na tatizo husika, hasa ikizingatiwa kwamba kwa miaka 50, wao ndio wamefaidika zaidi ya watanganyika; ilitarajiwa wazanzibari wawe na huruma, wawe na shukrani, kisha kushauri ndugu zao nini cha kufanya baada ya kubadilishana experience za hapa na pale, hasa mchakato wao wa kujipatia katiba ya kwanza 1979 huku watanganyika wakiwa na dual constitution - ya Tanganyika, na hiyo hiyo ya kuwaudumia wazanzibari yani katiba ya JMT (1977);pia to share experience mchakato waliopitia kurudisha utambulisho wao wa zanzibar kupitia marekebisho ya katiba ya znz (1984), utambulisho uliofutwa na katiba ya JMT (1977)
I.E zanzibar to tanzania zanzibar; badala ya kufanya haya, wazanzibari wengi wamekuwa ni wakutukejeli tu huku wakiendelea kufaidika na muungano zaidi kuliko watanganyika, ofcourse kwa makosa ambayo sio ya wazanzibari; kumbuka, faida nazoongelea ni zaidi ya vyeo vya ubalozi, ugavana wa benki n.k, kwani haya ndio malalamiko common ya wazanzibari ambayo kwa kweli ni too narrow kwani yanawakilisha interests za elites tu ambao ndio wanawatia chumvi wananchi maskini zanzibar na kuwafanya wadhanie kwamba wao boti moja;

Barubaru, kwa sasa tutaendelea kung'unika, hadi pale tutakapopata platform ya ku formalize manung'uniko yetu sasa yawe malalamiko; transition hii itafanikiwa kupitia elimu ya uraia halafu referendum;

Kama anavyosema nguruvi3 kwenye duru za siasa, TUSEMEZANE;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Barubaru,

Tunafanyeje ikiwa watanganyika wa wakati ule walizubaa, katiba ya muda ya JMT (1967)iliyokuja kinyume cha makubaliano ya mkataba (1964) kwamba marais wa jamhuri mbili wateue baraza la katiba ndani ya miezi kumi na mbili kutengeneza katiba ya JMT, badala yake katiba ya muda ikapitishwa na kumpa rais wa tanganyika kuwa ndiye rais wa JMT, hivyo safari ya kifo cha tanganyika kuanza rasmi?

Tunafanyeje wakati watanganyika wa mwaka 1967 waliachia jina la tanganyika lifutwe kwa mujibu wa sheria namba 24 ya mwaka 1967 na kubadilisha kuwa "Tanzania bara"?

Tunafanyeje ikiwa mwaka 1977 katiba ya kudumu iliyosimamiwa na ccm ikaizika kabisa Tanganyika kwa mujibu wa sheria ya kudumu?

Tunafanyeje iwapo viongozi wetu kama Nape wanasema watalinda kifo cha Tanganyika mpaka mwisho wa dunia? Tuandamane? Mwalimu alisema hatopiga mabomu watakaokataa muungano, kauli ya Nape je inatupa usalama kweli kudai haki yetu?

Nini mtazamo wako kwa haya mkuu barubaru;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi,

Mimi nafikiri majibu ya hapa nilishabainisha mwanzo kabisa nilipoanza kuchangia uzi huu. (soma post no 24) lakin kwa faida ya wengi niliandika hivi
Nitapita tena badae kudadavua zaidi kuhusu Muungano wenu. lakin kwa kifupi
1. Uwoga waTz bara kuujadili muungano huo kinaga ubaga nafikiri wanakhofia asira za JKN enzi zake kwani aliweza hata kuwalazimisha Rais wa Znz wakti ule Jumbe ajiuzuru na hata Wabunge wa Bunge la Muungano G57 wasijadili kuhusu kuanzishwa kwa Serikali ya tanganyika.

2. Upande wa bara kuwa waoga sana kuanzishwa kwa Serikali yao na kila wakti waZnz wanapodai maslahi yao katika mvungano wenu wanakuwa vinala wakubwa wa kuitabiria mabaya na kusahau kujadili namna ya kuanzisha serikali yao hususan katika changamoto walizonazo za Siasa, Ukabila na udini uliotamalaki nchini mwao.

3. Wengi tunaamini HAKUNA DHAMBI MBAYA KULIKO DHAMBI YA KUNUNG'UNIKA. Hiyo ni moja ya watu kutoka upande pili wa muungano. Siku zote wa Znz wamekuwa wakisimama na kulalamikia kuhusu Muungano bila kificho wala aibu yoyote ;lakin majirani zao wao wamekuwa wananung'unika tu bila kupaza sauti.

Mimi naamini kama utafanyika mjadala wa wazi kuujadili muungano wenu bila kuficha kitu na kupalekea kuondoka kero zote basi mtakuwa mumeweka muungano madh'buti lakin huu wa kuzidisha kero kila kukicha kunalemaza na kulegeza muungano na kufikia kusema Bora kila mtu achukue mbao zake. Kwa katika Duniya mtakuwa sio wa kwanza kuvunja Muungano MBONA HATA EAC ilivunjika na JKN ndie aliyekuwa kinara katika kuvunja EAC, kwanini sisiwe kwa Znz na TGK?

Nitapita baadae kidogo nikinafasika Inshallah kujadili kwa kina point zangu.

Huo ndio mtazamo wangu kijumla.
wapatikane watu jasili wa kukubali kabisa kujadili muungano wenu mchana kweupee yaani kuwa na mjadala wa kitaifa. WaTgk kuacha unafiki na kuwa wakweli kwa dhati katika kujadili mustakabali wa taifa lenu. na kutumia busara na hikma kubwa kwa kufuata sharia mlizonazo na mlizojitungia katika kutatua matatizo yenu.

Kubwa zaidi watu waache kunung'unika BALI WAWE WENYE KULALAMIKA NA KUDAI HAKI ZAO KWA KUFUATA KATIBA YENU.
 
Mchambuzi umeongelea historia ya muungano bila kujikita kwenye tatizo na suluhu yake. Umeyataja mambo yaliyokuwa kikatiba ni maswala ya muungano ambayo karibu yote Zanzibar imeshayakiuka na kujipa madaraka. Tukianzia jina lenyewe nijuavyo ilikuwa ni serikali mbili kuungana za Tanganyika na Zanzibar ili kuunda Serikali ya ya Muungano wa Tanzania au Tanzania Bara na Tanzania Visiwani. Ili la serikali ya Zanzibar linakujaje. Ili muungano uwe mzuri basi kuwepo kujulikana kwa nchi za Tanzania Bara na Tanzania Visiwani na si Tanzania Bara na Serkali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Why seriakali ya Mapinduzi ya Zanzibar na hakuna Tanganyika? Basi kama hakuna ilo basi muungano hajakamilika maana upande mmoja umejipa madaraka ya kuwa nchi uku ukiwameza wengine nalo ni Serkali ya zanzibar kuwameza Watanganyika.Muungano mzuri utakuja pale Tanganyika itakapopata hadhi yake kama ilivyo Zanzibar nalo laweza kupatikana kama kutakuwa na serikali tatu yaani Tanganyika, Zanzibar na Muungano wake yaani Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiiunganisha serikali mbili ya Tanganyika na zanzibar au basi kuwe na serikali moja nayo ni ya Jamhuri ya muungano ya Tanzania.Ili la Wazanzibari kudai haki ya kutambuliwa hata sisi Watanganyika tunahitaji kutopoteza asili yetu Why then and not all of us?Tukija swala la ulinzi sidhani kama ilo ni tatizo maana nani kasema adui pekee atatokea iwewapo hakutakuwa na muungano kama la kuwa na nchi moja au tatu linashindikana na muungano ukavunjika. Kama hawataki serikali moja au tatu tuvunje muungano na tulinde mipaka yetu kama tunavyofanya kwa mipaka ya nchi majirani tunavyofanya.Kuhusu uchumi Tanganyika tunajitoshereza hatuhitaji kupata msaada kutoka Zanzibar amabo hawatutaki eti kisa wamevumbua mafuta wakati sisi gasi, madini, wanyama, na bila shaka mafuta very soon.Tuamue moja au serikali tatu au moja vinginevyo achana na muungano husiotupa tija Watanganyika
 
Barubaru, kama utakuwa umemsoma Mchambuzi katika mada hii na ile ya Nape utakuwa umemwelewa kuwa sasa hivi hatujadill mambo kwa item moja baada ya nyingine kwasababu tumeshayadili sana siku za nyuma na bado yanajadiliwa(amesema wazi), wala hatuangalii mambo kwa ushindi bali hoja zenye mantiki.

Unachokiandika hapa nimejaribu kukipuuza nikidhani utaelewa, ni ku derail maana nzima ya hoja hii.

Nakushauri uangalie mwenendo wa mjadala ili kuepuka kuvuruga na kuondoa watu katika mjadala kusudiwa.Hata pale ulipoondoka katika mjadala bado umekuwa unaongea mambo pengine kwa upungufu mkubwa wa kuelewa,upotoshaji, chuki binafsi, chembe za ushbiki na hata udini.
Mfano, umesema Nyerere alikataa kwabunge wa G55(ulisema G57) kujadili serikali ya Tanganyika.
Hiki ni kichekesho kwasababu sijui kama ulimsikiliza Nyerere au uliamua kubeba maneno ya maskani kwasababu weznetu ni wavivu sana wa kutafuta ukweli na wepesi sana wa majungu huko visiwani.

Kwa faida yako na wale wenye mtazamo kama wako au wale waliopotoka kwa maandishi yako napenda nukutanabahishe kilichotokea.

Nyerere hakukataa kuzungumzia serikali 3, alichokisema ni kuwa hoja ya serikali 3 haikuwa sera ya CCM ambayo waliombea ridhaa kwa Watanzania. Akasema kama wapo wanaoona kuna haja ya kuanzishwa kwa serikali ya Tanganyika basi waondoke katika chama ili waweze kwenda mahali wanakoweza kutetea sera hiyo isiyokuwa ya chama. Akaendelea kusema lini wananchi waliulizwa na kusema wanahitaji serikali tatu?

Hoja ya Nyerere ina mantiki hadi leo. Lini JK alikaa na chama chake na kuamua kuwa tuandike rasimu itakayotoa serikali 2, 3 au mkataba? Haipo katika manifesto ya uchaguzi wa CCM na wala si sera ya CCM. Matokeo ya haya ni kunyakuwa sera za Wapinzani kama JK binafsi na si Mwenyekiti wa CCM
Tatizo linaonekana sasa ambako kuna kukinzana kuhusu suala la serikali ngapi zinahitajika ndani ya CCM kwasababu hakikuwa sera yao.

Endapo G55 wangeruhusiwa kuanzisha serikali ya Tanganyika kama unavyodhani ilikuwa sahihi, hapo utakuwa na uelewa finyu sana. Wabunge ni wawakilishi na si wananchi. Jambo zito kama hilo linahitaji ridhaa ya wananchi. Kulikuwa na hoja ya kuanzisha serikali ya Tanganyika, lakini utaratibu uliotaka kutumika si sahihi. Huwezi kuwa na bunge la CCM wakati huo likakaa na kuamua kuhusu mustakabali wa taifa. Hiyo haikuwa kazi ya bunge na ndio maana Nyerere aliona tatizo hilo kuwa watu 55 hawawezi kukaa kitako na kubadili muundo wa nchi hata kama upo ulazima na hoja yao ilikuwa na nguvu.
Nyerere alijifunza kutokana na makosa ya huko nyuma na asingependa kuona yanajirudia hasa katika kipindi ambacho taifa likuwa na watu wanaoona mbali kuliko wakati wa 1964.
Kwa vile unaongozwa na chuki tu, ushabiki na kelele hoja kama hizi huwezi kuziainisha umebaki kutia aibu kama mchumi wa nchi hii enzi hizo.

Nimeuliza mara nyingi na wewe hujaweza kujibu isipokuwa kurukia item moja na kufanya spinning kitu ambacho tungekuomba ukiache kwasababu kinaondoa ladha ya majdailiano.

Nimewahi kuuliza lini wananchi waliulizwa kama bado wanahitaji muungano na lini waliamua mustakabali wa taifa lao wakati wa kwenda kuandika katiba?

Pili, spinning nyingine ni ile ya kusema aliyevunja EAC ni Nyerere. Sijui ushujaa huo unaupata wapi wakati Wakenya wakiomba radhi kwa kile kilichofanywa na Charles Njonjo na wenzake.
Nyerere asingeweza kuvunja muungano kwasababu katika mataifa yote matatu Tanzania iliathirika sana. Tuwashukuru rafiki zetu wa msumbiji walioweza hata kutupa ndege yao Moja achilia mbali Wahindi waliotoa mabehewa na Wachina pamoja na Wa hungary n.k.

Kwahiyo tunapokaa kimya kuhusu hoja zako ni kwamba hazijibiki ili kuwepo tofauti kati yetu, kuzijibu ni kurudisha tusi na mtu aliye pembeni anaweza kushindwa kuelewa nani mwenye busara

Hata hivyo kama tukiweka hoja moja baada ya nyingine bado huwezi kuzijibu na hivyo naomba ukae kimya ili usiaharibu maana ya nyuzi hii kama ilivyokusudiwa.

Talaa unataka tujadili kila kitu kimoja kimoja na kuleta ushabiki hatuitendei haki jamii, sehemu nzuri ni kule mzalendo na zanzinet wanakoamini Nyerere alisema anataka kutupa visiwa bahari bila kuwa na ushahidi wa aina yoyote isipokuwa simulizi. Hapa si pake umekosea njia

Tafadhali anzisha uzi tutakuja huko kujadiliana kuhusu hili au lile kwa muktadha wa nyuzi yako, kwa hapa naomba usome vizuri uzi halafu ujiridhishe kama unachoandika kinalingalina na maudhui yaliyokusudiwa.

Hapa tunafanya critic ya process nzima na kuona wapi palikosewa, wapi tunakosea na wapi tunaelekea. Hatupo hapa kusema Wazanzibar wapo sahihi au la! Ushabiki huo unavuruga sana mjadala wetu na nakusihi sana sana tafadhali kama huna cha maana cha kuandika hata kusoma ni sehemu muhimu au kutosoma kabisa ni busara. Unachokifanya hakilingani na eneo


cc. Jasusi, JokaKuu Ngongo



Nguruvi3,

Kwanza kabisa punguza jazba na nakuomba unisome sana kwa NIA ya KUNIELEWA na insh'Allah utanielewa kwani mara nyingi sana katika Uzi huu nimekuwa na kuonyesha mapungufu yako kwa KUweka rangi na baadae NATUMIA NENO KUKUSAIDIA ili uelewe kosa lako lipo wapi. Angalia nilipokusaidia kuhusu baraza la mitihani Znz, Na hata namna ya kuondoa manung'uniko yako kuhusu wa Znz kuvunja katiba, Nimekuwekea mpaka kifungu cha sharia ya nchi yako JMTz kinachokuwezesha wewe kuweza KWENDA MAHAKAMANI badala ya kubaki kulalama.

Vile vile ni vizuri ujue kazi kubwa ya barza hili ni KUELIMISHANA, KUPASHANA HABARI NA HATA KUBURUDISHANA. Na hicho ndicho ninachofanya katika uzi huu na mingine ambayo nachangia.

Binafsi nimesema wazi kuwa NYERERE ndie kinara wa KUUWA EAC na nimeweka mpaka sababu kuwa Nyerere alikataa kukaa kikao kimoja na kupeana mkono na Idi Amin rais wa Uganda kwa madai kuwa alikuwa muuwaji. Hiyo ndio ilipelekea kuvunjika kwa jumuiya hiyo kwani isingewezekana kuwepo na vikao vya wakuu wa nchi hizo. sasa kama uliona sababu yangu haikuwa ya kweli na Nyerere hakukataa hayo basi niambie ukweli upo wapi?

Kuhusu hii ya G55 hii nimeichambua kwa kina sana katika uzi wangu niliowahi kuanzisha katika jujwaa la siasa wenye kicha cha habari KWANINI NYERERE ALIKATAA KUANZISHWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA? hapo nilitoa kuhusu Aboud Jumbe na G55. Kwa faida ya wengi nitakiweka tena hapa insh'Allah nikinafasika.


lakin hata kwa akili ya kawaida tu wakti ule tz ilikuwa chini ya mfumo wa Chama kimoja. Jiulize je wangeamua kujitoa katika CCM wangekwenda wapi kama si kumalizwa kisiasa na kimaisha kama ilivyotokea kwa Horace Kolimba. Kumbuka kuwa Nyerere aliingilia suala hilo wakti hakuwa Rais wa nchi bali alitumia ubabe tu kuiondosha mada hiyo Bungeni. JIULIZE JE INGETOKEA SASA HIVI HALI KAMA HIYO INGEKUWAJE?

Kumbuka kuwa siku zote UKWELI UNABAKI KUWA KWELI na siwezi kupindisha hilo. kama unaona kuna mapungufu yoyote basi tuyajadili kwa staha kwa NIA ILE ILE YA KUELIMISHANA na sio kugombana.

Lakin kubwa kwa sasa sio kujadili wapi mlipokosea bali ni kipindi cha vijana wa sasa kuleta mageuzi ya kweli katika kila nyanja kwa faida na maendeleo ya taifa lenu.

Kumbukeni wazee wengi huko wamelewa ile kasumba za kuendeleza SIASA badala ya kufikiria kukuza uchumi.


pole sana na samahani sana kama nitakuwa nimekukwaza.


Cc: Jasusi, JokaKuu Ngongo

 
Zanzibar will be far better off wakitoka kwenye hii ndoa inayoitwa muungano. Nadhani tunawabania na kuwalostisha tu.
 
Barubaru,

Nime notice unapenda kutumia maneno fulani kukashifu watanganyika kwamba ni mazezeta katika suala zima la muungano, lakini wakitokea watanganyika ambao wanajibu hoja, hasa watanganyika ambao ni victims wa makosa yaliyofanyika huko nyuma, na hasa wanao jenga hoja jinsi gani tanganyika imekuwa inaibeba zanzibar (kutokana na makosa), unasema watanganyika hao wananung'unika, huku ukitofautisha na dhana ya kulalamika; Ni kama umesahau kwamba hata wazanzibari walipitia manung'uniko katika kipindi cha miaka kumi na mbili (kuanzia 1965 kipindi cha katiba ya muda) hadi 1977 (kipindi cha katiba ya kudumu ya JMT); katika kipindi hiki, wanzanzibari walikuwa na manung'uniko lakini wakiwa na matumaini kwamba pengine katiba ya kudumu ya JMT (1977) ingerekebisha kasoro zilizojitokeza, hasa ndani ya katiba ya muda (1967); Lakini badala yake, Katiba ya 1977 ikazidi kutia jeraha donda lililopo, na ndipo wazanzibari wakaamua kugeuza manun'guniko sasa yawe rasmi kama malalamiko (lakini malalamiko ya hoja), suala ambalo likapelekea kuzaliwa kwa katiba ya kwanza ya znz (1979), ya kwanza tangia mapinduzi ya kuntoa sultani ya 1964, ambapo mwaka 1979 sasa malalamiko ya zanzibar yakawa yamefanyiwa kazi kupitia katiba yao ya1979; Lakini baada ya hapo, wazanzibari wakarudia katika hali ya manung'uniko tena ya chini kwa chini kwamba utambulisho wao chini ya katiba ya JMT (1977) ulikiwa hatarini kwani zanzibar ikageuzwa kuwa Tanzania zanzibar; again, wazanzibari wakaamua kugeuza manung'uniko kuwa malalamiko na hatimaye katiba ya znz ikafanyiwa marekebisho na jina la znz kurudishwa huku tanzania bara likifutwa;Kumbuka, kilichomkumba Mzee wetu Jumbe ilikuwa ni hali yake ya manung'uniko, sio malalamiko;

Unajaribu kujenga hoja kwamba nguruvi3 ananung'unika, je sio sahihi akiwa mtanganyika kufanya hivyo baada ya kushindwa kuvumilia jinsi gani mfumo mbaya wa muungano unavyomnyonya huku ukifaidisha watawala tu? Je, hudhani kwamba transition from manung"uniko to malamiko inahitaji formalization ya mambo mengi ambayo yatajenga hoja ili suala zima lijadiliwe na mamlaka husika kwa misingi ya sheria? Unarukiaje malalamiko kabla kwanza ya kuteta na wenzako kwa kunung'unika ili kwa pamoja muone kama you share the same sentiments hivyo kuformalize hoja kisheria iwe malalamiko?

Mimi nadhani anachofanya nguruvi3 ni sawa; halaumu wazanzibari kwa makosa yaliyojitokeza, bali anaumizwa na jinsi gani wazanzibari wasivyokuwa na huruma na tatizo husika, hasa ikizingatiwa kwamba kwa miaka 50, wao ndio wamefaidika zaidi ya watanganyika; ilitarajiwa wazanzibari wawe na huruma, wawe na shukrani, kisha kushauri ndugu zao nini cha kufanya baada ya kubadilishana experience za hapa na pale, hasa mchakato wao wa kujipatia katiba ya kwanza 1979 huku watanganyika wakiwa na dual constitution - ya Tanganyika, na hiyo hiyo ya kuwaudumia wazanzibari yani katiba ya JMT (1977);pia to share experience mchakato waliopitia kurudisha utambulisho wao wa zanzibar kupitia marekebisho ya katiba ya znz (1984), utambulisho uliofutwa na katiba ya JMT (1977)
I.E zanzibar to tanzania zanzibar; badala ya kufanya haya, wazanzibari wengi wamekuwa ni wakutukejeli tu huku wakiendelea kufaidika na muungano zaidi kuliko watanganyika, ofcourse kwa makosa ambayo sio ya wazanzibari; kumbuka, faida nazoongelea ni zaidi ya vyeo vya ubalozi, ugavana wa benki n.k, kwani haya ndio malalamiko common ya wazanzibari ambayo kwa kweli ni too narrow kwani yanawakilisha interests za elites tu ambao ndio wanawatia chumvi wananchi maskini zanzibar na kuwafanya wadhanie kwamba wao boti moja;

Barubaru, kwa sasa tutaendelea kung'unika, hadi pale tutakapopata platform ya ku formalize manung'uniko yetu sasa yawe malalamiko; transition hii itafanikiwa kupitia elimu ya uraia halafu referendum;

Kama anavyosema nguruvi3 kwenye duru za siasa, TUSEMEZANE;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi,

Naomba nikusaidie hapo nilipo Bold.

Kumbuka kuwa MUDA HAUKUSUBIRI WEWE eti umalize kunung'unika. Huu ni wakti wa kuacha kunung'unika ni wakti wa Kupaza sauti zenu na kulalamikia Serikali yenu, katiba yenu na mfumo wenu wa Uongozi na wakti huo huo kuchukua HATUA.

Kwa maneno machache SI WAKTI WA KUVUMILIANA bali ni wakti wa KUHISHIMIANA na kila mtu atekeleze wajibu na majukumu yake kwa mujibu wa Katiba yenu na wala si kwa matakwa ya viongozi au kundi la watu.

Hiyo ndio falsafa kubwa katika kutaka kupata maendeleo ya haraka na kuendana na kasi ya kuendelea kwa Duniya.

Pole sana kwa mtazamo wako



 
Hivi huu Muungano un faida zipi kwa Wazanzibari na Watanganyika? kama wapo waliobaki hao Watanganyika.
 
Nadhani Mchambuzi ameeleza vema kile ambacho wengi tumekuwa tunakieleza na hata kwenda mbali ya hapo kwa mantiki sana.

Inaonekana Barubaru hana ufahamu wa kile kinachoongelewa au kutokea hapa nchini.
Katika badiko lake amesema kuwa 'tatueni matatizo kwa kutumia katiba yenu'' yaani katiba ya JMT si ya wazanzibar ni ya Watanganyika.

Linapokuja suala la masilahi ni wzn hao hao hao wenye ufikiri kama Barubaru wanaotaka kuwe na usawa katika muungano. Kwamba, sasa wanaitambua katiba ile waliokana jana yake.

Watanganyika si wajinga wa kudai Tanganyika, wao walijitoa kwa Tanzania,wanaposikia madai kuwa katiba ya JMT ni yenu hujiuliza ni yenu akina nani?hapo wanajikuta ni Watanganyika kuliko Watanzani.
Wao waliamini katika Tanzania na sasa wameachwa yatima.

Ni kutokana na unyonge wa wao kujitoa sana katika muungano na kuubeba kwa gharama kubwa sana sasa hivi wanauongelea wazi kurejea Tanganyika. Kuongela kwao ndiko huku tunakokudadavua.
Msome Mchambuzi jinsi anavyokuchukua hatua hatua jinsi gani na wapi hasa wenzetu wa znz walitukimbia.

Watanganyika siyo wajinga wakuingia mitaani na kurusha mawe hovyo eti wanadai Tanganyika.
Ujinga huo wameshavuka kwasababu wanaelewa wakiitaka Tanganyika itarudi kwa ustaarabu.
Unaona mahali ilipofikia, tume imekosa chaguo na kurejea kwa Tanganyika.

Kurejea kwa Tanganyika ni kwa faida ya Tanganyika.
Hakuna shaka kuwa anyehitaji huu muungano siku ya leo ni mzanzibar kuliko Mtanganyika.
Mznz ndiye anataka kila aina ya muungano hata mkataba.Itafika mahali inabidi muombe muungano.

Na wala wznz wasiwe na hofu Tanganyika itarudi. Mwaka 1964 tulianza na mambo 11, kwahisani ya Tanganyika yakafikia 22 ambapo hakuna hata moja lililokuwa na manufaa kwa Tanganyika.

Mwaka 2013 yamepunguzwa na kubaki 7. Katika yale yaliyoondolewa hakuna hata moja lililoiathiri Tanganyika, zaidi imeathirika znz hasa watu wa kawaida wasio katika elites group

Kubaki mambo 7 ni jitihada za Watanganyika kujitambua. Mfano, walitambua kuwa ardhi siyo suala muungano wakaliondoa iwe rasilimali yao na wawe na control.

Wakaondoa mambo ya utumishi ili kulinda ajira zao kama taifa bila kuingiliwa. Wameondoa elimu ya juu ili waweza kusomesha watoto wao wa Tanganyika.

Wameondoa ushuru, utalii na biashara mambo ambayo znz inaiihitaji Tanganyika kama soko muhimu sana.
Katika yote hayo hakuna hata moja Tanganyika inayolitumai kutoka znz na ni kwa maumivu ya mzn wa kawaida kabisa.

Labda ujuliuliza kuondoa kodi katika mambo ya muungano kuna muumiza nani hasa?
Najua unazo habari za ujenzi wa bandari huru ya mwambani pale Tanga, kodi kutokuwa jambo la muungano nani muathirika zaidi, soko la watu milioni 40 au wafanyabiashara wanaotaka soko hilo?

Barubaru kama unadhani kubakiza mambo 7 si kurejea kwa Tanganyika utakuwa na tatizo.
Lakini lazima ujiuluze je kurejea Tanganyika kuna manufaa kwa znz?

Kurejea kwa Tanganyika ni kutengeneza mpinzani kwa znz na kwabahati mbaya jiografia hairuhusu znz kuwa na mshirika au mpinzani mwingine zaidi ya Tanganyika. Kwa hali ilivyo nakuhakikishia serikali ya 'mazezeta wa Tanganyika'' haitatoa nafasi kama iliyopo na mbele ya safari tuombe uhai ipo siku itaundwa tume kutoka znz kuja kuongea na Tanganyika kuhusu mahusiano! Tanganyika inarudi lakini si kwa manufaa ya znz kwa namna yoyote.
 
Naomba nikusaidie hapo nilipo Bold.

Kumbuka kuwa MUDA HAUKUSUBIRI WEWE eti umalize kunung'unika. Huu ni wakti wa kuacha kunung'unika ni wakti wa Kupaza sauti zenu na kulalamikia Serikali yenu, katiba yenu na mfumo wenu wa Uongozi na wakti huo huo kuchukua HATUA.

Kwa maneno machache SI WAKTI WA KUVUMILIANA bali ni wakti wa KUHISHIMIANA na kila mtu atekeleze wajibu na majukumu yake kwa mujibu wa Katiba yenu na wala si kwa matakwa ya viongozi au kundi la watu.

Hiyo ndio falsafa kubwa katika kutaka kupata maendeleo ya haraka na kuendana na kasi ya kuendelea kwa Duniya.

Pole sana kwa mtazamo wako
Unachoksea ni kudhani kuwa yale wanayofanya wazanzibar ni lazima Watanganyika wayafanye. Kupaza sauti hakuna maana kwasababu hata mwendawazimu anaweza kupaza sauti.
Muhimu sana ni je, sauti hizo za kupaza zina substances?

Miaka michache iliyopita Watanganyika walikuwa kimya kila walipotupiwa madai ya kunyonya Zanzibar.
Jitihada za kuuelimisha umma kuhusu madai hayo yasiyo na msingi zimefanyika.

Kama unafutalia sehemu nyingi na hasa hapa JF jitihada za kunoyesha kuwa hakuna unyonyaji zimefanyika hasa kipindi cha 2009 hadi leo.
Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa hakuna mzanzibar anayesimama tena na kuleta madai ya kipuuzi ya kunyonywa.

Badala yake Watanganyika wameweza kusimama kidete na kuonyesha jinsi gani utegemezi wa zanzibar unavyowaumiza.

Sasa hivi ni rahisi mtanganyika kujenga hoja kuhusu madai ya yoyote yasiyo na msingi na yale yenye msingi wa kunyonywa na zanzibar.

Huko tumemaliza na kazi ya ku-sensitize Watanganyika kuhusu utaifa wao nayo imekamilika.
Tulipo na tunakoelekea ni kurudisha dola ya Tanganyika na utaifa wake.
Mafanikio yapo, tumeweza kuondoa mambo 15 yasiyotusaidia na sasa tumebaki na 7.

Tumeweza kuweka uwiano sawa katika mambo hayo 7. Ukisoma rasimu ni wazi kuwa mawazo yamezingatiwa. Hebu pitia kipengele kinachosema 'sheria itakayotumika kwa upande mmoja itumike kwa upande mwingine sawia' Maana yake hakuna sheria itakayombana Mtanganyika na kumwachia mzanzibar kama ilivyo kwa mznz kumwachia Mtanganyika. Hapo nani ana disadvantage?

Halafu tunaangalia mambo muhimu na siyo kugawana vyeo. Kuna kugawana madeni pia na hilo lipo mezani. Tunaangalia uendeshaji wa shirikisho kwa wabia wote bila kujali huyu mkubwa na huyu mdogo.
Sijui nani ana disavdantage?


Kurejea kwa dola ya Tanganyika hakuzuiliki kwasababu hoja iliyo mbele ni kuandika kwa katiba.
Baada ya kukamilika hilo Tanganyika itakuwepo bila kuhitaji Zanzibar ingawa sijui Zanzibar haitaihitaji Tanganyika.

Siyo suala la kupaza sauti ni suala la kupaza sauti kukiwa na mkakati na mantiki.
Siyo suala la kupigana kwa mawe, ni suala la kupigana kwa fikra.

Badala ya kuongelea item moja sasa watu wanaongelea mustakabali kwa kuangalia historia na wapi tumejikwaa. Msome vizuri na kwa utulivu Mchambuzi uone alivyoanza na article of union, presidential decree, katiba ya muda, kuondoka kwa Tanganyika na katiba ya kudumu. Hiyo ndiyo elimu inayoendelea ili kuwaeleza watu mwiba ulipoingilia ndipo utakapotokea.

In the end, jiuliza yote ynayotokea ni kwa faida na hasara ya nani?
Kurudi kwa Tanganyika kunainufaisha au kuidhofisha vipi znz?
Je, ni muafaka kwa znz kuwa na Tanganyika kama mpinzani na nani mwenye upper hand kwa hilo?

cc JokaKuu Jasusi EMT Ngongo Mzee Mwanakijiji.
 
Unachoksea ni kudhani kuwa yale wanayofanya wazanzibar ni lazima Watanganyika wayafanye. Kupaza sauti hakuna maana kwasababu hata mwendawazimu anaweza kupaza sauti.
Muhimu sana ni je, sauti hizo za kupaza zina substances?

Miaka michache iliyopita Watanganyika walikuwa kimya kila walipotupiwa madai ya kunyonya Zanzibar.
Jitihada za kuuelimisha umma kuhusu madai hayo yasiyo na msingi zimefanyika.

Kama unafutalia sehemu nyingi na hasa hapa JF jitihada za kunoyesha kuwa hakuna unyonyaji zimefanyika hasa kipindi cha 2009 hadi leo.
Matokeo ya kazi hiyo ni kuwa hakuna mzanzibar anayesimama tena na kuleta madai ya kipuuzi ya kunyonywa.

Badala yake Watanganyika wameweza kusimama kidete na kuonyesha jinsi gani utegemezi wa zanzibar unavyowaumiza.

Sasa hivi ni rahisi mtanganyika kujenga hoja kuhusu madai ya yoyote yasiyo na msingi na yale yenye msingi wa kunyonywa na zanzibar.

Huko tumemaliza na kazi ya ku-sensitize Watanganyika kuhusu utaifa wao nayo imekamilika.
Tulipo na tunakoelekea ni kurudisha dola ya Tanganyika na utaifa wake.
Mafanikio yapo, tumeweza kuondoa mambo 15 yasiyotusaidia na sasa tumebaki na 7.

Tumeweza kuweka uwiano sawa katika mambo hayo 7. Ukisoma rasimu ni wazi kuwa mawazo yamezingatiwa. Hebu pitia kipengele kinachosema 'sheria itakayotumika kwa upande mmoja itumike kwa upande mwingine sawia' Maana yake hakuna sheria itakayombana Mtanganyika na kumwachia mzanzibar kama ilivyo kwa mznz kumwachia Mtanganyika. Hapo nani ana disadvantage?

Halafu tunaangalia mambo muhimu na siyo kugawana vyeo. Kuna kugawana madeni pia na hilo lipo mezani. Tunaangalia uendeshaji wa shirikisho kwa wabia wote bila kujali huyu mkubwa na huyu mdogo.
Sijui nani ana disavdantage?


Kurejea kwa dola ya Tanganyika hakuzuiliki kwasababu hoja iliyo mbele ni kuandika kwa katiba.
Baada ya kukamilika hilo Tanganyika itakuwepo bila kuhitaji Zanzibar ingawa sijui Zanzibar haitaihitaji Tanganyika.

Siyo suala la kupaza sauti ni suala la kupaza sauti kukiwa na mkakati na mantiki.
Siyo suala la kupigana kwa mawe, ni suala la kupigana kwa fikra.

Badala ya kuongelea item moja sasa watu wanaongelea mustakabali kwa kuangalia historia na wapi tumejikwaa. Msome vizuri na kwa utulivu Mchambuzi uone alivyoanza na article of union, presidential decree, katiba ya muda, kuondoka kwa Tanganyika na katiba ya kudumu. Hiyo ndiyo elimu inayoendelea ili kuwaeleza watu mwiba ulipoingilia ndipo utakapotokea.

In the end, jiuliza yote ynayotokea ni kwa faida na hasara ya nani?
Kurudi kwa Tanganyika kunainufaisha au kuidhofisha vipi znz?
Je, ni muafaka kwa znz kuwa na Tanganyika kama mpinzani na nani mwenye upper hand kwa hilo?

cc JokaKuu Jasusi EMT Ngongo Mzee Mwanakijiji.

Nguruvi3.

Kila wakti nakwambia punguza jazba. Nimesema kupaza sauti na kuilalamikia, Serikali yenu, Katiba yenu kwa maana watungaji wenu wa sharia, wasimamizi wa sharia hizo na hata wanaotafsiri sharia hizo.

na hiloi hivi sasa ndilo linalofanyika huko Tanzania kama hujui ahali yangu Nguruvi3. Kuna mambo yanayotokea huko Mtwara naona wengi wanalalamika japo Serikali imekaa kimya na hata kufunika masikio lakin ujumbe unafika na nchi wafadhili wanasikia.

Kumbuka kuwa Kunung'unika kwako ndani ya JF hakuwezi kusaidia lolote haswa ukizingatia JF sio chombo rasmi kisharia . Mimi binafsi napenda kukwambia MtU PEKEE mwenye uthubutu wa kusema hadhwarani kuhusu Muungano bila kumung'unya maneno tena kwenye chombo rasmi kisharia ni TUNDU LISSU.

sasa kama mngepata wengine kama hao japo 20 tu wenye uthubutu wa kuweza kuujadili muungano mchana kweupe na kwenye mamlaka za kisharia basi mngekuwa mbali zaidi kuliko huko KUNUNG"UNIKA.

Umeona waZnz wamejitoa na kufungua kesi KWANINI WABARA hamfanyi hivyo kwa malalamiko yenu ya kuhusu munadhurumiwa na waZnz.

Binafsi nazidi kukupa pole.
 
Nguruvi3.

Kila wakti nakwambia punguza jazba. Nimesema kupaza sauti na kuilalamikia, Serikali yenu, Katiba yenu kwa maana watungaji wenu wa sharia, wasimamizi wa sharia hizo na hata wanaotafsiri sharia hizo.

Hapa kidogo unajichanganya na nguruvi3 alihoji suala hilo - una maana Katiba ya sasa ya JMT kama ilivyo sio katiba yenye meno ya kuitafunia zanzibar mlo wa kisiasa, kiuchumi na kijamii? Hivi haujui jinsi gani tangia mwaka 1964 jinsi gani wazanzibari kwenye nafasi mbalimbali za chama na serikali walivyofaidika na katiba ya sasa ya JMT (1977) yet hao hao ndio mabingwa wa kujenga hoja kwamba bara wanapendelewa kielimu, vyeo serikalini n.k; Chuki kubwa ya wazanzibari kwa watanganyika kwa kiasi kikubwa inajengwa superficially na wanasiasa;

Kuna mambo yanayotokea huko Mtwara naona wengi wanalalamika japo Serikali imekaa kimya na hata kufunika masikio lakin ujumbe unafika na nchi wafadhili wanasikia.

Kwahiyo kwa mtazamo wako, ya mtwara ni ya kulalamika na ya Tanganyika ni ya kunung'unika?

Kumbuka kuwa Kunung'unika kwako ndani ya JF hakuwezi kusaidia lolote haswa ukizingatia JF sio chombo rasmi kisharia . Mimi binafsi napenda kukwambia MtU PEKEE mwenye uthubutu wa kusema hadhwarani kuhusu Muungano bila kumung'unya maneno tena kwenye chombo rasmi kisharia ni TUNDU LISSU

Hoja yako ya msingi hapa ni nini hasa; nguruvi3 atafute nafasi ya ubunge ili aende kutoa hoja zake kwenye chombo cha kutunga sheria? Au nguruvi3 atafute wanasheria kumsaidia formalize the so called "manung'niko" yawe malalamiko? Hivi ulimsona nguruvi3 kuhusiana na mtazamo wake juu ya jinsi gani ccm itateka agenda ya serikali ya tanganyika kwa kufanya hoja ya serikali tatu kuwa suala relative ( to serikali mbili) and not absolute? Kwanini unatumia muda wako mwingi kukejeli watanganyika kuliko kujadili changamoto zao na kushauri kwa hoja?

sasa kama mngepata wengine kama hao japo 20 tu wenye uthubutu wa kuweza kuujadili muungano mchana kweupe na kwenye mamlaka za kisharia basi mngekuwa mbali zaidi kuliko huko KUNUNG"UNIKA.
Mbona wapo wengi tu, again, kwa mtazamo wako, ni lazima wawepo bungeni? Na unajuaje kama harakati zao zinaishia jamiiforums peke yake? Na nikuulize, hivi harakati za self determination kama taifa huwa zinapitia vyombo vya sheria? Kumbuka, Mwalimu nyerere alijiuzulu ubunge wa Tanganyika muda mfupi kabla ya kuteuliwa na Gavana wa kikoloni kwani ubunge wake aliuona kama kikwazo cha kuharakisha kazi ya kutafuta uhuru wa Tanganyika;

Umeona waZnz wamejitoa na kufungua kesi KWANINI WABARA hamfanyi hivyo kwa malalamiko yenu ya kuhusu munadhurumiwa na waZnz.
Kuna utata katika kauli yako; Je, una maana kwamba wazanzibari kufungua kesi kudai hati ya muungano (1964) maana yake ni wamejitoa katika muungano? Au una maana wazanzibari wamejitoa muhanga kwa kufungua kesi? Kama jibu ni the latter, hauoni kwamba hiyo ndio imekuwa hoja ya msingi ya mgogoro wa muungano i.e, kukiukwa kwa mkataba wa muungano wa 1964, hivyo kufungua kesi nyingine ya namna hiyo itakuwa ni duplication of resources? Je unaelewa kwamba zanzibar ndio wapo in a better position kuja na madai husika kuliko Tanganyika, kwa manufaa ya muungano? Au unaliangalia suala husika kizanzibari?

Binafsi nazidi kukupa pole.
Hakika tunahitaji pole kwani tumeubeba sana muungano na sasa ni muda muafaka wa kuuchangia katika hali ya usawa;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nguruvi3.

Kila wakti nakwambia punguza jazba. Nimesema kupaza sauti na kuilalamikia, Serikali yenu, Katiba yenu kwa maana watungaji wenu wa sharia, wasimamizi wa sharia hizo na hata wanaotafsiri sharia hizo.

na hiloi hivi sasa ndilo linalofanyika huko Tanzania kama hujui ahali yangu Nguruvi3. Kuna mambo yanayotokea huko Mtwara naona wengi wanalalamika japo Serikali imekaa kimya na hata kufunika masikio lakin ujumbe unafika na nchi wafadhili wanasikia.

Kumbuka kuwa Kunung'unika kwako ndani ya JF hakuwezi kusaidia lolote haswa ukizingatia JF sio chombo rasmi kisharia . Mimi binafsi napenda kukwambia MtU PEKEE mwenye uthubutu wa kusema hadhwarani kuhusu Muungano bila kumung'unya maneno tena kwenye chombo rasmi kisharia ni TUNDU LISSU.

sasa kama mngepata wengine kama hao japo 20 tu wenye uthubutu wa kuweza kuujadili muungano mchana kweupe na kwenye mamlaka za kisharia basi mngekuwa mbali zaidi kuliko huko KUNUNG"UNIKA.

Umeona waZnz wamejitoa na kufungua kesi KWANINI WABARA hamfanyi hivyo kwa malalamiko yenu ya kuhusu munadhurumiwa na waZnz.

Binafsi nazidi kukupa pole.
Sisi na wazanzibar si sawa na wala wazanzibar hawana haki wala sababu za kutufanya tufanye kile wanachokifanya.

Kama wao wameamua kutupa mawe au kuwa wapuuzi hiyo ni kwa faida yao na wala si kwa faida ya Watanganyika na hakuna sababu za mtanganyika mwenye uelewa kuiga upuuzi.

Tunajaisikia dhalili sana unaposema tufanye mambo kama wazanzibar, hatuwezi kwasababu tunajitambua.
Hatuwezi kukesha kutunga upuuzi wa kunyonywa eti wazanzibar wanafanya hivyo.

Hatuwezi kuongozwa na UAMSHO eti wazanzibar wanafanya hivyo.
By the way hakuna mzanzibar mwenye mawazo yupo Seif anayewageuza left right kama uzi wa kushonea.

Leo wazanzibar wanazungumzia mkataba, tumewauliza mkataba ni nini na wakitu gani hakuna anayeweza kuutetea.

Maalim Seif ambaye ni 'think tank' ya wazanzibar ameshindwa kuutetea na sasa kila mmoja anaona ni upuuzi tu hakuna anyeujadili tena, sasa wewe unataka tuige kuimba nyimbo zisizo na kibwagizo kwanini sisi wapouuzi.

Umesema JF si sehemu muhimu, ndugu yangu hii ni kichekesha. Jana tu ungefuatilia ungegundua kuna mtu amekwenda polisi mwenyewe kwasababu tu ya JF. Mtu ambaye hata jina lake lilipopelekwa kwa wakubwa hakudhani kuwa hilo ni tatizo.

Lakini nikupe kionjo usichokijua, katika forums na blogs na media zote hakuna mahali suala nyeti kama deni la taifa liliwahi kupigiwa kelele kama JF. Kasome rasimu.

Hoja zote za Maalim Seif zimejadiliwa na kuvurugwa hadi kuonekana uji wa matumbaa hapa JF.
Kamuulize Maalim atakuambia. To ignore the power of this forum is a big mistake any intelligent person can think about.

Sisi tunaheshimu watu wenye maoni yao, sasa kama unadhani Tundu Lissu ndiye anaongelea muungano peke yake unakosea, kwanini usiseme mtu anayesema hadharani kama @ Nape Nnauye.
Kwamba mtu akiongea tofauti na mawazo yako huyo anaongelea chumbani!!!

Nimekuonyesha hatua zinazoendelea na wala hakuna manung'uniko.
Kama unadhani kuna manun'uniko fikiria mambo haya.
1. Elimu ya juu imeondolewa katika rasimu. Nani anahitaji kunung'unika
2. Ajira na utumishi vimeondolewa, nani anahitaji kunung'ika
3. Viwanda na biashara vimeondolewa, nani ananung'unika na kwasababu zipi
4. Ardhi imeondolewa anung'unike na kwasababu zipi.

Hapo kuna manung'uniko au kuna matokeo? Yote hayo tumeyapigia kelele na sasa hayapo, si kwa kurusha mawe kama wapuuzi wanavyofanya bali kw kutumia fikra.

Katika mambo 7 hizo ni huduma kwa jamii ambazo bila muungano zitakuwepo.
Nazo tunaziangalia ili tuone znz inadandia wapi kwasababu sasa hakuna kubebana tena.

Tanganyika inarudi kwa kasi, nimesema kuwa kurudi kwa Tanganyika si kuwa na mshirika ni kuwa na mpinzani.
Juzi nimesoma habari za bandari huru mwambani, sasa sijui hali unaiangalije.

In short sisi tunaongozwa na fikra za kila mmoja na hatutegemei Maagizo ya Maalimu kuhusu lini watu waingie barabarani kurusha mawe na huko si mahali unapoweza kutuweka, we're better than that.
Nimekuonyesha hatua tulizopiga na wapi tunaelekea.

Dunia ya sasa vita vinapigwanwa katika makaratasi na software siyo kurusha mawe hovyo barabarani.
You must understand the difference between Tanganyika and znz in terms of literacy na intellect.

Nimekuuliza maswali ambayo hujibu, je ujio wa Tanganyika una hasara au faida gani kwa mzanzibar?
Mtanganyika anaathirika vipi kwa ujio wa Tanganyika mwezi November 2013?
Nani yupo katika disadvantage kwa ujio wa Tanganyika, je, ni Tnagnyika au zanzibar?
Mambo 15 yaliyoondolewa katika 22 yamemwathiri nani, Mtanganyika au mzanzibar?
Mtanganyika amepoteza nini kutoka yale 11 ya 1964 hadi haya 7 2013?

 
Hapa kidogo unajichanganya na nguruvi3 alihoji suala hilo - una maana Katiba ya sasa ya JMT kama ilivyo sio katiba yenye meno ya kuitafunia zanzibar mlo wa kisiasa, kiuchumi na kijamii?

Hivi haujui jinsi gani tangia mwaka 1964 jinsi gani wazanzibari kwenye nafasi mbalimbali za chama na serikali walivyofaidika na katiba ya sasa ya JMT (1977) yet hao hao ndio mabingwa wa kujenga hoja kwamba bara wanapendelewa kielimu, vyeo serikalini n.k; Chuki kubwa ya wazanzibari kwa watanganyika kwa kiasi kikubwa inajengwa superficially na wanasiasa;
Mchambuzi, mwezi uliokwisha makamu wa rais Seif Idd alikuwa na kikao na PM. Moja ya mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na kuongeza ajira hadi kufikia asilimia 21 katika JMT ambayo Barubaru anasema ni 'katiba yenu'

Barubaru hataki kuamini madai ya wazanzibar kuwa wanataka kupumua kwasababu wanebanwa na muungano ambao ni JMT. Sasa kama hii ni katiba yenu wazanzibar wanataka nini tena kwasababu haiwahusu na wala hawana sababu za kuiongelea. Kwanini bado wanaongelea rasimu?

Ujumbe wangu kwa ndugu Barubaru ni huu, sisi ni Watanganyika ambao mitazamo yetu ni tofauti na ya wazanzibar. Sisi tunaongozwa na fikra hatuongozwi na Maalim na kundi la waarabu kutoka Uingereza wakiongozwa na Ahmed. Kwa mantiki hiyo tutafanya mambo kadri tujuavyo na si kwa utashi wa wazanzibar.

Hili la kusema tunanung'unika ni njia ya kutaka tufuate mfano wa maalim wa kutuma watu watupe mawe hovyo barabarai wakiwa hawajui wanataka nini. We're not at that category na hilo ufahamu.

Ukiulizwa maswali huna majibu kwasababu umefundishwa kukariri mambo na maalim Seif.
Ninasikitika uliwahi kuwa mchumi wa nchi hii naelewa kwanini bado sisi ni masikini.

Tanganyika inarudi taratibu na sijui hakika sijui hilo linamsaidiaje mzanzibar na Zanzibar in general.
Nimemuonyesha wazi kuwa kijiografia Tanganyika ni sehemu muhimu sana ya survival ya Zanzibar.
Kuanzia zama za utumwa, ukoloni hadi leo ndivyo ilivyo.

Tanganyika itakapokuwa mpinzani wa znz ni kwa hasara au faida ya nani?
 
Last edited by a moderator:
Sisi na wazanzibar si sawa na wala wazanzibar hawana haki wala sababu za kutufanya tufanye kile wanachokifanya.

Kama wao wameamua kutupa mawe au kuwa wapuuzi hiyo ni kwa faida yao na wala si kwa faida ya Watanganyika na hakuna sababu za mtanganyika mwenye uelewa kuiga upuuzi.

Tunajaisikia dhalili sana unaposema tufanye mambo kama wazanzibar, hatuwezi kwasababu tunajitambua.
Hatuwezi kukesha kutunga upuuzi wa kunyonywa eti wazanzibar wanafanya hivyo.

Hatuwezi kuongozwa na UAMSHO eti wazanzibar wanafanya hivyo.
By the way hakuna mzanzibar mwenye mawazo yupo Seif anayewageuza left right kama uzi wa kushonea.

Leo wazanzibar wanazungumzia mkataba, tumewauliza mkataba ni nini na wakitu gani hakuna anayeweza kuutetea.

Maalim Seif ambaye ni 'think tank' ya wazanzibar ameshindwa kuutetea na sasa kila mmoja anaona ni upuuzi tu hakuna anyeujadili tena, sasa wewe unataka tuige kuimba nyimbo zisizo na kibwagizo kwanini sisi wapouuzi.

Umesema JF si sehemu muhimu, ndugu yangu hii ni kichekesha. Jana tu ungefuatilia ungegundua kuna mtu amekwenda polisi mwenyewe kwasababu tu ya JF. Mtu ambaye hata jina lake lilipopelekwa kwa wakubwa hakudhani kuwa hilo ni tatizo.

Lakini nikupe kionjo usichokijua, katika forums na blogs na media zote hakuna mahali suala nyeti kama deni la taifa liliwahi kupigiwa kelele kama JF. Kasome rasimu.

Hoja zote za Maalim Seif zimejadiliwa na kuvurugwa hadi kuonekana uji wa matumbaa hapa JF.
Kamuulize Maalim atakuambia. To ignore the power of this forum is a big mistake any intelligent person can think about.

Sisi tunaheshimu watu wenye maoni yao, sasa kama unadhani Tundu Lissu ndiye anaongelea muungano peke yake unakosea, kwanini usiseme mtu anayesema hadharani kama @ Nape Nnauye.
Kwamba mtu akiongea tofauti na mawazo yako huyo anaongelea chumbani!!!

Nimekuonyesha hatua zinazoendelea na wala hakuna manung'uniko.
Kama unadhani kuna manun'uniko fikiria mambo haya.
1. Elimu ya juu imeondolewa katika rasimu. Nani anahitaji kunung'unika
2. Ajira na utumishi vimeondolewa, nani anahitaji kunung'ika
3. Viwanda na biashara vimeondolewa, nani ananung'unika na kwasababu zipi
4. Ardhi imeondolewa anung'unike na kwasababu zipi.

Hapo kuna manung'uniko au kuna matokeo? Yote hayo tumeyapigia kelele na sasa hayapo, si kwa kurusha mawe kama wapuuzi wanavyofanya bali kw kutumia fikra.

Katika mambo 7 hizo ni huduma kwa jamii ambazo bila muungano zitakuwepo.
Nazo tunaziangalia ili tuone znz inadandia wapi kwasababu sasa hakuna kubebana tena.

Tanganyika inarudi kwa kasi, nimesema kuwa kurudi kwa Tanganyika si kuwa na mshirika ni kuwa na mpinzani.
Juzi nimesoma habari za bandari huru mwambani, sasa sijui hali unaiangalije.

In short sisi tunaongozwa na fikra za kila mmoja na hatutegemei Maagizo ya Maalimu kuhusu lini watu waingie barabarani kurusha mawe na huko si mahali unapoweza kutuweka, we're better than that.
Nimekuonyesha hatua tulizopiga na wapi tunaelekea.

Dunia ya sasa vita vinapigwanwa katika makaratasi na software siyo kurusha mawe hovyo barabarani.
You must understand the difference between Tanganyika and znz in terms of literacy na intellect.

Nimekuuliza maswali ambayo hujibu, je ujio wa Tanganyika una hasara au faida gani kwa mzanzibar?
Mtanganyika anaathirika vipi kwa ujio wa Tanganyika mwezi November 2013?
Nani yupo katika disadvantage kwa ujio wa Tanganyika, je, ni Tnagnyika au zanzibar?

Mambo 15 yaliyoondolewa katika 22 yamemwathiri nani, Mtanganyika au mzanzibar?
Mtanganyika amepoteza nini kutoka yale 11 ya 1964 hadi haya 7 2013?


Nguruvi3.

Umeongea mengi sana lakin kwa uchache mimi ningependa kuchukua fursa hii kukusaidia hayo machache niliyo Colour kwa faida ya wasomaji wengine wa mnakasha huu.


Nilipo RED.
Naomba labda utueleze hayo mambo 15 yaliondolewa ni yapi? na yameondolewa lini?

Napenda kukufahamisha kuwa RASIMU YA KATIBA Sio KATIBA. Kwani kuna mchakato mrefu sana ikiwemo kupitishwa na Bunge la Katiba na vile vile kurudishwa kwa wananchi ili ipigiwe kura na ikipita ndio inakuwa KATIBA. Uwe na subra usiyatoe kinyemela kama alivyoingizwa.

Nilipo BLUE.

Nafikiri nilishakudadavulia kwa kina sana kuwa shina la Serikali Tatu lilianzia Znz na mwanzilishi ni Aboud Jumbe na Nyerere ndio alikuwa kikwazo. Kwa faida ya wengine naomba nikuwekee maandishi yangu ambayo niliyatoa katika Uzi wa KWANINI NYERERE ALIKATAA KUUNDWA KWA SERIKALI YA TANGANYIKA katika JF?

Mwalimu JK Nyerere aliwahi kusema katika moja ya hotba zake akanena Wazanaki wanasema " UBUBISUBISU OBUWERE EKIRO KIRIMBURA" akiwa na maana ya MFICHAFICHA MARADHI KILIO KITAMFICHUA.

Usemi huu una uhusiano muhimu leo na hali ya sasa ya Muungano wenu ulioasisiwa Aprili 26, 1964, kuunda nchi inayoitwa sasa Tan–zan-ia.
Muungano wa Tanzania unaumwa; umekuwa hivyo tangu 1964. Maradhi yanayousibu munayajua, lakini hamuyasemi ili kuyapatia tiba stahili.

Kuna dalili nyingi za ugonjwa tunazoziona zimejitokeza ikiwa ni pamoja na mambo mengine ya Muungano kuhusu mikopo na Biashara ya Nchi za Nje; Elimu ya Juu, mambo ya Nchi za Nje, na Utafiti. Vile vile Zanzibar inapaswa kuruhusiwa kunufaika na misaada ya kibajeti ya moja kwa moja na iwe na utambulisho wake wa kidola na utambulisho wake katika duru za kimataifa ili iweze kujimudu kiuchumi na kufanikisha mpango wa kuondoa umasikini kwa wananchi wake.

Kwa muda wote huo, na kwa sababu ya tabia yenu ya kuficha maradhi eti kwamba ni dhambi kuhoji mambo ya Muungano, mumekuwa mukijaribu kutibu tu dalili za ugonjwa badala ya ugonjwa wenyewe hadi Muungano huu umefikia hali ya umahututi.

Hakuna awezae kubisha kuwa Muungano wenu tangu kuasisiwa kwake umejengeka kutokana na misingi ya hofu, kutiliana shaka na kutoaminiana baina ya pande mbili za Muungano huo.

Zaidi ya mara moja, mitafaruku kati ya sehemu hizi mbili za Muungano imeutikisa nusura ya kuufikisha Muungano kikomo. Moja ya sababu za mitafaruku hiyo ni utata katika tafsiri juu ya aina na muundo wa Muungano uliokusudiwa, utata ambao licha ya kupigiwa kelele na wengi, kama nitakavyoeleza baadaye, mumeamua kuiga tabia ya "ujanja" wa mbuni wa kuzika kichwa mchangani, eti kukwepa janga. Labda tujikumbushe kidogo kwa hili.

Mdahalo wa kwanza juu ya mfumo na muundo wa Muungano ulianza kwa njia ya maoni juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano mwaka 1983/84. Hapo, kwa mara ya kwanza ilibainika kuwa viongozi wa juu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakiongozwa na Rais Aboud Jumbe, na wale wa Serikali ya Tanzania, wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mwalimu Julius Nyerere, walikuwa na mitazamo tofauti inayokinzana juu ya Muungano.

Jumbe na timu yake walitaka Muungano uwe na Serikali tatu kwa maana ya Serikali ya Tanganyika, Serikali ya Zanzibar (iliyopo sasa) na Serikali ya Muungano yenye kushughulikia mambo ya Muungano tu, ambayo yameainishwa katika Ibara ya 6(a) ya Katiba ya Muungano (Articles of Union) na kifungu cha 8 cha Sheria ya Muungano (Acts of Union) Namba 22 ya 1964, na hatimaye ibara ya 4 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Jumbe alikwenda mbali zaidi kwa kuandaa Hati ya Maombi ya kuhoji na kutaka ufafanuzi kwenye Mahakama Maalum ya Kikatiba juu ya muundo sahihi wa Muungano kwa kutumia ibara ya 125 ya Katiba.
Tofauti hizi kati yake na Mwalimu hazikwisha salama kwa Jumbe kuthubutu kukanyaga mahali "patakatifu" bila kuvua viatu. Jumbe alilazimishwa kuachia ngazi zote za uongozi wa nchi kuanzia Urais wa Zanzibar, Umakamu wa Rais wa Muungano, na nafasi zote za kichama Januari, 1984.

Naielewa vizuri hali ya mtafaruku iliyofuatia hatua hii na kule kutangazwa "kuchafuka" kwa hali ya kisiasa Visiwani, Jambo ambalo lilizidi kujenga chuki dhidi ya muungano na wengi kuhoji KUNANI kati Nyerere na Muungano huo?

Utata mwingine uliibuka tena kwa nguvu mpya zaidi wakati Wabunge 55 (maarufu kama G55) wa Bunge la Muungano, walipowasilisha bungeni mwaka 1993, hoja ya kutaka kuundwa/kurejeshwa kwa Serikali ya Tanganyika kwa kukasirishwa na hatua ya Zanzibar kujiunga na OIC kama nchi huru nje ya Muungano, Desemba 1, 1992.
Ukweli, Bunge lilikuwa limekwisha kupitisha kwa kauli moja, Azimio la kuanzishwa kwa Serikali ya Tanganyika Agosti 24, 1993 kwa maana ya kuwa na Serikali ya Muungano inayoundwa na Serikali hai zenye Mamlaka huru, za Tanganyika na Zanzibar, kama vile tu alivyotaka Rais Jumbe mwaka 1983.

Hata hivyo, Azimio hilo lilipigwa rungu zito na Mwalimu Nyerere na likavunjika.. Na kama ilivyokuwa kwa Jumbe, hapa napo mambo hayakuisha salama; safari hii Waziri Mkuu wa wakati ule, John Malecela na Katibu Mkuu wa CCM, Horace Kolimba, walipoteza nyadhifa zao kwa sababu ya ama kunyamazia au kuunga mkono hoja / Azimio la G 55.

Kwa mapungufu haya na ubabe , yanayozua kila mara kuyumbisha Muungano wenu,munatakiwa kuziba ufa ili kuepuka kujenga ukuta kwa gharama zinazoepukika. Wakati ni huu, vinginevyo historia itakuja kutuhukumu.

Kama una ziada basi Bismillah.

Mzee Mwanakijiji, Jasusi, EMT, AshaDii, JokaKuu,ngongo
 
Hapa kidogo unajichanganya na nguruvi3 alihoji suala hilo - una maana Katiba ya sasa ya JMT kama ilivyo sio katiba yenye meno ya kuitafunia zanzibar mlo wa kisiasa, kiuchumi na kijamii? Hivi haujui jinsi gani tangia mwaka 1964 jinsi gani wazanzibari kwenye nafasi mbalimbali za chama na serikali walivyofaidika na katiba ya sasa ya JMT (1977) yet hao hao ndio mabingwa wa kujenga hoja kwamba bara wanapendelewa kielimu, vyeo serikalini n.k; Chuki kubwa ya wazanzibari kwa watanganyika kwa kiasi kikubwa inajengwa superficially na wanasiasa;



Kwahiyo kwa mtazamo wako, ya mtwara ni ya kulalamika na ya Tanganyika ni ya kunung'unika?



Hoja yako ya msingi hapa ni nini hasa; nguruvi3 atafute nafasi ya ubunge ili aende kutoa hoja zake kwenye chombo cha kutunga sheria? Au nguruvi3 atafute wanasheria kumsaidia formalize the so called "manung'niko" yawe malalamiko? Hivi ulimsona nguruvi3 kuhusiana na mtazamo wake juu ya jinsi gani ccm itateka agenda ya serikali ya tanganyika kwa kufanya hoja ya serikali tatu kuwa suala relative ( to serikali mbili) and not absolute? Kwanini unatumia muda wako mwingi kukejeli watanganyika kuliko kujadili changamoto zao na kushauri kwa hoja?


Mbona wapo wengi tu, again, kwa mtazamo wako, ni lazima wawepo bungeni? Na unajuaje kama harakati zao zinaishia jamiiforums peke yake? Na nikuulize, hivi harakati za self determination kama taifa huwa zinapitia vyombo vya sheria? Kumbuka, Mwalimu nyerere alijiuzulu ubunge wa Tanganyika muda mfupi kabla ya kuteuliwa na Gavana wa kikoloni kwani ubunge wake aliuona kama kikwazo cha kuharakisha kazi ya kutafuta uhuru wa Tanganyika;


Kuna utata katika kauli yako; Je, una maana kwamba wazanzibari kufungua kesi kudai hati ya muungano (1964) maana yake ni wamejitoa katika muungano? Au una maana wazanzibari wamejitoa muhanga kwa kufungua kesi? Kama jibu ni the latter, hauoni kwamba hiyo ndio imekuwa hoja ya msingi ya mgogoro wa muungano i.e, kukiukwa kwa mkataba wa muungano wa 1964, hivyo kufungua kesi nyingine ya namna hiyo itakuwa ni duplication of resources? Je unaelewa kwamba zanzibar ndio wapo in a better position kuja na madai husika kuliko Tanganyika, kwa manufaa ya muungano? Au unaliangalia suala husika kizanzibari?


Hakika tunahitaji pole kwani tumeubeba sana muungano na sasa ni muda muafaka wa kuuchangia katika hali ya usawa;


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mchambuzi,

Naona unaanza kujichanganya mwenyewe. Kwani unalouliza mbona nimeshalibainisha katika post No 36. Nimebainisha wazi msimamo wangu kuwa Muungano wenu ni wa Tanganyika na Tanzania na sio Znz na nimeweka mpaka sababu zangu za kusema hivyo. Hebu nukuu hapo niliponena

"Nyerere " Sisi ni ndugu, kwa nini tusiungane?".
Karume " Tuungane, wewe rais. mimi makamo".

Shughuli ilianza na kumalizika in a split of a second!.

Kwa vile hizi ni nchi mbili tofauti zenye uhuru wake na zote ni Jamuhuri huru, kauli pekee haitoshi kuziunganisha, lazima kufuata taratibu, sheria na kanuni ili kuhalalisha nia na kauli hizo, ndipo zikaandaliwa hizo articles of union!.

Articles zile japo zilikosa sifa ya kisheria ya kuutwa mkataba "contract" kutokana na tatizo la kisheria liitwalo "privity of contract", articles zile zilikuwa na sifa zote za kuitwa ' international treaty" kuunganisha nchi mbili, na ili any international treaty kupata uhalali na nguvu ya kisheria, ni lazima treaty hiyo iwe ratified na mabunge ya nchi husika!.

Ratification is a process ambayo hufanywa kwa procedures maalum na kufanywa in writing!.

Bunge la Tanzania lilifuata sheria, taratibu na kanuni zote ku ratify zile articles of union kwa maandishi!.
Zanzibar, walikuwa ndio kwanza wametoka kwenye mapinduzi, hivyo hawakuwa na bunge, Baraza la Mapinduzi ndilo lililokuwa kila kitu!. Lilipaswa kuziridhia zile articles of union kwa ratification ambayo hufanywa kwa maandishi!. Vikao vyote vya BLM vina hansard, lakini hilo halikufanyika na hakuna kumbukumbu yoyote ya maandishi kwamba ratification ilifanyika!.


Kisharia Muungano ni wa bara tuu, ndio maana Dourado alipomtonya Jumbe kuhusu Zanzibar kutouratify muungano na wakataka kuweka mambo sawa, Jumbe alishughulikiwa ipasavyo!.


sasa yote yanayotokea sasa ni lazima yatokee kwa sababu Muungano huo hauko kihalali Kisharia na siri hii aliijua JKN kiasi cha kuuza utaifa wa tanganyika ndani ya Muungano na kujivika joho la Utanzania katika Muungano. Kwa mantiki hiyo Tanganyika ndio wenye mamlaka kuujadili na hata kutoa maamuzi yoyote ya Muungano huo. lAKIN KWA UPANDE WA zNZ MUUNGANO NI HARAMU.

Ukija kwenye kigezo cha kuifananisha Znz na Tanganyika , kumbuka kuwa huwezi hata siku moja kuifananisha Man U na Yanga au France na Kenya hutakuwa ujatenda haki. haki ni kuifananisha yanga na Simba au Tanganyika na Znz kwa sababu zipo katika same level kwa kila kitu.

Binafsi na nadhani nililibainisha wazi kabisa KIUCHUMI kuwa nje ya Muungano Znz ina nafasi kubwa sana kupaa juu kiuchumi ukilinganisha na Tanganyika na kwa hivi sasa nilibainisha mengi kupitia bajeti zenu za kila mwaka na Ripoti za Joint Finance Commission kuona Znz inaumizwa wapi kiuchumi.

Kama utapata bahati ya kuutafuta uzi humu ndani ya Jf wenye kichwa cha habari NINI FAIDA ZA MUUNGANO KWA ZNZ utaona mengi humo.

Kumbuka unaposema jembo basi lazima uwe na data au andiko la kusupport usemi wako.

Pole sana ndugu yangu









Cc. EMT

 
Mchambuzi, mwezi uliokwisha makamu wa rais Seif Idd alikuwa na kikao na PM. Moja ya mambo yaliyojadiliwa ni pamoja na kuongeza ajira hadi kufikia asilimia 21 katika JMT ambayo Barubaru anasema ni 'katiba yenu'

Barubaru hataki kuamini madai ya wazanzibar kuwa wanataka kupumua kwasababu wanebanwa na muungano ambao ni JMT. Sasa kama hii ni katiba yenu wazanzibar wanataka nini tena kwasababu haiwahusu na wala hawana sababu za kuiongelea. Kwanini bado wanaongelea rasimu?

Ujumbe wangu kwa ndugu Barubaru ni huu, sisi ni Watanganyika ambao mitazamo yetu ni tofauti na ya wazanzibar. Sisi tunaongozwa na fikra hatuongozwi na Maalim na kundi la waarabu kutoka Uingereza wakiongozwa na Ahmed. Kwa mantiki hiyo tutafanya mambo kadri tujuavyo na si kwa utashi wa wazanzibar.

Hili la kusema tunanung'unika ni njia ya kutaka tufuate mfano wa maalim wa kutuma watu watupe mawe hovyo barabarai wakiwa hawajui wanataka nini. We're not at that category na hilo ufahamu.

Ukiulizwa maswali huna majibu kwasababu umefundishwa kukariri mambo na maalim Seif.
Ninasikitika uliwahi kuwa mchumi wa nchi hii naelewa kwanini bado sisi ni masikini.

Tanganyika inarudi taratibu na sijui hakika sijui hilo linamsaidiaje mzanzibar na Zanzibar in general.
Nimemuonyesha wazi kuwa kijiografia Tanganyika ni sehemu muhimu sana ya survival ya Zanzibar.
Kuanzia zama za utumwa, ukoloni hadi leo ndivyo ilivyo.


Tanganyika itakapokuwa mpinzani wa znz ni kwa hasara au faida ya nani?


Nguruvi3,

Nipo RED.

Labda nilikuwa nimesinzia kidogo.

Kwa ihsani yako unaweza nibainishia tena huo Umuhimu wa t
Tanganyika katika survival ya Znz?


Nasubiri darsa yako hapa.
 
Back
Top Bottom