Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Shida Ya Watanzania Ukweli Hawautaki,sasa Kitendo Cha Kumpa Nafasi Mzungumzaji Mmoja Jukwaa Kuu Halafu Wengine Unasema Umeisha,hv Hapa Panahitaji Elimu Gani Kujua Mwenyekiti Kapwaya?

Sio kapwaya tu ila inaonekana wazi kakatiwa fungu. Mchanganyiko wa wasikilizaji na wadau waliokuwa pale kwa mwerevu aligundua miongoni mwao walikuwepo mamluki wa kulipwa kwa ajili ya kuzomea. Hii ni kuzidi kukididimiza chuo kikuu chetu kwani wahitimu wake watakosa uwezo wa kuelimisha wasio na elimu kubwa. Pia uwezo wao kusimamia wanayoyaamini utapungua sana na kukosa viongozi bora.Ni hatari kama jamii haitaona tofauti kiuwezo kati ya mhitimu wa chuo kikuu na raia ambae hajasoma. M/kiti wa mjadala mara nyingi alikuwa akishauriwa mara kwa mara baada ya kugundulika hana uwezo wa kumudu mdahalo ule. Uchaguzi wa wachangiaji ulipangwa na ndio maana walizomewa na kushindwa kuchangia kabisa.Nashukuru hawakuendelea kuchukua wachangiaja wengine kwani mdahalo ungevunjika na vurugu kutokea.Mmeona tofauti kubwa ya uendeshaji midahalo kati ya ule wa juzi wa Mwakitwange, wa jana uliomjumuisha prof. Lumumba toka Kenya na naamini hata wa kesho wa wajumbe wa kamati ya kukusanya maoni ya katiba. Mdahalo huo utarushwa live kesho 4/8na itv kuanzia saa 9 mchana. Wadau msikose kuuangalia.
 
UDASA UDASA Leo kumetokea nini? Wazungumzaji wote leo wamepangwa kabla na wengi wameonyesha kuegemea upande ule ule. Mwenyekiti alikuwa hajali muda wakizungumza wakina fulani. UDASA inapoteza credibility kwenye hizi issues.

Ni kwa sababu watanzania waleo si wajana...halafu mtu/watu wakisema kila usichokipenda wewe inakuwa tatizo?? Nyie ma-chadema akili zenu zote kashikilia Mbowe...na unajua macho ya Mbowe yalivyo ndio sawa kabisa na akili zenu
 
Kwa kweli njaa mbaya.Hainan cha Profesa wala Dokta.
Nimemskia Profesa Fimbo akiomba Kazi pale kiaina.Pia huyo Profesa Mhilu ameonyesha ukanjanja kupita kiasi.
Yote hiyo si makusudi,ni njaa ambayo wametengenezewa na hao hao CCM wanaojifanya wafadhili wao.Ni mkakati wa kumtengenezea mtu njaa halafu akishapigika unamuendea kama mfadhili.
 
Kwa kweli njaa mbaya.Hainan cha Profesa wala Dokta.
Nimemskia Profesa Fimbo akiomba Kazi pale kiaina.Pia huyo Profesa Mhilu ameonyesha ukanjanja kupita kiasi.
Yote hiyo si makusudi,ni njaa ambayo wametengenezewa na hao hao CCM wanaojifanya wafadhili wao.Ni mkakati wa kumtengenezea mtu njaa halafu akishapigika unamuendea kama mfadhili.

Katika dunia hiyo hakuna hasiyekuwa na nje dunia,hao ukawa ni njaa imewafanya wavute fedha za wanaotaka kuvuruga nchi
 
,yani kayapokea mawazo ya wale wanaa waliowapanga kinaa...
Yule Mwl. Wa Kitivo cha SHERIA UDSM alitoa mawazo, LUKUVI KAYAPITISHA MIA.

CCM WAMECHOKA.
 
Back
Top Bottom