MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 403
Mwenyekiti Ameonesha Wazi Mahuba Yake Kwa Chama, Ushahidi, Mwisho Wa Mdahalo Kampa Steven Wasira Aongee,alipomariza Alitakiwa Tundu Lisu Aongee Kisha Wengine, Badala YaKe Akadai Muda Umeisha,watu Wakapiga Kelele Ndipo Akamruhusu Tundu Lisu Aongee,tulitegemea Kwa Sababu Ya Muda Angemariza Kama Alivyokuwa Anadai Muda Umeisha,badala Yake Akampa Nafasi Wiliam Lukuvi Ambae Alimpa Nafasi Kubwa Sana Akawaacha Wachangiaji Waliokuwa Meza Kuu Ambao Kimsingi Ndio Ulikuwa Muda Wao. Hy Ukiacha Wazungumzaji Inaonekana Aliwaandaa,kwa Sababu Alikuwa Anawateua Yeye,kwanini Isingekuwa Kama Siku Zote Kuwa Mtu Ananyoosha Kidole Anapewa Maiki? Kwa Mtindo Huo Chuo Kikuu Cha Dar Kimepoteza Sifa Kwa Kuruhusu Mwenyekiti Asiye Na Uwezo Wa Kutosha Kuongoza Kikao.Sasa Nakifananisha Na Shule Za Kata Kama Mtindo Huo Watauendekeza.Pale Ni Sehemu Ya Academician Ambapo Wasomi Hujadiliana Kwa Hoja Na Siyo Kwa Mapenzi Ya Vyama Kama Huyo Mwenyekiti Wa Kongamano La Leo Sijui Anaitwa Nani? Sijui Anaelimu Gani? Na Amesomea Wapi Na Ufaulu Wake Ukoj