Elections 2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

Nimeipenda nimeitaka pia wakati mwingine nimelia pia! kwanini alichelewa kuja Dk slaa? Mungu ibariki Tanzania yetu!
 
Jamani sisi wengine tumechelewa lakini tunashukuru kwa updates tunamsubiri Mwanakijiji
 
mi niko mtoni lakini kwa hali hii nashawishika kurudi kupiga kura...aaaaaaaaaya bongo redio imekatika
pigia ndugu zako wote waambie kila anayempiga kura sahihi unamtumia zawadi....

ushawishi upo, na unawezekana
 
Bado sina imani na Watanzania. Ni kweli somo la Dr. Slaa limeeleweka?
Au limeingia sikio la huku limetokea la kule!!
 
wengi tuko bongo, wala usiwe na wacwac, slaa ni rais wetu wote
 
Kesho mtasikia ITV inatishiwa kufungiwa kwa kutoa habari zinaziodhalilisha serikali au sababu yeyote ile.
Take my words
 
Kesho mtasikia ITV inatishiwa kufungiwa kwa kutoa habari zinaziodhalilisha serikali au sababu yeyote ile.
Take my words
Sidhani. Ila nahisi tbc na wao wataanzisha mdahalo wao na Mkwere tena wataandaa maswali ya kum'feva.
 
Ahsanteni wanaJF maana sikupata nafasi ya kusikia mawisdom ya DR Slaa (PhD ya kweli) akimwaga issues. Ila hapa nimesoma na kuelewa kila kitu
 
Ukichunguza kwa makini unagundua kuwa mdahalo huu umeandaliwa na watu wenye uchungu na nchi hii. Wanajua fika kuwa Dr. Slaa anafaa kuwa rais wa nchi hii na CCM iachie ngazi. Wameandaa ili kutujulisha watanzania ya kuwa rais wenu ni huyu hapa, anawafaa mchagueni. Watanzania tusifanye makosa tena ya kuwachagua mafisadi wa CCM.

Tunashukuru sana waandaaji wa mdahalo huu na wadau mliotupa updates ya nini kilichojiri mdahaloni. Asanteni sana.
 
mawaziri watatoka nje ya bunge. Hili litaondoa uteuzi kwa uswahiba na kufahamiana. Hakuna tija. Tunakosa viongozi waadilifu.

kwa maana hiyo mbowe asahau uwaziri mkuu maana yeye labda atakuwa mbunge wa hai au sio aidha zito asahau uwaziri wa madini!!!!!!
 

usisahau kuwa mdahalo unaofuatia ni wa profesa ibrahim lipumba nae asikizwe na uamuzi waachiwe wananchi sio kikundi kidogo cha watu!!!
 
Hosea akikusoma umeumia wewe
yeye hatumi zawadi kwa ndugu zake wakifaulu??imi natuma, kwani nasomesha nduu... hata kugundua kura sahihi ni elimu pia, tena ya uraia... ndio maana nikasema kura sahihi

Mwambie aje ntamchemshia mahindi na chai ya rangi, kazoea recepes za kibilionea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…