Mdahalo wa Dunia kati ya Harris na Trump: Muda kamili kwa saa za Afrika Mashariki huu hapa

Mdahalo wa Dunia kati ya Harris na Trump: Muda kamili kwa saa za Afrika Mashariki huu hapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mdahalo huu mkubwa sana na Unaosubiriwa na Watu wenye Akili Kubwa (tulio na Akili zilizotukuka) utaanza Saa 10 Kamili Alfajiri (Kesho Jumatano) na kumalizika Saa 11 na Nusu.

Haya mtaarifu na Mwenzako kuhusiana na huo muda na wale Wenzangu tusiojua Kiingereza tuhakikishe Kamusi za TUKI hazikai mbali nasi sawa?

Saa 10:00 hadi Saa 11:30 za Alfajiri Kesho. Na baada ya huo Mdahalo nitaomba mliouelewa mje sasa hapa Mtudanganye tusiojua Kiingereza kama Mimi na Mtani wangu Arovera

Soma Pia: Marekani: Trump na Kamala watofautiana kuhusu Mdahalo
 
itakuwaje mdahalo wa dunia wakati ni kuhusu marekani ???

kwani marekani ndiko dunia ???
Marekani ndio dunia yeyewe, kila binadamu ndoto yake kubwa ni kufika marekani, marekani ndio alikomesha vita ya pili ya dunia na kuanzia pale kaitawala dunia hadi leo Kwa kila kitu, pesa inayotumika dunia nzima ni dollar ya mmarekani au hata haya madogo hauyajui
 
Trump anaenda kukutana na prosecutor kazi anayo.

Kwanza sijawahi kuona mwanaume aliyewahi kumshinda mwanamke kuongea, hii ni biological issue.

Narudia tena, Trump leo kazi anayo.
Ila Harris Kamala si mzuri katika Public Speaking kama alivyo Trump na ndiyo maana kamteua Tim Walz ambaye ni Communicator mzuri kutokana pia na Historia yake ya Ualimu huko nyuma..

Harris Kamala ana Akili sana
,ila hajui Kuzungumza na Trump hana Akili ila ni Mzungumzaji mahiri.
 
Marekani ndio dunia yeyewe, kila binadamu ndoto yake kubwa ni kufika marekani, marekani ndio alikomesha vita ya pili ya dunia na kuanzia pale kaitawala dunia hadi leo Kwa kila kitu, pesa inayotumika dunia nzima ni dollar ya mmarekani au hata haya madogo hauyajui
Asante kwa kuzidi Kunielimishia hilo Juha.
 
Trump anaenda kukutana na prosecutor kazi anayo.

Kwanza sijawahi kuona mwanaume aliyewahi kumshinda mwanamke kuongea, hii ni biological issue.

Narudia tena, Trump leo kazi anayo.
Kuna kuongea vitu vya msingi na kuna kuongea upumbavu.

Mwanaume nguvu inapaswa kuwa kuongea vitu vya msingi( ushindi wake Trump utakuwa hapa katika huu mdahalo kama akitumia kinywa chake kwa usahihi)

Mwanaume haitaji maneno mia kushindana na takataka elfu moja za mwanamke neno moja tu linatosha kufukia takataka zote.
 
Kuna kuongea vitu vya msingi na kuna kuongea upumbavu.

Mwanaume nguvu inapaswa kuwa kuongea vitu vya msingi( ushindi wake Trump utakuwa hapa katika huu mdahalo kama akitumia kinywa chake kwa usahihi)

Mwanaume haitaji maneno mia kushindana na takataka elfu moja za mwanamke neno moja tu linatosha kufukia takataka zote.
Sio kwa Trump na historia yake. Ana bahati mbaya sana kukutana na prosecutor kwenye huo mdahalo, afadhali angekutana na mhasibu!.
 
Ila Harris Kamala si mzuri katika Public Speaking kama alivyo Trump na ndiyo maana kamteua Tim Walz ambaye ni Communicator mzuri kutokana pia na Historia yake ya Ualimu huko nyuma..

Harris Kamala ana Akili sana
,ila hajui Kuzungumza na Trump hana Akili ila ni Mzungumzaji mahiri.
Trump kama hana akili basi lazima aongee pumba.
 
Marekani ikipiga Chafya wengine duniani tunakohoa. Ni Mpumbavu tu pekee ndiyo hajui kuwa Marekani ndiyo Kiranja Mkuu wa dunia na ndiyo Mbabe wa Uchumi.
downloadfile-23.jpg
 
Oya wana Afrika Mashariki Wenzangu mmeshaamka Kutizama Mdahalo au mpo katika Usingizi mzito na Wake / Waume zenu? Bado dakika 5 tu Mdahalo kuanza.
 
Back
Top Bottom