Elections 2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

Elections 2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

Mazee. Dr. Slaa kwa kweli anaongea kwa confidence na intellect ya hali ya juu. Mkuu GQ ahsante bongoradio juu......

Kuna mtu anayeangalia TV anaweza kuconfirm kama dr. Slaa anasoma mahali au anaongea kutoka kichwani?? Kazi kweli kweli

hakuna mahali anasoma...hichi ni chombo mkuu....wala hachekicheki hovyo
 
Mazee. Dr. Slaa kwa kweli anaongea kwa confidence na intellect ya hali ya juu. Mkuu GQ ahsante bongoradio juu......

Kuna mtu anayeangalia TV anaweza kuconfirm kama dr. Slaa anasoma mahali au anaongea kutoka kichwani?? Kazi kweli kweli
Hasomi sehemu yoyote labda anachosoma ni samary ya maswali anayoandika.
 
Mdahalo huu mtamu sana nasikia raha mwenyewe jinsi Dr Slaa anavyojibu maswali kwa kujiamini,Dr Slaa for 2010 go go mheshimiwa Slaa
 
GQ ehbu turudishie matangazo aisee................
 
kuna jamaa kauliza swali kwamba kwa nini wameteua Chadema mgombea mwenza darasa la 7, kuna Green card kwenye huu mdahalo!
kajitetea kuhusu hili lakini mi bado naliona tatizo kama tunataka kujenga taifa lenye nguvu,,,,,, lenye wasomi watakaoweza kushindana katika soko la kimataifa
 
Duh, Mwanakijiji mambo yako offline nini tena? Nilikuwa nimeanza kufaidi
 
Jinsi Chadema inavyodhamilia kurejesha sura ya tanzania kimataifa,
Tunachafuliwa sasa na ufisadi, tunahitaji viongozi wasafi, viongozi wale wanaangalia maslahi ya taifa.


na viongozi wenyewe ni kama dk slaa
 
Mazee. Dr. Slaa kwa kweli anaongea kwa confidence na intellect ya hali ya juu. Mkuu GQ ahsante bongoradio juu......

Kuna mtu anayeangalia TV anaweza kuconfirm kama dr. Slaa anasoma mahali au anaongea kutoka kichwani?? Kazi kweli kweli

Jamaa anakaribia kwenda sambamba na Mwalimu Nyerere hakuna kusoma na je itawezekanaje kusoma sehemu wakati maswali ni ya hapo kwa hapo:thumb:
 
kajitetea kuhusu hili lakini mi bado naliona tatizo kama tunataka kujenga taifa lenye nguvu,,,,,, lenye wasomi watakaoweza kushindana katika soko la kimataifa
Katiba ndio yenye matatizo......lakini kaahidi kubadili katiba yetu.
 
Maswali yanaendelea

Swali, unatarajia kutawala kwa miaka mitano tu je itawezekana?

Swali, nchi yetu imeumizwa sana na utaratibu wa wafanyabiashara kuwa wanasiasa. Aliyeko madarakani alisema angetenganisha ila ameshindwa je utafanyaje?

Swali, je utakapo apishwa, vipi kuhusiana na ongezeko la mishahara ya wafanyakazi?? Je wastaaafu wa Afrika mashariki wanaomwagiwa maji ya kuwasha utawasaidiaje?
Swali, Mipango yako kwenye ushindani wa East Afrika community, je utaiondoa Tz kwenye EAC.

Swali, mikutano inawafuasi wengi sana je hawa watanzania wote unawaandaaje kupokea furaha ukishinda, je pia unaandaje ikiwa utashindwa.

Swali, tunahitaji baraza la vijana je ukiingia madarakani utatusaidiaje kwa hilo

Swali, nasikia Tanzania ni nchi ya mwisho kwa umasini duniani, je kigezo ni nini, na utafanyaje kuondoa hilo, je ni kweli sisi ni masikini?

Swali, umezungumzia rasilmali za madini, je raslimali nyingine vipi???
 
Amenikosha kuhusu majibu la swala la Kagoda. Kamtaja Rostam na Mkapa kwamba wahusika. Anasema ndo maana JK anakuwa na kigugumizi kuhusu kuzungumzia ufisadi.
 
Tanesco walikata umeme Shinyanga lilipofikiwa swali la Kagoda, jamaa yangu kaniarifu.
 
Swali hili la score card nimelipenda sana...halafu huyu dada ananifurahisha sana anavyoitamka hiyo daktari
 
Back
Top Bottom