Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Adai yeye akigeuka na ukawa wanamfuata,amsihi akawageuze
 
Hivi Lukuvi anaongea nini? mnamuelewa?
 
Yani we ni jitu jinga sana, kwani mtu akitofautiana na UKAWA ndio anakiwa interahamwe!?


Anapolitangazia taifa kwamba wao yaani ccm wanakwenda kupitisha katiba anamaanagani?

Wanapitisha katiba ya ccm au ya watanzania ?.......watakiona mitaani.

kama unasoma mazingira umeona jinsi kilichotkea hapo ukumbini

pamoja na maandalizi yote bado pamemeguka.....huo ni mwangwi unapaswa kufanyiwa kazi.
 
mwendesha mada anabore kampa Lukuvi muda mrefu wa kuongea wakati Lissu kakatishwa eti muda umeisha, hayuko fair kabisa
 
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu ndugu lukuvi amepata aibu kubwa katika mdahalo baada ya wanafunzi halali wa vyuo vikuu kukataa kumsikiliza na kutoka nje wakimuacha akisikilizwa na wana funzi wao waliosombwa na UDA kutoka buguruni hii ni aibu kubwa sana

Eti yeye amezoea kuzomewa, phew!!! Angekuwa na akili angejua kuwa maana ya kuzomewa ni kutokukubalika kwake yeye na chama chake! Yeye ni moja ya waliosababisha UKAWA wakasusia BMK!!
 
Jamani lukuvi izo sifa anazomwagia tundu lissu.

teh teh teh yaani hata me nimemshangaa leo. wanamjua kuwa ni kichwa ingawa hawataki kukubali chezea tundu lisu ww lile ni shokaa la ukweli
 
Nafasi ya Lukuvi katika kufunga mjadala, kasimama kama nani ndani ya mjadala??????!

jiulize na wewe,ndio hawa hawa walikuwepo kwny kikao cha maridhiano.badala ya kuleta mtu makini na neutral kama Prof.Mpangala kufunga mjadala,unaleta mtu ambae ni seheu ya tatizo
 
Nafasi ya Lukuvi katika kufunga mjadala, kasimama kama nani ndani ya mjadala??????!


ndo maandalizi waloyafanya kuhujum uhalisia wa mdahalo. Eti anatoa atimatam ya wao kwendafanya maamuzi he huyu najiona yupo juu ya watanzania wote eti?

ulevi wa madaraka namna hiii ni zaidi ya udikiteta na madikiteta wote hushia pabaya sana.
 
Yap ni kweli kabisa. Kwa uelewa wako mdogo ingetakiwa iwe hivyo. But kwa hali ilivyo kilichotokea ndio sahihi na ndio uhalisia wenyewe

Yeah ndio maana kwasasa nimeelewa kwamba ndio uhalisia wenyewe So katika uelewa wangu mdogo nashukuru nimeongezea kitu kingine.
So ninashukuru pia kwa hilo.
 
Njia ya mwongo ni fupi, kwa jinsi waklivyoanza ni kuwa ni mdahalo bila maswali. Je wale wanaojua midahalo hilo linawezekana!?
Hata topic "nini kifanyike Bune likiendelea wiki ijayo", na mawaziri kuhudhuria kwa kiasi hiki ni wazi wanataka kuuaminisha umama kuwa kila kitu kiko sawa. Ngoja tusubiri, the end will justify the mean.
Mdahalo umeisha hoja zimetolewa. watanzania wa leo sio wa mwaka 1947 na nafasi ya UDASA katika taifa hili imeeleweka wazi.
kilicho dhahiri ni nguvu ya hoja ni stronger kuzidi hoja za nguvu.
 
Yap ni kweli kabisa. Kwa uelewa wako mdogo ingetakiwa iwe hivyo. But kwa hali ilivyo kilichotokea ndio sahihi na ndio uhalisia wenyewe
umejibu kwa unyonge mno.
Bado unaamini ccm haijatia aibu kwenye hili??
 
Back
Top Bottom