nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,624
Mdahalo huu inavyooneka ulikotoka ulikuwa wa maccm! Inaonekana wachangiaji wengi wapo kwenye makaratasi zaidi, nahisi bahasha zimesambazwa sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ya ajabu kweli basi waje na treni pengine mtafurahi na kuona wako sahihi.
Amewafurahisha UKAWA leo!
Nilifikiri alivyo anza Prof Tibaijuka angeelezea nafasi ya mwanamke katika mchakato wa katiba watu wangemuelewa, ila amebase kwenye uchama sana si msomi wa kumuamini