Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kweli wametoa mwanga kwa ccm na wafuasi wake wote ni vibaka wa mchakato huu wa katiba kwa kukataa kufata kanuni na kujadili hoja ambayo haiko mezani.CCM imetia aibu kwa lipi? Kilichofanyika leo kimetoa mwanga kwa kila mtu. CCM imeuanzisha mchakato wa katiba na itaumaliza salama salmini
Wote tumepata huo mwanga.
