nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
Hii nchi ya ajabu kweli basi waje na treni pengine mtafurahi na kuona wako sahihi.
Amewafurahisha UKAWA leo!
Nilifikiri alivyo anza Prof Tibaijuka angeelezea nafasi ya mwanamke katika mchakato wa katiba watu wangemuelewa, ila amebase kwenye uchama sana si msomi wa kumuamini