Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema Hawa moderators walikuwa wanampendelea sana Harris,Wale wa CNN walikuwa moto sana hawakumpendelea MtuKamala is winning the debate.
But not on points. Just by demeanor.
She hasn’t said anything meaningful 🤣.
Trump is dumb [so is Kamala]. He is taking all the baits.
He has no impulse control, whatsoever.
Mmeshaanza Uwongo na Majungu yenu.Sema Hawa moderators walikuwa wanampendelea sana Harris,Wale wa CNN walikuwa moto sana hawakumpendelea Mtu
Yes, moderators walikuwa biased.Sema Hawa moderators walikuwa wanampendelea sana Harris,Wale wa CNN walikuwa moto sana hawakumpendelea Mtu
Moderator 'walikuwa"?Yes, moderator walikuwa biased.
But nothing new there. It was expected.
Moderators.Moderator 'walikuwa"?
Bora apewe mwanamke kuliko kumpa mhuni.Niaminivyo mimi rais wa Marekani haamuliwi na kura za raia.
Je wazee wa Cogress wako tayari kuona mwanamke anaenda kuendesha Marekani?
Niliwaambia mapema wakajidai wajanja, Trump hawezi chomoka kwa Kamalla ilikuwa lazima akalishwe.Wafuasi wa mwakTrump hawaishi visingizio, sasa hivi watangazaji ni timu Harris
Trump hana hoja zaidi ya kusema MAGA, hana hoja, Kamala kampiga pakubwa, huwezi kushindana na lawyer kuongea, HUWEZI
Hiyo akili Haris kaitoa wapi? Unaweza kusema kitu kimoja ambacho kinamuonyesha Haris ana akili sana?Ila Harris Kamala si mzuri katika Public Speaking kama alivyo Trump na ndiyo maana kamteua Tim Walz ambaye ni Communicator mzuri kutokana pia na Historia yake ya Ualimu huko nyuma..
Harris Kamala ana Akili sana
,ila hajui Kuzungumza na Trump hana Akili ila ni Mzungumzaji mahiri.
Unakiri Kamalla yuko vizuri ila unaogopa kumponda Trump coz unampenda!.Bi mkubwa mpaka kashika tama!
Ila yupo vizuri kusema ukweli , lakini Trump ni level nyingine aisee!View attachment 3092935
She is a lawyer.. who is Trump?!Hiyo akili Haris kaitoa wapi? Unaweza kusema kitu kimoja ambacho kinamuonyesha Haris ana akili sana?
So ukiwa lawyer tu unakua na akili? Aisee.She is a lawyer.. who is Trump?!
Mzee wa Casino.
Ni siseme uongo kwa hili, Trump namkubali, na amini tu anashinda!Unakiri Kamalla yuko vizuri ila unaogopa kumponda Trump coz unampenda!.