Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Mjamaica,,mara mwafrica mara muhindi,,Mie simuelewagi huyo mamaHivi huyu kamara ni mhaya...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjamaica,,mara mwafrica mara muhindi,,Mie simuelewagi huyo mamaHivi huyu kamara ni mhaya...?
Harris ni mweupe,hivyo vitu ulivyo vitaja Clinton alikuwa navyo VYOTE,,,ila alikula za uso mbele ya TrumpUkifahamu akili na tamaduni za wamerekani wengi wala hutaweza kuumiza kichwa kuuliza hilo swali. Kwa kukusaidia, mbali na sera (ambazo hubebwa na vyama vyao) wamerekani wanapenda kuongezwa na mtu hizi haiba.
1. Muonekano wake mbele za watu
2. Uwezo wa kujieleza mbele ya watu
3. Uwezo wa kujenga hoja
4. Uwezo wa kujitetea akishambuliwa
5. Uelewa mpana wa mambo mbalimbali.
Kama unakumbuka tu, Biden alianguka kwenye mdahalo uliopita kwa makosa mawili tu, Sauti (alishindwa kusikika baada ya kutafuna maneno) na Kuchanganya majina ya watu wachache (na akaonekana ana usahaulifu) na wala sio sera zake. Na makosa hayo tu yakamshinikiza mpaka kuja kujiondoa.
Mdahalo huu mkubwa sana na Unaosubiriwa na Watu wenye Akili Kubwa (tulio na Akili zilizotukuka) utaanza Saa 10 Kamili Alfajiri (Kesho Jumatano) na kumalizika Saa 11 na Nusu.
Haya mtaarifu na Mwenzako kuhusiana na huo muda na wale Wenzangu tusiojua Kiingereza tuhakikishe Kamusi za TUKI hazikai mbali nasi sawa?
Saa 10:00 hadi Saa 11:30 za Alfajiri Kesho. Na baada ya huo Mdahalo nitaomba mliouelewa mje sasa hapa Mtudanganye tusiojua Kiingereza kama Mimi na Mtani wangu Arovera
Soma Pia: Marekani: Trump na Kamala watofautiana kuhusu Mdahalo
Trump ni mzungumzaji mahiri? Nipe quote yake hata ya maneno matatu kuthibitisha hilo.Ila Harris Kamala si mzuri katika Public Speaking kama alivyo Trump na ndiyo maana kamteua Tim Walz ambaye ni Communicator mzuri kutokana pia na Historia yake ya Ualimu huko nyuma..
Harris Kamala ana Akili sana
,ila hajui Kuzungumza na Trump hana Akili ila ni Mzungumzaji mahiri.
Hapa tunajadili mdahalo huu na sio mdahalo mwingine wowote.S
ema Kamala hajakutana na tough questions kama alizokutana nazo Biden,,, moderators wamembeba sana,kama anajiamini a debate Fox news
Mkuu hapa tunajadili mdahalo wa leo, na sio nani atashinda huu uchaguzi, maana kushinda uchaguzi unahitaji vitu vingi zaidi ya kushinda mdahalo.Harris ni mweupe,hivyo vitu ulivyo vitaja Clinton alikuwa navyo VYOTE,,,ila alikula za uso mbele ya Trump
Wanasema Trump ana msamiati wa mtoto wa darasa la tano.Trump ni mzungumzaji mahiri? Nipe quote yake hata ya maneno matatu kuthibitisha hilo.
Kwanza alikuwa anakimbia mdahalo na Trump.Utashangaa mazuzu ya humu yanasema Haris anaweza kuongea kuliko Trump, Trump umshinde kwa kuongea?
Toka Haris ateuliwe kua mbadala wa Biden amefanya interview 2 tu, zote ziko highly scripted, ya CNN ambayo alikua peke yake na bado akaboronga na hii ambayo amekuja kutetewa na moderators wamsaidie wakati huo Trump amefanya interview 35 kwa kipind hicho.
Nadhani baada ya hapa Kamala hatafanya interview tena.
Haris ni mweupe sana! Ila wengi wao wanaongopewa na MSM kwa sababu zinambeba sana.Harris ni mweupe,hivyo vitu ulivyo vitaja Clinton alikuwa navyo VYOTE,,,ila alikula za uso mbele ya Trump
Kwakweli hata mm simuelewiij...Mjamaica,,mara mwafrica mara muhindi,,Mie simuelewagi huyo mama
Mzee wa Casino na bado alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Na sasa ni mgombea wa urais.She is a lawyer.. who is Trump?!
Mzee wa Casino.
Simpendi, ila nakubaliana nawe kwa hili 100% Mkuu.Trump anaweza akahamasisha watu wakanyanyuka kwenda vitani. Anajua sana kuongea hadharani.
Hata Mimi pamoja na kwamba namkubali Harris Kamala ila huku kuwa Mwanamke na kila Mwezi Bwawa la Mindu linachafuka (Anablidi) halafu apewe Urais wa Taifa Kubwa kama la Marekani naona hapa Wazee wa Kuamua nani awe Rais Marekani hawatakuwa tayari kufanya hili Kosa ambalo huenda baadae wakaja Kujutia.Marekani hawawezi kumuweka kiumbe anayeenda mwezini kila mwezi awaongoze dhidi ya tishio la China,Russia,N.Korea,Iran and M.East in general
Ulimkagua?🤣🤣🤣 Yupo menopause
Hivi ni Kamala au Kamara? Mijitu mingine bhana.......hovyoooooo.......!!!Hivi huyu kamara ni mhaya...?
Mwanamke miaka 60 aliacha kubleed zamani.Hata Mimi pamoja na kwamba namkubali Harris Kamala ila huku kuwa Mwanamke na kila Mwezi Bwawa la Mindu linachafuka (Anablidi) halafu apewe Urais wa Taifa Kubwa kama la Marekani naona hapa Wazee wa Kuamua nani awe Rais Marekani hawatakuwa tayari kufanya hili Kosa ambalo huenda baadae wakaja Kujutia.
Marekani ndio dunia yeyewe, kila binadamu ndoto yake kubwa ni kufika marekani, marekani ndio alikomesha vita ya pili ya dunia na kuanzia pale kaitawala dunia hadi leo Kwa kila kitu, pesa inayotumika dunia nzima ni dollar ya mmarekani au hata haya madogo hauyajui
Hakika dogo atakuwa ameangusha ubongo huo
Hata hirrary ulisema hivyo hivyo, akala za uso..Niliwaambia mapema wakajidai wajanja, Trump hawezi chomoka kwa Kamalla ilikuwa lazima akalishwe.
Kamalla ni Rais ajae wa USA, wasijidanganye na wazee wa Congress wala nini... mhuni ni mhuni tu.