Kuhusu katiba,
Mchakato unaanza ndani ya siku 100, inawezekana kabisa na watu waelewe hivyo, amesema kinana aelewe vizuri hilo!
Anasema wadau wote wanahusika kutengeneza katiba ya nchi yao, watu wote, viongozi wote kutoka chini mpaka juu
Anaongelea bilioni 21 za Kikwete, anasema pesa hizo si za kikwete ni za serikali
Kuhusu wafanya biashara na Siasa.
Si kwamba mfanya biashara asifanye siasa, ukiamua unaingia kwenye siasa, unaingia ila unaepuka conflict of interest. (kuna utaratibu wake ameusema)
Anasema CCM walianzisha bila kujipanga vizuri jinsi ya kufanya swala hilo, ndio maana maji yaliwafika shingoni wakashindwa kutekeleza, Chadema italifanyia kwazi kwa kufata misingi ya kidomokrasia
Swala la mishahara ya wafanyakazi,
Liko wazi kwenye Ilani ya chadema
Wataanzisha utaratibu mpya wa mishahara, watakuwa sensitive na mfumuko wa bei. Imefika mahali watu wanashindwa kulipia mlo wa siku, serikali inasema itakwenda kuwapiga virungu.
Imefika mahali walimu wanatengeneza maandazi, wanawapa watoto wauze, utaratibu huu unasababisha rushwa
Lazima serikali ihakikishe inflation inaondoka na haiwaathiri wafanyakazi, Chadema imefanya utafiti wa kisayansi, kuna watu wanafanya kazi lakini hawafaidiki chochote na mishahara yao.
Ameongelea wazee, watapewa protection scheme ambayo itawasaidia
Swala la Africa mashariki, Swala sio kujitoa,
Chadema inaimarisha Elimu ili watanzania waweze kushindana vyema.
Kuhusu kushinda au kushinda.
Mpira ni Dakika 90, ila ikifika kabla ya dakika tisini refa anasema leo mpira ni sare, there must be a question mark? Why????
Japo mashindano ni kushinda au kushindwa, ikiwa referee ametangazaa matoke kabla ya dakika tisini je tukubali tu kushinda, Makofi kwa wingi saaaana
Mchezo ukichezwa kwa msingi na kanuni za michezo watakubali, ila goli likifungwa kwa mkono huo ni upuuzi na hauwezi kukubaliwa.
More answers coming please
..