Bongoradio.com kwa sie wa mbali noww!
Inatia raha eeeehh, MUNGU ametuona mwaka huu, SIO mwaka wa shetani tena heeheeheeeeee, mbavu zangu mie jamaa leo ataomba apewe ugali kwa mlenda!!!!!
Ndio yeye eti mwanachama mfu wa sisiem.huyu ameuliza swali sio yule mzee wa UD Dr.Rwaitama??
Swali la mgombea binafsi limepigwa chini.
Nadhani wote mnapata mambo LIVE, mwenye tatizo la kuunganisha Bongo Radio atuambie na tutamsaidia
Swali la mgombea binafsi limepigwa chini.